Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala, Omary Kumbilamoto akizungumza na Waandishi wa habari mara baada ya kupokea Mifuko 90 ya Nilu kutoka kiwanda cha Tanzania Oxygen Limited ambapo Nilu hiyo itatumika kwa ajili ya kupaka katika shule mbalimbali zinazojengwa ndani ya Halmashauri ya Manispaa ya Ilala.
Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala, Omary Kumbilamoto akipokea viroba vya Nilu ambavyo vitatumika kupaka shule zilizopo katika Manispaa ya Ilala.
Karani kutoka kampuni ya Tanzania Oxygen Limited (TOL),Dorothy Katala akimuonesha Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala, Omary Kumbilamoto, Idadi ya Viroba vya Nilu anavyotakiwa kuchukua .
Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala, Omary Kumbilamoto, akisimamia upakiaji wa Viroba vya Nilu kwenye gari hili iweze kufika panapo husika.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...