Home
Unlabelled
Heri ya Mwaka Mpya
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Duh!
ReplyDeleteKumbe michuzi wewe si mwenzetu!
Mimi nimezoea kukuona police officers mess kumbe we mtu wa mawingu tu!
Karibu zanzibar yakhe unywe japo kikombe cha gahawa
Michuzi, kweli nakubali hii ni zawadi ya mwaka mpya. Umenijaza kumbukumbu kibao. Natazama mlima wa Ruwa (mungu), natazama na hicho kihaisi cha Kiboriloni, natazama na hiyo Dabo Rodi, nadhani ni karibu na soko la chini, kwenye duka la Rasta Omari (mmoja wa walimu wangu enzi zangu nikiwa Rasta). Asante kwa zawadi hii ya mwaka mpya wa Kirumi.
ReplyDeleteNaona na maduka ya wahindi ambayo kama ile "saa ya ukombozi" aliyokuwa akitangaza Mtikila ingefika yangekuwa yetu.
ReplyDeletebwana ndesanjo naona umesahau kabisa rangi za vihais vya nyumbani hicho chenye mstari wa kijani sio cha kiboriloni ni cha kcmc
ReplyDelete