Jiji jipya la Arusha toka angani. Katikati ni Uwanja wa Kumubukumbu ya Sheikh Amri Abeid

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 9 mpaka sasa

  1. Duh!Jiji la Arusha hilo.Michuzi umenifanya nikumbuke pale karibu na uwanja huo.Nina maanisha Mrina,pale watu wanapokesha na supu motomoto!

    ReplyDelete
  2. Umesahau jina sahihi Jeff. Trupa.

    ReplyDelete
  3. Eti wanaiita "geneva ya Afrca".

    ReplyDelete
  4. huyu jamaa anaitwa egidio anatabia ya kukandia sana sasa kwani unaona wivu ikiitwa jiji? au unamji wako ulitaka kuupa hilo jina? wacha upuuzi. ndio ni jiji wewe inakuuma nini?

    ReplyDelete
  5. Michuzi naomba kwa hisani fanya kuweka picha kama hizo za miji mbalimbali ya Tanzania maana tuna uhaba mkubwa kabisa wa picha za Tanania ukitaka kuzipata kuonyesha watu through intanet.

    ReplyDelete
  6. Picha inanikumbusha enzi za sekondari kwa MZee Bino pale Ilboru. Inanikumbusha Kijenge, Mianzini, Ngarenaro, Enaboishu, na hata mpaka kule Duka Mbovu. Lakini Michuzi ulipanda juu ya mtu ukapiga au una helikopta siku hizi kama Chadema?

    ReplyDelete
  7. Haha Haha.. Nna mbawa siku hizi. Cheki ya dar na mnazi mmoja soon.

    ReplyDelete
  8. Tunashukuru Michuzi maana naona kweli umetambua kiu yetu. Safi sana endeleza nguvu hiyo

    ReplyDelete
  9. hapo umepatia maana sisi jamaa wa arusha tumefurahi sana kuona muji wetu hupo poa

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...