Home
Unlabelled
ofisi za daily news
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Nshapotea-ga hapo. Nilikuwa namtafuta-ga my friend wangu Chabby Barasa. Maelekezo aliyonipa-ga yakanichanganya halafu sikuwa-ga na namba yake ya simu. Nikaona-ga isiwe-ge tabu. Nikalala-ga mbele, ferry kuvuta sigara.
ReplyDeletetetetete! Mwaipopo ndugu yangu wewe kabila gani mbona ga, ga, ga nyingi au ndio vichekesho watuletea?
ReplyDeleteJina langu lenyewe lakuambia natoka-ga wapi.
ReplyDeleteEehe bwana wewe kweli nimekubali na ga, ga, ga, ga. Labda wewe mtu wa Iringa (Hehe), Shinyanga, au Mwanza (Msukuma na Mnyamwezi).Nimepata hapo?
ReplyDeleteMzee watu wa aina hii wananiachaga hoi kinoma sana!! Nimewahi kupiga school na jamaa mmoja hivi alikuwa anatoa ga, ga, ga kama hana akili nzuri vile!
Keep it up - Bonge la style hilo. Laonesha kweli wapenda nyumbani (In this great future, you can’t forget your past --> Bob Marley)
Fresh kinoma.
Eehe bwana wewe kweli nimekubali na ga, ga, ga, ga. Labda wewe mtu wa Iringa (Hehe), Shinyanga, au Mwanza (Msukuma na Mnyamwezi).Nimepata hapo?
ReplyDeleteMzee watu wa aina hii wananiachaga hoi kinoma sana!! Nimewahi kupiga school na jamaa mmoja hivi alikuwa anatoa ga, ga, ga kama hana akili nzuri vile!
Keep it up - Bonge la style hilo. Laonesha kweli wapenda nyumbani (In this great future, you can’t forget your past --> Bob Marley)
Fresh kinoma.