Wafanyabiashara  wakiwa katika biashara zao katika soko la Mabibo jijini Dar es Salaam mapema leo kama walivyokutwa na Mpiga picha wetu wa Globu ya jamii.
Tikitiki maji katika soko la mabibo ambalo linauzwa kwa bei ya jumla kati ya shilingi 1500 hadi 1800.
Viazi vitamu kwa gunia katika soko la mabibo vinauzwa kati ya Shilingi Elfu 55,000 hadi Elfu 60,000 na kwa rejareja ni sh. 1,000/= kwa fungu.
Ndizi katika soko la mabibo zinauzwa kati ya shilingi 25000 hadi 50,000 kwa mkungu kwa siku ya leo.
Ndizi mbivu katika soko la mabibo kwa kila moja inauzwa kati ya shilingi 80 hadi 200 kwa bei ya jumla kwa siku ya leo.
Nanasi katika soko la mabibo kwa bei ya jumla yanauzwa kati shilingi  Elfu 1000/= hadi elfu  1,800/=.
Biashara zikiendelea katika soko la mabibo katika kila pilikapilika za kutafuta mkate wa kila siku.Imetayarishwa na Chalila Kibuda-Globu ya Jamii.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...