Mkurugenzi wa Sera na Mipango Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi),  Elizabeth Tagora akifungua mkutano wa wadau kuhusu mapitio ya Sera ya Ujenzi ya mwaka 2003 na uwasilishwaji wa rasimu ya Sera ya Ujenzi na Mkakati wa Utekelezaji 2018/19- 2029/30 jijini Dar es Salaam.
 Mwezeshaji wa majadiliano kuhusu rasimu ya Mkakati wa Utekelezaji wa sera ya Ujenzi ya mwaka 2018/19- 2029/30, Cyril Batalia akiwasilisha mada kwa wadau wa sekta ya ujenzi kuhusu mapitio ya sera mpya ya ujenzi kwenye mkutano wa wadau wa ujenzi uliofanyika leo jijini Dar es Salaam.
 Sehemu ya wadau wa sekta ya ujenzi wakijadili rasimu kuhusu mapitio ya sera mpya ya ujenzi na mkakati wa utekelezaji wake 2018/19- 2029/30 leo jijini Dar es Salaam.
Wadau wa sekta ya ujenzi wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kumalizika kwa kikao cha mapitio ya sera mpya ya ujenzi na mkakati wa utekelezaji wake 2018/19- 2029/30 leo jijini Dar es Salaam(.picha na Chalila Kibuda, Globu ya Jamii)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...