Home
Unlabelled
miss tz 2005
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Michuzi,
ReplyDeleteKazi nzuri ya habari kwa picha.Nadhani ingekuwa vyema kama ungetoa na kiunganishi cha wapi wakereketwa wanaweza kumpigia kura Nancy Sumari.Fanya hivyo basi
nimependa nywele zake za usinga
ReplyDeleteKwa picha hii hawa wazungu wangalikua na hisia za mahaba kama sisi waswahili hakika Nancy angalikamata taji japo la pili au la tatu. Lakini kwao hatamanishi.Kazi nzuri baba. Bingo!!
ReplyDeleteHongera kwa kuwa Miss Afrika 2005.
ReplyDeleteMichuzi ulijua nini kuwa atakuwa mshindi wa sita (au Miss Afrika). hebu mimina picha zake zaidi halafu akirejea Bongo mahojiano naye uyapost kwenye blog (najua utamuhoji tu ili uweke kwenye kale ka pullout ka kwenye Sunday Noise- nakamiss kwelikweli). Ikiwezekana mfundishe kufungua blog.Hongera zake.
ReplyDeleteNdaga Mwaipopo!
ReplyDeleteSijui uli kughu, but nadhani dua zetu sote zimesaidia. une ndi nk'afu.
michuzi
Ndi ku-juesei. Ngamenye ukuti ulinyakyusa. Naatigi ulimundu itolo.
ReplyDeleteKazi nzuri baba.
She is beautiful for sure.
ReplyDeletemichuzi ,una nini na binti wa watu?
ReplyDeleteshes's really pretty, a real african queen,mamiss wengine wa Tanzania walikua wanasindikiza tu.HONGERA NANCY.
ReplyDelete