Mkoa
wa Mtwara Umeanza Kufanya Uhamasishaji wa Kuondoa Mimba za Utotoni na
Wanafunzi wanaoacha Shule kutokana na Sababu Mbalimbali zinazowakumba
Wanafunzi wa Kike kwa Njia ya Sanaa ya Maigizo.
Kupitia kituo cha Sports Development Aid (SDA) tayari kimefanya Mafunzo ya Sanaa ya Maigizo kwa Kuwatumia Waigizaji wenye Mafanikio kwa lengo la kutoa elimu kwa Wanafunzi wa Jinsia zote katika Shule ya Sekondari ya Shangani.
Kituo cha SDA tayari kimeanza Kutoa Mafunzo ya Elimu ya Jinsia kwa shule za Mtwara mjini na Vijijini kwa Kutumia njia ya Michezo, ambapo imekuwa ikigawa Vifaa vya Michezo pamoja na Kukarabati Viwanja Michezo vya Shule.
Kupitia kituo cha Sports Development Aid (SDA) tayari kimefanya Mafunzo ya Sanaa ya Maigizo kwa Kuwatumia Waigizaji wenye Mafanikio kwa lengo la kutoa elimu kwa Wanafunzi wa Jinsia zote katika Shule ya Sekondari ya Shangani.
Kituo cha SDA tayari kimeanza Kutoa Mafunzo ya Elimu ya Jinsia kwa shule za Mtwara mjini na Vijijini kwa Kutumia njia ya Michezo, ambapo imekuwa ikigawa Vifaa vya Michezo pamoja na Kukarabati Viwanja Michezo vya Shule.
Msanii
wa Maigizo Yvone Sherry (Monalisa)Akiongea na Wanafunzi wa Shangani
Sekondari mkoani Mtwara pamoja kusimamia Igizo La Elim ya Jinsia kwa
njia ya Maigizo.
Viongozi
wa Kituo cha Sports Development Aid (SDA) ambao ndio waandaaji wa
Mafunzo hayo wakiongea na Wanafunzi wa Sekondari ya Shangani Iliyopo
mkoani Mtwara.
Pichani
ni Afisa taalum wa Mkoa wa Mtwara Masalanga akiongea na Wanafunzi wa
Sekondari ya Shangani katika Mafunzo kupitia Sanaa ya Maigizo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...