Home
Unlabelled
jesca na mzee
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Ndiyo bana. Naona wote wawili mmeng'ara kama mbalamwezi...
ReplyDeleteWatu wanamwaga jivu tu.... wakimuona huyu mzungu na huyu ex-CD(Changu doa) Yeye anajiona kaopoa bongo la toto...duu noma
ReplyDeleteVyangudoa hujuana...itakuwa ni changudoa mwenzio huyu mnauza wrote nyapu mama wivu unakusukutuka nyau weee
DeleteJamani huyu si mmoja wa wale watalii wabeba vibegi kule Mikumi?? mhh Jessica hana pesa huyo, mpauko tu!!
ReplyDeleteacha dada apate jamani wewe unapondea akikosa poda utampa ?
ReplyDeleteyaani story refu ya hawa waili walikutana dubai twanga ilipokwenda kupiga muziki. ndipo jamaa alimuona demu stejini akampenda. jamaa akaamua kuja dar kumtembelea demu dar demu akampeleka hoteli jamaa hakufurahi akamwambia kwa nini hunipeleki kwako? demu akawa hana raha na yeye hakutaka kumpeleka kwa sababu home palikuwa hapako vizuru akamwambia jamaa. jamaa akamwambia hivyo hivyo mimi nimekupenda wewe hivyo usione aibu juu ya swala lolote. baada ya kufika nyumbani mzungu kuona yale mazingira akaamua kumnunulia nyumba ndio wanapoishi hapo ingawa jamaa anasafiri sana na gari pia alimnunulia. kwa hiyo ni wapenzi wanapendana tuuuuu.
ReplyDeleteWanamelemeta eeh? Au siyo wajameni?
ReplyDeletesanaaa
ReplyDelete