Naibu Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile aliyevaa shati la drafti la mikono mirefu akikagua baadhi ya majengo ya kituo cha afya cha Nduruma  ambayo yapo kwenye ujenzi wakati wa ziara yake Jijini Arusha leo.
 Naibu Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile wa kwanza kulia akiangalia kwa makini dawa zilizopo kwenye hifadhi ya dawa ya kituo cha afya cha Nduruma wakati alipotembelea kituo hiko kwenye ziara yake jijini Arusha.
 Naibu Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile katikati akiangia mojawapo ya  nyenzo za kuhifadhia dawa za maji (syrup) katika kiwanda cha kuzalisha dawa nchini TPI  wakati alipotembelea kiwanda hiko kwenye ziara yake jijini Arusha, kushoto ni Naibu Mkurugenzi  Mtendaji wa TPI Bi. Zarina Madaba.



Naibu Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile  wa pili kulia akipata maelekezo namna kiwanda cha TPI kinavyofanya kazi ya kuzalisha dawa muhimu nchini kutoka kwa Naibu Mkurugenzi  Mtendaji wa TPI Bi. Zarina Madaba.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...