Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Mkuu wa Mkoa wa Mara, Adam Malima wakizungumza na Noella Tekela, mwanafunzi wa darasa la sita katika  shule ya msingi ya Masaunga wilayani Bunda baada ya kuwahutubia wavuvi, wafanyabiashara wa samaki na wananchi  kwenye kijiji cha Kisorya  Februari 17, 2018. Mtoto huyo alionekana akiandika kwa usahihi katika daftari hotuba yote ya Waziri Mkuu katika mkutano huo. 
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mmiliki wa Pantoni ya MV Nyehunge, Said Mohammed  kwenye gati la Kirumba wakati aliposafiri  na chombo hicho kutoka jijini Mwanza kwenda Ukerewe leo Februari 18, 2018.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na wafanyakazi wa Pantoni ya MV Nyehunge  kwenye gati la Kirumba wakati aliposafiri na chombo hicho kutoka jijini Mwanza kwenda Ukerewe leo Februari 18, 2018.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...