machinga akiuza matunda new york mtaa wa park avenyuu. hapa bongo biashara hii imepigwa stop katikati ya jiji ambako sasa ni kweupeeeee

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. Michuzi uliona uchafu huo huku Stockholm ulivyokuja? Huko ni kama Bongo tu.

    ReplyDelete
  2. Michuzi,
    Siyo tu unapiga picha na kuhitimisha kuwa huo ni umachinga sawa na wa Bongo. Ungemwuliza huyo jamaa anawezaje kufanya biashara hapo bila shaka ungetofautisha na Bongo

    ReplyDelete
  3. Kandoro akiona hii anaweza kumvamia jamaa kwenye monitor haha heh hahahahaa

    ReplyDelete
  4. Umachinga siku hizi ina maanisha Mfanyabiashara? Mbona una haribu lugha Michuzi? Mtu kama wewe ukishindwa kuendeleza kiswahili basi asili ya lugha yetu itapotea kabisa na vizazi vyetu kushindwa kutambua chimbuko letu. Nazidi kukuomba kwamba utumie lugha fasaha ya kiswahili na sio maneno ya mtahani ambayo ata mgeni wa nje akija kuona blog hii atashindwa kuelewa kiswahili na Watanzania.

    ReplyDelete
  5. Weye anony wa 11:47 acha uzushi wako. Umachinga una tatizo gani kama neno la kiswahili? Unajifanya unaijua nakuipenda lugha kumbe hakuna kitu. Kama unataka Kiswahili fasaha; 'Mtahani' ndio kitu gani? au 'ata mgeni' ndio Kiswahili fasaha hicho? Mtu mzima hovyoooo!!!

    ReplyDelete
  6. Bongo hatuna mipango tunachofanya ni utawala wa kiimla tu. Lowasa anamadaraka basi anasema wamachinga waondoke kuanzia kesho!!!!

    Inasemekana huyu Lowasa anamaskendo mengi na ndio maana serikali inashindwa kushughurukia issue nyingi kwa sababu ikianza tu inagundua kuwa PM yumo ndani basi inabidi iache. Kwa mfano nasikia maeneo ya wazi mengi yamevamiwa na Lowasa!?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...