Waziri wa Afya Mhe,Mahmoud Thabit Kombo katikati akipokea msaada wa madawa aina mbalimbali kutoka Serikali ya Oman uliokabidhiwa na Balozi wa Oman anaefanyia kazi zake Zanzibar Dk,Ahmed Hamood Al-Habsi (kulia yake )hafla iliofanyika katika Ukumbi wa Wizara ya Afya Mnazi Mmoja Zanzibar kushoto yake ni Naibu Balozi wa Oman Ahmed Mohammed Al-Muzaini mwengine ni Mfamasia Mkuu wa Wizara ya Afya Habib Ali Sharif na kulia ni Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Afya Halima Maulid Salum.
Waziri wa Afya Mhe,Mahmoud Thabit Kombo kulia akizungumza na Viongozi pamoja na Waandishi wa Vyombo mbali mbali vya Habari katika hafla ya Upokeaji wa Msaada wa ar.Madawa kutoka Serikali ya Oman hafla iliofanyika katika Ukumbi wa Wizara ya Afya Mnazi Mmoja Zanzibar.
Mwandishi wa Habari wa ITV Farouk Kariym akiuliza maswali kwa Waziri wa Afya Mahmoud Thabit Kombo hayupo pichani baada ya kupokea Msaada wa Madawa kutoka Serikali ya Oman hafla iliofanyika katika Ukumbi wa Wizara ya Afya Mnazi Mmoja Zanzibar.
PICHA NA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANIZBAR.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...