Na Chalila Kibuda, Globu ya Jamii

HOSPITALI ya J.PM  imesema ujio wa madaktari wa India katika hospitali hiyo kumesaidia wananchi wa Jiji Dar es Salaam kuonana na madaktari hao, kupata vipimo na dawa kwa gharama nafuu.

Akizungumza Dar es Salaam,Mkurugenzi hospitali hiyo, Dk. Ameir Binzoo amesema huduma iliyofanyika katika hospitali hiyo kati ya Januari 19 na 20 mwaka huu imeleta matumaini kwa wananchi kuonana na madaktari wabobezi katika magonjwa mbalimbali.

Amesema madaktari hao walijikita kutoa huduma ya matibabu ya magonjwa ya moyo, mifereji ya mikojo na magonjwa ya wanawake.

Binzoo amesema  wananchi wengi walijitokeza kupata huduma mbalimbali katika Hospitali ya J.P.M  na kuongeza wataendelea kufanya utaratibu huo kila mara ili Watanzania wengi kupata huduma hiyo.


Mkurugenzi wa Hospitali ya J.P.M , Dk. Ameir Binzoo akizungumza na waandishi habari kuhusu huduma waliotoa kwa ushirikiano na madaktari wa India ,jijini Dar es Salaam.

Mkurugenzi wa Hospitali ya J.P.M, Dk. Ameir Binzoo akionesha kifaa kitakachotumika kutoa huduma za afya kwa masafa kati mgonjwa na daktari akiwa nchini India, jijini Dar es Salaam.
 Na Chalila Kibuda, Globu ya Jamii

HOSPITALI ya J.PM  imesema ujio wa madaktari wa India katika hospitali hiyo kumesaidia wananchi wa Jiji Dar es Salaam kuonana na madaktari hao, kupata vipimo na dawa kwa gharama nafuu.

Akizungumza Dar es Salaam,Mkurugenzi hospitali hiyo, Dk. Ameir Binzoo amesema huduma iliyofanyika katika hospitali hiyo kati ya Januari 19 na 20 mwaka huu imeleta matumaini kwa wananchi kuonana na madaktari wabobezi katika magonjwa mbalimbali.

Amesema madaktari hao walijikita kutoa huduma ya matibabu ya magonjwa ya moyo, mifereji ya mikojo na magonjwa ya wanawake.

Binzoo amesema  wananchi wengi walijitokeza kupata huduma mbalimbali katika Hospitali ya J.P.M  na kuongeza wataendelea kufanya utaratibu huo kila mara ili Watanzania wengi kupata huduma hiyo.


Mkurugenzi wa Hospitali ya J.P.M , Dk. Ameir Binzoo akizungumza na waandishi habari kuhusu huduma waliotoa kwa ushirikiano na madaktari wa India ,jijini Dar es Salaam.

Mkurugenzi wa Hospitali ya J.P.M, Dk. Ameir Binzoo akionesha kifaa kitakachotumika kutoa huduma za afya kwa masafa kati mgonjwa na daktari akiwa nchini India, jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...