lady jd na kundi lake la machozi band wakiwasili zenj leo asubuhi tayari kwa kushiriki kwenye tamasha la sauti za busara kwenye ukumbi wa ngome kongwe. wasanii takriban 300 wanatarajiwa kushiriki kwenye tamasha hili linalodhjaniwa ni kubwa kuliko matamasha yote ya muziki afrika mashariki na ya kati, na la pili kwa umaarufu nyuma ya tamasha la filamu la zanzibar. mie tayari nshatinga zenj na mtimkubwa kanituma nionane na shemejie, martin mhando, aliye hapa kushuti filamu ya tamasha hili.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Michuzi Martin Mhando mwambie anasalimiwa na mtoto wake wa ubatizo

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...