Wavuvi wakiwasili katika ufukwe wa Kunduchi jijini Dar es salaam baada ya kutoka kuvua samaki, Baadhi ya wavuvi hao wamesema kuwa kipindi hiki ambacho ni cha upepo mkali kumekuwa na uhaba sana wa upatikaji wa samaki, hali inayowalazimu kwenda mbali zaidi kutafuta samaki na wakati mwingine hurudi bila mafanikio.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...