nadhani mmesikia kwamba yanga na simba mwaka huu itachezeshwa na mwamuzi mwanamke. basi ndiye huyo...

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Mie Hofu imenitanda,
    Mama kuchezesha kandanda,
    Simba sura yake yaonekana,
    Akivurunda walahi tutambana.

    ReplyDelete
  2. Huyu vijana watamtisha tu.. hamna haja ya kumbonda wala kumnyanganya Card..

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 15, 2006

    DADA,JIFUNZE JUDO,KARATE,KULENGA SHABAHA NA USIKOSE KUWA NA REVOLVER KIUNONI.HAKIKISHA HUONGEI NA MCHEZAJI PUNGUFU YA MITA TATU NA KUENDELEA!UMENIELEWA DADA?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...