Naibu Waziri Mifugo na Uvuvi na Mbunge wa jimbo la Mkuranga,Abdallah Ulega akimkabidhi kadi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kwa aliyekuwa Katibu wa Chama cha Wananchi (CUF) Kata ya Mwalusembe, Abass Mjavile.
Naibu Waziri Mifugo na Uvuvi na Mbunge wa jimbo la Mkuranga, Abdallah Ulega akikabidhi bati 80 na mifuko 60 ya saruji kwa ajili ya ukarabati wa ofisi mbambali za chama cha mapinduzi kata ya Mwarusembe zenye thamani y ash.milioni mbili.
Naibu Waziri Mifugo na Uvuvi na Mbunge wa jimbo la Mkuranga, Abdallah Ulega akizungumza na wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wa Kata ya Mwarusembe ambapo wanachama wapya sita walijiunga na chama hicho kutoka Chama cha Wananchi (CUF).
Naibu Waziri Mifugo na Uvuvi na Mbunge wa jimbo la Mkuranga, Abdallah Ulega akiwakabidhi pikipiki kwa viongozi wa chama hicho kata ya Mwalusembe yenye thamani ya zaidi ya milioni mbili
Wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wa Kata ya Mwarusembe wakisikiliza Naibu Waziri Mifugo na Uvuvi na Mbunge wa jimbo la Mkuranga, Abdallah Ulega. (Picha na Emmanuel Massaka,Globu ya Jamii)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...