Bw. Plasduce Mbossa katikati Mfanyakazi wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), kushoto yake ni Bi. Lydia Mallya ambaye pia ni mfanyakazi wa Mamlaka ya Bandari Tanzania pamoja na Bi. Judith Nzamba aliyevaa gauni la Bluu mfanyakazi wa Shirika la Reli Tanzania wamesimama katika banda lao la maonesho ya Miundombinu ya Usafiri yanayofanyika katika viwanja vya Speke Resort Munyonyo-Uganda.
Wapili kutoka kulia Mhe. Ummy Mwalimu Waziri wa Afya, Jinsia, Wazee na Watoto pamoja na wataalam wengine wa sekta ya Afya walioshiriki katika Mkutano wa Majadiliano wa sekta ya Afya katika ukumbi wa mikutano wa Speke Resort Munyonyo-Uganda.
Washirika wa Maendeleo kutoka nchi mbalimbali duiani wa sekta ya Miundombinu ya Usafiri walioshiriki katika mkutano wa majadiliano unaofanyika katika viwanja vya Speke Resort Munyonyo-Uganda.
Baadhi ya Washiriki wa Tanzania katika Mkutano wa Majadiliano wa sekta ya Afya walioshiriki katika mkutano huo unaoendelea kufanyika katika ukumbi wa mikutano wa Speke Resort Munyonyo-Uganda.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...