JAJI Mkuu wa Tanzania, Profesa Ibrahimu Juma amewataka viongozi  wa serikali na vyama vya siasa kuacha mara moja kuingilia  muhimili wa Mahakama kwani ndio yenye mamlaka ya kutoa haki.
Jaji Profesa Juma ameyasema hayo leo wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu Wiki ya Sheria.
Amesema kuwa  viongozi wengi hawaheshimu amri zinazotolewa na mahakama hivyo kusababisha muingiliano wa mihimili na kuwashauri kila mtu abaki katika maeneo yao waliyopewa mamlaka ya kikatiba.
JAJI Mkuu wa Tanzania Profesa Ibrahim Juma 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...