Na Chalila Kibuda, Globu ya jamii

WAFANYABIASHARA wa matunda katika Soko la Mabibo jijini Dar es Salaam wamelezea bei mbalimbali za matunda wanayouza kwa wateja wao sokoni hapo.

Wakizungumza na Michuzi Blog jijini Dar es Salaam wafanyabiashara hao wametaja bei ya kila tunda na wanalouza.Bei hizo ni kama zinavyoonesha hapa. 
Bei ya Nanasi katika Soko la Mabibo linauzwa kati shilingi. 500 hadi shilingi 2000/=
Bei ya Embe sokoni hapo ni kati ya Shilingi 400 hadi Shilingi 600. 
Bei ya Embe ndogo ni Shilingi 300 hadi Shilingi 400 katika soko hilo. 
Bei ya Ndizi sokoni hapo inauzwa kati ya Shilingi 20,000 hadi Shilingi 35,000 kwa mkungu mmoja.
Bei ya Tikitikiti maji ni kati ya Shilingi 700 hadi Shilingi 2500. 
Bei ya Parachichi ni kati ya Shilingi 400 hadi Shilingi 1000.
Bei ya Ndizi Mbivu inauzwa kati ya Shilingi 150 hadi Shilingi 160 kwa bei ya jumla na rejareja. 
Bei ya Boga linauzwa kati ya Shilingi 1500 hadi shilingi 3500 kwa bei ya jumla na rejareja.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...