Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Simon Sirro (kulia) akizungumza na kamanda wa Polisi mkoa wa Pwani, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP), Jonathan Shana walipokutana katika eneo la Msata Bagamoyo wakati akiwa safarini kuelekea mkoani Arusha kwa ziara ya kikazi ya siku mbili. Picha na Jeshi la Polisi.
 Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Simon Sirro akipokea salamu ya Kijeshi kutoka kwa Mkaguzi wa Polisi, Ali Masumbuko wakati alipowasili katika Kituo cha Polisi wilaya ya Handeni mkoani Tanga leo, akiwa safarini kuelekea mkoa wa Arusha kwa ziara ya kikazi ya siku mbili. Picha na Jeshi la Polisi.
 Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Simon Sirro (wapili kulia) akizungumza na askari wa wilaya ya Handeni mkoani Tanga wakati alipowasili katika mkoa huo leo akiwa safarini kuelekea mkoa wa Arusha kwa ziara ya kikazi ya siku mbili, IGP Sirro aliwataka askari hao kufanyakazi kwa weledi kwa kuzingatia sheria na taratibu. Picha na Jeshi la Polisi.
Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP),  Simon Sirro akiweka saini kwenye kitabu cha wageni baada ya kuwasili katika kituo cha Polisi wilaya ya Handeni mkoani Tanga leo, akiwa safarini kuelekea mkoani Arusha. Picha na Jeshi la Polisi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...