Mhifadhi
Mkuu wa Hifadhi ya Taifa ya Mlima Kilimanjaro (KINAPA) Betrita Loibok
akizungumza katika hafla fupi ya kuagwa kwa wazelendo 47 waliopanda
mlima Kilimanjaro.
Baadhi ya Washiriki katika changamoto ya kupanda Kilimanjaro kwa ajili ya kutangaza Utalii wa Ndani na utunzaji wa Mazingira.
Mkurugenzi
Mkuu wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) Allan Kijazi akizungumza
katika hafla ya kuwaaga washiriki wa changamoto ya upandaji wa mlima
Kilimanjaro kwa ajili ya kutangaza Utalii wa ndani na Utunzaji wa
Mazingira.
Mwenyekiti
Mstaafu wa Bodi ya Utalii Tanzania ,Balozi Charles Sanga (kulia) alikua
ni miongoni mwa Wazalendo walioshiriki changamoto ya kupanda Mlima
Kilimajaro.
Mkuu
wa Majeshi ya Ulinzi Mstaafu ,Jenerali George Waitara anayeshiriki
zoezi la kupanda Mlima Kilimanjaro kwa mara ya 10 sasa akazungumza na
washiriki wa zoezi hilo kabla ya kuianza safari.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...