kwa maombi ya wengi naposti tena picha hii ya mh. amina chifupa wa mpakanjia akiwa na mumewe medi kwenye hafla ya harusi.

sipo bungeni dodoma lakini habari toka huku zimethibitisha kwamba ni kweli 'mama shughuli' ametema cheche dhidi ya mateja na wauza unga, na kaahidi kutaja majina kunakohusika. vile vile kachero mkuu mh. robert manumba amenukuriwa na magazeti kadhaa ya leo kupokea kwa furaha habari hizo za mh. chifupa na kumhakikishia ulinzi pindi akimwaga kuku kwenye mtama wengi. oppss! samahani... nilitaka kusema mtama kwenye kuku wengi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 124 mpaka sasa

  1. Ama kweli baba na mama Rahamanino walipendeza kweli.Mudy naye kaweka wazi kwamba kama anauza kete basi sirikali yaweza kumchunguza.Kazi nzuri mbunge.

    ReplyDelete
  2. Ama kweli kazi ipo, kama waheshimiwa wenyewe ndiyo hawa...we still have a long way to go. Why show us her personal life? is she a limbukeni au nini? She is the most undignified MP ever seen in my life. Go and find a life b....

    ReplyDelete
  3. SASA HAYA MAMBO YA KUTUWEKEA WATU WANAKUMBATIANA HUMU NDANI YA NINI? HAYO NI MAMBO YAO CHUMBANI NI PRIVATE LIFE. WEWE MICHUZI UWE UNAJUA NINI CHA KUWEKA NA KUTOKUWEKA HUMU NDANI. SIO WATU WAKISEMA TU WE UNAKIMBILIA KUWEKA BILA KUTAFAKARI. MAELEZO YAKO KWENYE PICHA NA PICHA ULIYOWEKA NI HASI NA CHANYA!!HII NI FOR THE FUTURE OF THIS BLOG, SIO CHUKI BINAFSI!!

    ReplyDelete
  4. Hamna lolote Kipi kibaya hapo kwenye picha na wewe?Wangekuwa wamekaa vyovyote tusingekosa la kusema...as Long Mh.Chifupa hana noma na hiyo picha sidhani kama wewe unaweza ukawa dukuduku kuhusu picha hiyo....Ila Mh..kafanya linalotakiwa kufanya na wabunge wote na viongozi wote kusimamia haki ya wananchi na nchi nzima bila kuogopa mtu awaye yote yule!!!

    ReplyDelete
  5. First and foremost I would like to echo what anonymous have said.
    Ndugu yangu, kwanza napenda kukushukuru kwa updates ambazo tunazipata kupitia hii blog, kwa kweli two thumps way up. Kwa kuwa wewe ni binadamu si ajabu kufanya mambo ambayo mara nyingine hayaleti maana kama hili la kutuwekea hii picha ya Mh. Mbunge na Mumewe. It's a nice picture I can't deny about that, however I think it should be in a private address rather than here.
    Kwa kuwa hii blog watu mbalimbali duniani wanaingalia each and every day na kwa jinsi watu wanavyokuheshimu ni vyema basi ukaangalia ni vitu vipi vya kuwapa raha wasomaji wako. Other than that Mzee vitu vyako sio mchezo!! Thanks in advance.

    ReplyDelete
  6. Mbunge wangu, hayo manywele ya wafu yanakupunguzia uzuri aloumbwa nao!

    ReplyDelete
  7. it's funny when u guys hate on her. would u please get a life ? kama mnataka ubunge kwanini msiende bongo mkagombee? siyo mko ughaibuni halafu mnapiga kelele ambazo haziko helpful...

    ReplyDelete
  8. naSHUKURU SANA MICHUZI,MIMI NILITAKA SANA KUJU AKUHUSU AMINA CHIFUPA NA HABARI ZA MAPAMBANO NA MAZUNGU YA UNGA,

    AMINA NI MTU AMBAYE NI MJANJA SANA INAWEZEKANA KABISA MUMEWE AMEACHA MADAWA YA KULEVYA NA NDIO MANA WANATAKA KUUMALIZA HUO MATANDAO WA MADAWA.

    AU PIA MUMEWE ALIVYOAMUA KUACHA KUUZA HAYO MADAWA WANAMTANDAO WENZIE WAMEMTISHIA MAISHA HIVYO AMEONA AWAMALIZE KABLA HAWAJAMDHURU.

    PIA INAWEZEKANA KABISA ANATAKA KUSAFISHA JINA LA MUMEWE KWA KUWA NI CHAFU SANA NA KILA MTU ANAJUA NI ZUNGU HATA WATOTO WADOGO.

    NA PIA INAWEZEKANA AMEHITILAFIANA NA MUMEWE SASA AMEONA ATUMIE SHERIA ILI MUMEWE AACHE KUUZA HAYO MADAWA YA KULEVYA.ILA HIYO ASILIA NDOGO SANA.
    AMINA ANATAKA SANA APANDE JUU AWE KAMA AKINA MIGIRO NA ANAPENDA SANA UMAARUFU HIVYO AMEAMUA KUFANYA KWELI KWA KWENDA MBELE,NA PIA ANATAKA AWE MMBUNGE WA JIMBO YAANI WA KUCHAGULIWA NA WANANCHI.

    AMINA PIA NI LIMBUKENI WA HALI YA JUU NA MSWAHILI KWA HILO HAKUNA UBISHI KWA VILE ANAVYOONEKANA TU.NA PIA NAJIAMINI KUPITA KIASI.

    KUNA KITU ANACHOKITAFUTA HASWA NA ATAKIPATA VERY SOON ,SHE IS VERY AMBITIOUS,LETS WAIT AND SEE

    ReplyDelete
  9. amina anapenda sana umaaarufu kwa kweli amejitoa mhanga sana ,kila la kheri amina.

    ReplyDelete
  10. hongera amina dada kwanza uliingia kwa mpakanjia kwa kumtoa mwanamke mwenzio ndani ya nyumba,wewe ni shujaa.

    ReplyDelete
  11. amina ana nyota kali sana watu wapende wasipende ni mtu ambaye anaconvincing power ya hli ya juu pamoja kuwa hajasoma sana .nafikiri atafika mbali sana.

    ReplyDelete
  12. mpakanjia ameoa kwa kweli ,mke anaye naona siku hizi hasikiki hata kidogo,mhh kweli mke ni funika mbaya .

    ReplyDelete
  13. amina she have to be careful on this one manake kupambana na madawa ya kulevya sio mchezo,ni kama mafia fulani hivi,na ni watu wenye pesa kali sana,she have to be careful sana sana.

    ReplyDelete
  14. kudeal na drugs dealer sio mchezo,this people wana hela chafu sana na ni watu wa kuheshimika sana kwenye jamii huwezi kuamini,so its very risk and unpredictable.

    ReplyDelete
  15. amina ni mtoto wa kiswahili na anajua sehemu nyingi za madawa ya kulevya na pia mumewe ameshafanya hiyo biashara hivyo she all the procedures and some of the key persons

    ReplyDelete
  16. nasikia hata mchngaji rwakatare anauza drugs sana.sasa mimi sielewi itakuwaje.

    ReplyDelete
  17. unajua mambo ya drugs watu hawawezi wakazusha tu,tell me hivi kwa nini wasiseme mtu mwingine???mpakanjia lazima has to do with mambo ya drugs in othe way or another,watu hawawezi wakalipuka tu from anyway wakasema medi ,kumbuka lisemwalo lipo....kwa nini wasiseme reginald mengi???

    ReplyDelete
  18. mpakanjia ni drugdealer hata hela za kuhonga mkewe apate ubunge ni za drugs sasa naona wanataka waache hiyo biashara na kusafisha majina yao,na hela walizopata kwa hiyo biashara ndio hiyoanatoa misaada kila mahali ili aondokane na balaa hilo.

    ReplyDelete
  19. amina ni mjanja sana kelelelzote hizo ni kusafisha jina la mume wake mpakanjia ambaye labda ameamua kuacha biashara ya madawa ya kulevya kwa kuwa ameshakuwa tajiri na anataka sasa kutumia nafasi ya mkewe kama mbunge kupata macontact ya serikalini na kufanya biashara halali.anajua hawezi kufa njaa kwa vile mkewe yuko serikalini na tenda atazipata.

    ReplyDelete
  20. medi mpakanjia ni mzee wa unga hilo halina mjadala ndugu yangu,ila nafikiri ameamua kuacha na ametubu ,ndio mana hata hela aslizopata kwa njia hiyo,ndio amea mua kumpa mkewe azirudishe kwa wenyewe kwa njia misaada kama mkewe anavyofanya.ni wajanja sana.

    ReplyDelete
  21. amina chifupa anagawa uroda bungeni kama kichaa vile,kuna mheshimiwa naibu waziri mmoja ndio kama mumewe wa kula na kupakua.

    ReplyDelete
  22. amina ni bonge la msanii ameamua kufanya hivyo ili kumlinda mumewe na lazima sasa wameamua kuacha biashara ya madawa kwa vile anajua kwa awamu hii ya jk hawawezi kufa njaa.na mumewe atapata biashara nyingi sana tu kwa vile bibie yuko serikalini,na hata jk ni rafiki mkubwa wa mpakanjia.

    ReplyDelete
  23. mpakanjia ameambiwa na jk asafishe jina lake na aache kuuza madawa kwa vile ni marafiki sana,ndio mana ameamua kumtumia mkewe kusafisha jina lake ili polisi wakienda kumsachi waone yuko clean,kweli hapa ni mjini watu wajanja sana

    ReplyDelete
  24. watu wengi tu wako kwenye mtandao wa drugs sana,ila mpakanjia ndio anajulikana sana ,ameamua kuacha na kusafisha jina lake kwa kutumia jina la mkewe,hapa ni mjini ujanja kuishi hapa,lazima uwe msanii ndio utaweza kukaa serikali ya jk.

    ReplyDelete
  25. amina anagawa sana uroda ndio mana atafika mbali sana kwenye serikali ya jk.mwanamke yeyote aliye madarakani kwa jk wengi wao lazima watoe uroda kwanza alafu unapata cheo.hiyo mtu asikubishe hata siku moja.huyu blandina nyoni ambaye ni mhasibu mkuu wa serikali ana mavyeo mengine kibao katika bodi mbalimbali na bado anaendelea kupanda,ni mahiri sana katika kutoa uroda kwa wakubwa.

    ReplyDelete
  26. amina ni mjanja sana amempa uroda mpaka liumba wa BOT enzi zake akiwa clouds fm,

    ReplyDelete
  27. Jamani, wakati mwingine tujaribu kuwa makini na mambo tunayosema au kuandika.
    Sio kwamba ninapinga kwamba yote yanayoandikwa kwenye blog hapa ni uzushi, lakini naamini kwamba asilimia kubwa ya watu wanaoandika humu kuhusu habari za Bw. Mpakanjia au au wanawake wanaogawa uroda hawana ushahidi wowote.
    Wengi wenu mkiulizwa mtasema, oooh nilisikia fulani akisema au nilisoma mahali.
    Haya mambo ya "hear say" sio mazuri.
    Hakikisha unaushahidi wa kutosha na uhakika na unachosema sio unakurupuka tu na kudai, fulani mzungu wa unga au sijui fulani anagawa uroda kwa vigogo.
    Kwani nyie mliandika kwamba Bw. Mpakanjia ni mzungu wa unga mmewahi kuwa wateja wake? Umejaribu kuchukua hatua gani kuthibitisha?
    Na hao wanaoandika kwamba sijui Bi. Chifupa anagawa uroda, je nyie ndio mnaomshika miguu wakati akiwa anagawa uroda huo? Amewahi kuwagea?
    Hebu tuache kuropoka tu. Tujaribu kutafiti kidogo kabla hatujaandika.

    ReplyDelete
  28. Amina hongera sana mama kwa mapambano hayo nakutakia kila la kheri lkatika shughuli ya kupambana na madawa ya kulevya wewe ni mjanja sana.

    ReplyDelete
  29. ni kweli nasikia huko bungeni ni kupeana uroda tu kwa kwenda mbele ,nasikia kama wanafunzi vile mpaka wengine wanagombania maboyfriend ambao ni waheshimiwa wao kwa wao.kweli serikali ya jk ina ufuska kwa kwenda mbele.

    ReplyDelete
  30. hayo mambo ya uroda huko serikalini ni ya kawaida ,enzi za serikali ya jk akina mfaume kawawa na spika wa bunge huyu mumewe ana abdalla walimgombania sana huyu mwanamke mpaka ndio spika akafanikiwa na akamuoa moja kwa moja.hivyo swala la uroda kwenye serikali ya jk ni urithi toka enzi.

    ReplyDelete
  31. nasikia wanatiana kipindi cha bunge kama hawana akili vile kila mtu na wake.kuna wengine ni mama huruma tu kwa kila mtu kama amina chifupa.

    ReplyDelete
  32. Mimi sioni haja ya huyu Mh. Amina Chifupa kusema chochote kwa polisi maana jeshi la polisi lina wafahamu vuízuri wahusika na hivi majuzi tu rais alipewa list ya wahusika sasa leo hii wanajifanya kuwa jeshi la polisi haliwatambui hawa watu? Unafiki mkubwa. Nakusifu Chifupwa kwakukerwa na hali hii inayoliangamiza taifa.

    ReplyDelete
  33. jamani kwani hamjui kwamba watanzania tunahusudisha ngono kama vichaa,na wanawake wanapenda kuhongwa kwa kwenda mbele.rita mlaki analiwa uroda mpaka na wahindi sababu ya hela,usifanye mchezo,huyu batilda buriani naye nasikia amegawa uroda mpaka kwa askofu huko arusha na sasa anaendeleza huko bungeni.si mchezo ngona na pesa ni vitu vuitamu sana sana.

    ReplyDelete
  34. AMA KWELI WATANZANIA NI WARAHISI SAN KUMWAGIWA MCHNG WA MACHO! MIMI NASHANGAA SANA AMINA AMESEMA TUU KWAMBA ANAWEZA 'KUWATAJA' BADO HAJAWATAJA ANAMWAGIWA MASIFA KEBEKEBE!! HII NI AHADI TUU KUWA 'ANAWEZA KUWATAJA'. INATAKIWA APEWE SIFA AKISHA WATAJA NA SI VINGINEVYO.KILA MTU ANAWEZ KUSEMA MANENO KAMA HAYO. NASEMA HUU NI MCHANGA WA MACHO KWA SABABU AMESHAJIZOLEA MASIFA TELE FOR NOTHING WAKATI SOTE TUNAJUA KUWA ISSUE HII ITAISHIA HEWANI TU. HAMKENI WATANZANIA...!!!
    ALIANZA MREMA MANENO KAMA HAYO AKAJA MTIKILA ..ETI OOH NINA ORODHA YA WALA RUSHWA OOH NINA ORODHA YA NANIHII..
    TUACHANE NA MAMBO YA KUZUBAISHA WATU. KAMA NI ORODHA ILISHENDA KWA RAISI TAYARI (NA SIYO AMINA ALIYEPELEKA) MBONA HATUA BADO HATUJAZIONA????

    ReplyDelete
  35. jamani nasikia kuna viwembe ambao hawapitwi na sketi yoyote ile andew chenge ndio kiboko,nasikia msukuma yule anapenda kutia ni balaa,achana na hawa akina masha ni cha mtoto.

    ReplyDelete
  36. sasa mpakanjia ameamua kuokoka na kuancha mambo ya madawa anamuachia mchungaji lwakatare ,yule mama ni devil kabisa anatumia neno lamungu kujinufaisha na ni tajiri sana n,ndio mana hata serikali ya jk ilimtema alivyotaka ubunge.

    ReplyDelete
  37. amina nakuaminia mama ukitaka jambo lako unaweza hata kulia machozi ,usaniii unauweza aminia mama.

    ReplyDelete
  38. medi mpakanjia anasafshiwa jina na mkewe kwa vile amenuka sana na mambo ya madawa ufuska kila kitu haramu,mpaka alishashukiwa kuua mfanyabiashara mwenzie hapa town kwenye baa moja kule maeneo ya mwenge.sasa wameamua kuwa safi kwa vile jk yuko nao benet.

    ReplyDelete
  39. unaambiwa enzi hizo baraza la mawaziri wanawake walikuwa wachache watu walikuwa wanagombania wanawake sio mchezo ,ila sasa wako kibao wewe tu na roho yako,unaona anne malechela kilango amembwaga yule tatu ntimizi na kuolewa na malechela ,unaambiwa ilikuwa ni competition ya hali yajuu.sasa anne katulia bungeni na mumewe ,yule anne ni kurumbembe aliyemaliza.

    ReplyDelete
  40. hivi huyu lucy mayenga ameshaachana na mohamed abdulaziz??manake nasikia anaolewa na kijana mmoja anafanya bank ya standard chartered dar.kweli bungeni ni ngono kwa kwenda mbele.

    ReplyDelete
  41. Nawapongeza wote waliotoa maoni, kuhusu amina chifupa hakuna asiyefahamu kuwa amini ni mhuni.kwani nadhani anahistoria chafu kuliko zote. mimi huwa nawaambia wadogo zangu siwezi amini chifupa japo ni mbunge but she cannot stand as a good role model to the society.hiyo haiwezekani hata kidogo.nadhani ameeanza mambo haya ya ngono na mengine akiwa mdogo sana. nawapa pole wazazi wake na sidhani kama wanaona fahari yoyote kwa kuwa na binti wa sampuli hii. Amina kwanza nahisi hana mshuri mzuri hata kidogo katika mambo yake anayoyafanya. maana mume mwenyewe ndio huyo yeye mwenyewe mswahili kupindukia.amina hebu angalia kasi ya wabunge wenzio wazoefu wanaendaje! kama unatka jimbo zipo mbinu nyingi tu za kuwania, lakini usifanye kama vile mchezo wa kinamama kayai na ojwang.tulia acha pupaa, huu ni ubunge ambao untakiwa kwenda nao taratibu, unajua amini anachukulia ubunge kama suala la kuchulkuliwa na mkurugenzi wa bot, akiletata za kuletwa unahamia kwa medi muuza unga, akipinda unachukuliwa na afande. ubunge sio hivyo. you are destriying your image hebu pata mtu wa kukushauri!!!

    ReplyDelete
  42. usifanye mchezo na nchi hii lazima ukitaka kuwini uwe msanii ndio watakukubali wadau.amina aminia lazima usafishe jina la familia yako mana inanuka kwa biashara zisizo halali.watu wanajiuliza hela zote unazotoa unazitoa wapi???mbona wengine waheshimiwa hawana zote hizo??au unarudisha hela zisizo halali mlizopata kwa njia mbaya ili zisiwaletee balaa huko mbeleni???manake spidi ya kurudisha hizo hela imekuwa kali sana.

    ReplyDelete
  43. nakwambia labda hela walizopata kwa njia isiyo halali wameamua kuzirudisha watanzania wazifaidi,manake zingwewatokea puani,na mambo yao yasingeenda vizuri,kuliko kutangaza tunarudisha hela tulizoiba au tulizopata kwa njia ya unga wameona wazirudishe kimya kimya kwa njia ya kujitolea na misaada mbalimbali.amina na medi wake ni kiboko ,nawaaminia

    ReplyDelete
  44. namuona amina yuko karibu sana na vita kawawa inaelekea ndio mshauri wake mkubwa na atakuwa amechangia sana amina kubadilika tabia yake.sasa sijui kama vita naye amepata uloda au vipi.

    ReplyDelete
  45. amina chifupa ni mzuri sana,kama angekuwa ametulia hana mashauzi ni bonge la demu haswa,ila ana uswahili na mashauzi ya kujisikia sana,ingawa kwa upande mwingine anajitahidi sana kusaidia serikali.all the best amina just be careful manake ulipofikia sasa hakuna kurudi nyuma mama nimbele tu.

    ReplyDelete
  46. wote nyinyi wachawi hakuna hata siku moja mtaongea positive kuhusu mtu yoyote amina chifupa,cynthia masasi ni role models watu lazima wafuate nyayo zao hawa wanawake ni wa shoka.

    ReplyDelete
  47. kiboko ni zakia meghji yeye anawasaga wanawake wenzie hataki mchezo.alafu anahonga si unajua tena wizara yake ni nyeti.

    ReplyDelete
  48. Mimi nafikiri wauza unga namba moja tanzania ni polisi na vyombo vya usalama vyote hakuna cha kutaja majina au la. Kila kitu polisi wanakijua hakuna jipya ambalo Amina anaenda kumwambia Manumba ambalo halijui.

    Mambo yote yanajulikana hata mpaka kwa JK labda ninachofikiria ni kwamba ndivyo serikali zetu zinavyofanya kazi.

    Mimi nimekuwa nikishangaa Tanzania unashinda kila siku unapiga mzigo Kesho wenzako wakati wanakaa kijiweni tu wana vitu vya kutisha Sasa haya ndiyo majibu.

    Amina anajitahidi lakini anasema mambo ambayo watu hata na wabunge wake wanafahamu hila tunaomba endelea kupiga kelele nafikiri kinachosubiriwa na ambacho labda hata JK kimempa kigugumizi ni nani atamfunga paka kengele.

    Tusubiri tuone Amina akifunga paka kengele. Sasa kama Amina akifanya kazi ambayo JK angeifanya/vyombo vya dola vingeifanya inamaana tunaweza kuserve pesa zote vyombo vya usalama na washauri wanazozipata hili tumpe Amina? Make naona ni kama hawana kazi.

    ReplyDelete
  49. Nakubaliana na wewe anony 9:28:48 enzi za JK, kawawa na Msekwa walipigana vikumbo kumgombea Anna Abdallah, nasikia huyo mama anakata viuno siyo mchezo, Na anajua kutoa uroda ile mbaya.

    ReplyDelete
  50. Chifupa atishiwa kuuawa

    2006-11-16 09:03:34
    Na Rosemary Mirondo na Beatrice Philemon


    Mbunge wa Viti Maalum (CCM), Bi. Amina Chifupa, ametishiwa kuuawa na watu wasiojulikana kupitia simu yake ya mkononi.

    Madai ya mbunge huyu aliyatoa jana alipozungumza na waandishi wa habari hizi kwa njia ya simu kutoka Dodoma alikokuwa akihudhuria kikao cha Bunge kilichomalizika jana.

    Alisema amepokea vitisho kupitia vijikaratasi alivyoandikiwa akiwa ndani ya ukumbi wa Bunge, vikimuonya aachane na suala la wauza unga.

    ’’Sambamba na ujumbe huo, kupitia simu yangu ya mkononi nilitumiwa ujumbe mfupi wa maneno wa kunitishia kuniua.

    ’’Mbali na hayo, ndani ya ukumbi wa Bunge kwenyewe nimepokea ujumbe wa vikaratasi visivyo na majina vikisema kwamba ninajifanya najua kuongea’’, aliongeza kusema mbunge huyo ambaye alisisitiza bado hatetereki kwa vitisho hivyo.

    Ujumbe mwingine unasema ”we Amina wewe acha wewe, usijifanye unajua sana, ukiwa kwenye jumba la vioo usirushe mawe wakati na wewe umo ndani, tunaanza kukuchunguza kuanzia leo unapata wapi pesa, ni SISI USALAMA WA TAIFA
    Hivi wewe Amina unajiona wewe ni msafi sana? Au kwa kuwa sisi tumekaa kimya.

    Wewe ni mchafu sana , na sisi tukiamua kuanza kukuchafua hapatakalika hapa. Dawa yako iko jikoni inachemka, ndio utajua sisi ni nani umeyataka mwenyewe usimlaumu mtu. Wameshindwa wakongwe wewe mtoto wa juzi.

    Aidha Bi.Amina alipigiwa simu inayoonyesha kutoka nje ambayo ilisomeka call kwenye simu yake yenye matusi ya nguoni yakimuonya aache kuropoka.

    Vitisho dhidi ya mbunge huyu jasiri na chipukizi, vimekuja siku moja tu baada ya Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya jinai nchini, Bw.Robert Manumba kuahidi kuwa Jeshi la Polisi litamlinda na lipo tayari kupokea taarifa zinazohusu vinara wa uuzaji na usambazaji wa dawa za kulevya nchini.

    Aidha, Bi. Amina alisema amepokea simu kutoka kwa mtu aliyejitaja kuwa ni polisi, akimuonya asiongee na mtu yeyote kuhusu suala hilo, mpaka atakapotoka bungeni na kumshauri mara atakapotoka Dodoma aende moja kwa moja kwa Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI), Bw. Robert Manumba, kuonana naye.
    Hata hivyo, Bi. Amina hakutaka kutaja jina la polisi huyo.

    Bi. Amina alisema pamoja na kupokea vitisho hivyo, hataacha kufichua wafanyabiashara hao kwa sababu wanachangia kuwaangamiza vijana ambao ni taifa la kesho.

    Alisema baada ya kutangaza bungeni kuwa yupo tayari kuwafichua vigogo wanaojihusisha na biashara haramu ya dawa za kulevya, ameanza kupata ushirikiano kutoka kwa wabunge wachache wanaochukizwa na biashara hiyo.

    Nipashe ilipoongea na Kamishna Manumba jana kuhusu vitisho anavyopokea Mbunge huyo, alisema yeye hajapata taarifa zozote mbali na kusema kuwa suala hilo linahitaji kushughulikiwa kitaalamu.

    Hata hivyo, alisema kwa sasa anaweza kuwasiliana na kituo cha polisi Dodoma au kikosi cha kuzuia madawa ya kulevya.

    \”Pamoja na ujasiri wa Mbunge huyo, pia tunahitaji watu wengine wajitokeze kutoa majina ya wafanyabiashara hao ili tuweze kutokomeza biashara hiyo inayoleta madhara nchini,\” alisema Bw. Manumba.

    Kamishna Manumba alisema kuwa ili kuweza kukabiliana na biashara hiyo nchini, unahitajika ushirikiano kutoka serikalini na watu binafsi kwani suala hilo litashughulikiwa kwa siri kwa ajili ya kuwalinda watoa taarifa.

    \”Serikali ishirikiane kupiga vita suala hilo kisiasa na sisi tutalishughulikia kitaaluma,\” alisema Kamishna Manumba.

    Alisema hilo ni tatizo la kimataifa hivyo inakuwa ni vugumu kuwabaini vigogo halisi wanaohusika na kilimo na kutengeneza madawa hayo kwani hapa nchini wanaohusika na madawa ya kulevya ni mawakala.

    Alisema kuwa wazalishaji wakubwa wapo nchi za nje kama Mashariki ya Kati, Mashariki ya Mbali, Latin America na Afghanstan.

    Aliongeza kuwa kama serikali za nchi za Afrika na Bara la Ulaya zitakuwa imara, vyombo vya serikali vitaweza kufanyakazi zake vizuri katika kuweka mikakati ya kupambana hatimaye kupunguza tatizo hilo la madawa ya kulevya.

    Hata hivyo, Kamishna Manumba alisema kuwa hadi sasa hawajapata ushahidi unaoonyesha kwamba vigogo wanaotoka serikalini au taasisi wanashiriki katika uuzaji wa dawa za kulevya ila wamebaini kuwa kuna wafanyabiashara wakubwa ndio wanaoongoza kuingiza madawa ya kulevya nchini kama mawakala.

    SOURCE: Nipashe

    Habari za Leo
    Aliyemripoti mtoto wa RPC atishwa

    ’Mjadala wa kunyonga watu hadi kufa utaendelea’

    Msolla acha vitisho- RAAWU

    Tatizo la umeme ni la muda mfupi

    Lowassa akemea mivutano ya kisiasa na ubinafsi

    Chifupa atishiwa kuuawa

    CUF chabeza kauli ya Msajili wa Vyama

    Wafugaji 200 walioondolewa Ihefu wavamia bonde la Kilombero

    More news....


    -----------------------------------------------
    Maoni ya Mhariri
    Hili la wanafunzi kuacha shulena kuolewa lishughulikiwe haraka

    -----------------------------------------------
    Business bits
    Exchange rates
    Dar Stock Exchange
    Financial Times Editorial
    Financial Watch
    More business

    -----------------------------------------------
    Makala
    Vijana waandaliwe kutambua nafasi zao

    Tanzania yajinadi kwa wawekezaji

    Hujaacha fedha za mboga, lakini ukiandaliwa msosi unatilia shaka!

    Mpango wa damu salama walenga kuokoa maisha

    Bilioni moja kwa kila mkoa: Wananchi waelimishwe






    Privacy Statement Terms Of Use ©1998-2005 IPPMedia Ltd. All Rights Reserved.

    ReplyDelete
  51. shughuli pevu imeanza mmeona kazi kubwa iliyoko mbele ya amina chifupa ??naona hili swala sasa limekuwa serious ,may allah guide amina chifupa in her mission.

    ReplyDelete
  52. amina chifupa must be careful people are watching her steps all over manake anasema hata wabunge wenzake wengine wamemkaukia hawataki kumpa support.

    ReplyDelete
  53. if amina is serious on this one aombe mungu mana amejitafutia maaduii haswa na wenye hela zao na nguvu serikalini.mungu amsaidie manake ni watu wachache sana wako hivyo.

    ReplyDelete

  54. Ajitokeza kumsaidia Chifupa kufichua vigogo wa 'unga'




    .Asema mwanawe pia ni mmoja wa waathirika
    . Ataka mbunge huyo kijana apewe ulinzi mkali
    . Wang'arisha viatu, mafundi saa wahusishwa

    Na Beatrice Moses

    KADA wa CCM Bw.Kassim Mrisho, amejitokeza na kuomba wananchi kumlinda Mbunge wa Viti Maalum (UVCCM) Bi. Amina Chifupa dhidi ya mtandao wafanyabiashara wa dawa za kulevya kwa kuungana naye katika kuwafichua vigogo wa biashara hiyo haramu.

    Kada huyo maarufu kwa jina la 'Brenya boy,' mkazi wa Bagamoyo alitoa mwito huo jana wakati akizungumza na gazeti hili na kudai kuwa alichofanya Bi. Chifupa ni kitendo cha ujasiri ambacho lazima kimewakera vigogo wa biashara hiyo na wanapanga namna ya kumdhibiti.

    " Ni kitendo cha ujasiri ambacho kinapaswa kuungwa mkono na wananchi wote kwa sababu Mheshimiwa Chifupa hafanyi jambo hili kwa faida yake mwenyewe bali kwa maendeleo ya vijana na Taifa zima, dawa za kulevya zimewaathiri vijana wengi na kuchangia kuzorotesha nguvu kazi ya Taifa," alisema Bw. Mrisho.

    Alisema yuko tayari kushirikiana na mbunge huyo kuwafichua wanaoingiza dawa hizo na wanaoziuza kwa kuwa anawafahamu wanaojihusisha na biashara hiyo.

    " Tunawafahamu wanaoingiza na kuuza dawa hizo, naungana na Bi. Chifupa kuwafichua wafanyabiashara hao hasa katika eneo langu ninaloishi la Bagamoyo ili wakamatwe, wachukuliwe hatua zinazostahili," alisema.

    Hata hivyo, Bw. Mrisho alisema anasikitishwa na ujanja ambao umekuwa ukifanywa wanaouza dawa hizo baada ya kukamatwa ambapo alidai wamekuwa wakitumia fedha nyingi kuhonga na kumaliza kesi katika mazingira ya utata.

    Alisema kutokana na mazingira hayo, ameamua kujitokeza hadharani kuwahamasisha wananchi kuungana kuwafichua vigogo hao wa dawa za kulevya ili kukomesha tatizo hilo.

    "Nawaomba wananchi wenzangu tujitokeze tusiogope maana Rais mwenyewe aliahidi kutulinda, hii vita siyo ya Amina Chifupa peke yake bali yetu sote, tuangalie ni vijana wangapi wameathirika na kwa matumizi ya dawa hizi.

    "Tukimwachia mheshimiwa Chifupa pekee yake, mtandao wa vigogo wa dawa za kulevya wanaweza kumdhibiti lakini tukiwa wengi wataogopa umoja wetu," alisema Bw. Mrisho.

    Alisema kutokana na kufurahishwa na hatua ya mbunge huyo kutangaza bungeni kuwa yupo tayari kuwafichua vigogo wa dawa za kulevya, baadhi ya wakazi wa Bagamoyo wanajiandaa kumfanyia dua ili apate ujasiri zaidi wa kuibua mambo mengine ambayo yatasaidia wananchi hasa vijana.

    "Mimi mwenyewe mwanangu ameathirika kwa matumizi ya dawa hizo. Alikuwa ni mwanafunzi wa Sekondari ya Bagamoyo lakini aliishia kidato cha kwanza, baada ya kugoma kuendelea na masomo kutokana na kuathiriwa na dawa za kulevya. Ninachokiongea hapa ninakimaanisha, kwamba nami naingia mstari wa mbele kuwafichua vigogo wanaohusika," alisema Bw. Mrisho.

    Naye Said Mwishehe anaripoti kuwa baadhi ya wang'arisha viatu na mafundi saa wanajihusisha na uuzaji wa dawa za kulevya katika maeneo yao.

    Hayo yalisemwa jana na Meya wa Manispaa ya Ilala Dar es Salaam Bw.Abuu Jumaa wakati alipokutana na viongozi wa wafanyabiashara hao na kuwaonya wanaohusika kuacha mara moja tabia hiyo.

    Bw. Jumaa alisema imebainika kwamba baadhi ya wafanyabiashara hao, wamekuwa wamekuwa wakijihusisha na biashara hiyo haramu katika maeneo ya kazi zao.

    "Tumefanya utafiti wa kina na kubaini kuwa licha ya kutengeneza simu , saa na kung'arisha viatu ,kuna watu wanajihusisha na uuzaji dawa za kulevya.Juu wanapanga biashara kama kawaida na chini wanaweka dawa za kulevya,"alisema Bw. Jumaa.

    Alisema kutokana na hali hiyo viongozi wa manispaa hiyo hawatavumulia kuona wafanyabiashara hao wakiendelea na biashara hiyo haramu.

    "Kuanzia leo manispaa inawataka wafanyabiashara hao kuachana na biashara hiyo na endapo watabainika kuendelea nayo wataondolewa kwenye maeneo hayo na kuchukuliwa hatua kali kwa mujibu wa sheria za nchi" alisema Bw. Jumaa.

    Aliendelea kusema "Tunaomba mbadilike mfanye biashara mnayotakiwa kuifanya, si vinginevyo, tutapita na kukagua mara kwa mara kuwanasa wenye tabia hiyo"

    Mbali na kuuza dawa za kulevya Bw.Jumaa alisema maeneo ya wafanyabiashara hao yamegeuka vijiwe vya kupanga 'dili' za kufanya maovu .

    "Watu wasio na kazi wamegeuza maeneo hayo kuwa sehemu za kupanga kufanya shughuli za uhalifu,"alisema.

    Aliwataka wafanyabiashara hao kuhakikisha hawawaruhusu watu wasiohusika kukaa kwenye biashara zao , wanapokuwa kazini.

    Pia alitoa ushauri kwa wafanyabiashara hao kuhakikisha wanawahimiza watu kujiunga kwenye vyama vyao kwani hiyo itakuwa rahisi kugundua kazi wanazozifanya.

    Katibu Mkuu Msaidizi wa Umoja wa Wang'arisha Viatu (UWAVI) Bw. Gugo Kisima, alikiri kuwepo kwa tatizo hilo lakini alisema hafahamu ni watu gani wanaofanya hivyo kwani idadi ya wang'arisha viatu, imeongezeka tangu operesheni vunja vibanda ilipoanza kutekelezwa.

    ReplyDelete
  55. kazi ipo amina ngoma umeianza naona umepata washabiki.hongera mama aminia.mungu akulinde mama.

    ReplyDelete
  56. makubwa amina ni maarufu tanzania nzima.

    ReplyDelete
  57. Nimeasoma baadhi yamitundiko. Nashangaa kwani sina habari kamili. Kwa kifupi, hayo mapesa Chi-bone (Chifupa) anayomwaga mwaga kusaidia watoto walala hoi na sikukuu kubwaaaaaaaaaaaaa (Bunge la zamani Dar) = pesa za mumewe za unga? What a propaganda ya ki-publik relasheni ployi ya kujenga na kupamba image yake ionekane "mtakatifu"!

    Wakatabahu,

    Born Again Pagan

    Signing off for now.

    ReplyDelete
  58. amina ninanchoweza kukushauri ni kuwa ni kweli wapo wauza madawa ya kulevya hapa nchini, hilo hakuna asiyelifahamu, hata maeneo yanajulikana kabisa, cha msingi usiwe chambo katika hili. nafikiri azma yako ni nzuri ila ungeweza kuwasilisha hayo majina kwa DCI nk bila ya kuweka maisha yako katika hali ya hatari. nasema hivyo kwani uliona jinsi gani jeshi la polisi lilivyofanya wakati wa zoezi la kutaja majambazi, waliweka hadharani bila ya mtu yoyote kupata kitisho na sheria ikachukua mkondo wake. sasa kama unadhani kwa kuwataja wewe ndio sifa unapotea na pia inaonyesha jinsi gani sayansi ya jamii imekupita kushota.nazidi kukusikitikia kwasababu matendo unayoyafanya kama mbunge yanazidi kudhihirisha ni jinsi gani upeo wako wa kufikiri ni mdogo na pia hufai kuwa kiongozi wa mambo mazito. i dought kama huwa mnachaguliwa kwa kupima uelewa au ni suala la kuhonga zaidi. pia narudi kwa vijana na rai wa Tanzania tunaopiga kura inabidi tuchague viongozi wenyewe uwezo na sio bora kiongozi, mfano waliompigia amina kura nashindwa hata kuwaelewa walikuwa wanafikiria nini!maana ni bogas kuliko kitu chochote, she was fine with africa bambata, chuchu lakini sio ubunge. yaani amina ananisikitisha sana tena sana au aliambiwa kuwa mbunge ni kuropoka, kuuliza maswali hata yenye majibu, kulia ovyo kwenye TV, kutoa fedha kwa kila goli na kuvaa makofia yasikuwa na mbele wala nyuma. anatuangusha lazima tusema hususan sisi vijana tuliopiga shule.

    ReplyDelete
  59. Amina Chifupa anadandia vitu bila kuvifanyia utafiti.hili swala la madawa analifanyia approach ya kimitaani na nashangaa kuona watanzania tunavyokubali kupelekeshwa.anachokifanya amina siyo kazi ya bunge ya kutangaza siku kibao watu wako standby kungoja amina afichue wauza unga.kama raia mwema angeweza kwenda kuwaarifu polisi kimyakimya na kungoja hatua ichukuliwe.iwapo hatua isingechukuliwa then angeweza kupeleka allegations bungeni.amina kuna siku nimemsikia kwenye mahojiano anashauri pesa zinazotumika kupunguza kasi ya ueneaji wa ukimwi zitumike kudhibiti maralia eti kwa vile malaria inaua haraka kuliko ukimwi!!!mbunge huyu hajui kuwa hizo pesa anazoziona kwenye miradi ya ukimwi sio za walipa kodi wa tanzania na zinakuja tanzania kwenye bahasha iliyoandikwa HIV/AIDS!!!

    ReplyDelete
  60. Pole, Mbunge Amina Chifupa kwa yale uliyoyasema na ambayo wayajua kwa dhati!

    Vyombo vya dola: CID na Squad ya Rushwa, kazi kwenu!

    Waziri Mwapachu (Usalama wa Umma), kazi kwako!

    Mkurugenzi wa Security na Intelliegence (Usalama wa Taifa), kazi kwako!

    Ni matumaini yangu kwamba safari hii TZ inapiga hatua kubwa concretely kuvuka marktime ya yaliyoandikwa na Tume ya Jaji Warioba, which is asphyxiating!

    ReplyDelete
  61. JK alimwa barua

    2006-11-16 15:46:51
    Na Waandishi Wetu, Jijini


    Sakata la biashara haramu ya unga linaloendelea kuwa gumzo hapa nchini hasa katika Jiji la Dar es Salaam, limechukua sura nyingine baada ya Serikali kutumiwa waraka mwingine mrefu unaozungumzia jambo hilo.

    Kwa haraka haraka, unaweza kusema huu ni waraka wa tatu kutumwa kwa Rais Jakaya Kikwete ukitoa kilio cha watu juu ya tatizo hilo.

    Siku chache zilizopita ilielezwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Bw. Jakaya Kikwete alipelekewa waraka mrefu wenye majina ya baadhi ya vinara wanaojihusisha na baishara hiyo nchini, wakiwemo watu maarufu kadhaa katika jamii.

    Kisha muda si mrefu, ikaelezwa kuwa waraka mwingine umetumwa serikalini, ukiwa na vinara wengine kibao wa biashara hiyo ambao hawa, wanatajwa kuwa ni wafanyabiashara maarufu, viongozi wa dini na maafisa wengine wa juu ndani ya Serikali.

    Lakini, pengine wakati Serikali ikiendelea kutafakari namna ya kukomesha biashara hiyo, ujumbe umetumwa.

    Katika waraka huo wa tatu, wenye kumbukumbu REF/SCS/Vol1/10/06, waandishi wake wanasema kwa mujibu wa utafiti wao, wamebaini kuwa biashara ya dawa za kulevya ni kubwa sana na katika mzunguko wa pesa, inakadiriwa kuwa na sh. bilioni 7 za Kitanzania kwa mwaka.

    Na kwa sababu hiyo, inasema barua hiyo kuwa hali hiyo ni ya hatari kwa sababu kiasi hicho cha pesa hakiingii katika mzunguko mwingine kibiashara zaidi ya hiyo ya dawa za kulevya.

    ”Hili ni suala zito na lazima Serikali iamue kwa dhati kulishughulikia. Inasikitisha kuwa baadhi ya viongozi wa kisiasa wanaonekana kulitumia kama mtaji wa kujikubalisha zaidi kwa wananchi badala ya vitendo kuonekana... inasikitisha sana,’’ unasema waraka huo.

    ”Tunaomba Rais aongeze nguvu katika kutokomeza biashara hii ya hatari,” unaongeza waraka huo.

    Waraka huo umetumwa na taasisi moja isiyo ya binafsi inayolenga katika kuhamasisha vita dhidi ya madawa ya kulevya nchini.

    Sakata hilo la madawa ya kulevya lilianza kushika kasi baadaya mbunge Amina Chifupa kuipa changamoto kubwa Serikali kwa kulitaka Jeshi la Polisi limfuate ili alipe majina ya wanaojihusisha na biashara hiyo na pia kuwaonyesha maeneo inakofanywa biashara hiyo.

    Hata hivyo juzi Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai nchini Kamishna Robert Manumba aliahidi kushirikiana na mbunge Chifupa na wananchi wengine ili kuwanasa wahusika.


    SOURCE

    ReplyDelete
  62. sina hakika kama amina wabunge wenzake wa serikali ya awamu ya hii wanamfurahia,kwa kile ambacho nafikiri jinsi anavyofunika sana kwenye mijadala yake na uchangiaji wa miswaada bungeni.nasema hivyo kwa kuwa hata ndani ya bunge wamemtumia msg wabungwe wenzake kwenye vikaratasi kuwa aachane na hilo swala la unga,na kumwambia pia kuwa anajidai yeye ndiop anajua sana kuongea huko bungeni.kwa kweli hata maisha yake mbele ya baadhi ya wabunge wenzake ni kitndawili.kwa kifupi amina anamaisha magumu tangu aanze mkakati wake ,mungu amsaidie sana na ampe busara maana bila mungu hamna linalowezekana.

    ReplyDelete
  63. amina kweli mungu amlinde na kumuongoza njia kwa vile kazi aliyojikita na mikakati yake na procedure amabazo ameamua kutumia yeye ni ngumu sana sana,na watanzania wameshazoe kudanganywa sasa linapokuswa swala la fact na linalomgusa kila mtanzania hapo ndio watu wanapokuwa makini wakiwa hawaaminiyale wanayoyasikia.na biashara ya unga ina shetani mkali sana na hela yake ni tamu sana maana wanaioata bila kuvuja jasho.namuombea dua amina kama anayoyafanya anamaanisha kutoka rohoni kwake basi mungu awe naye.

    ReplyDelete
  64. kamam amina chifupa hii ndio staili yake aliyoamua kutumia kupambana na madawa ya kulevya,i mean kutumia vyombo vya habari na sio kwa siri amejikita kwenye vita kali sana ambayo anatakiwa mungu tu amuongoze na sio binaadamu.

    ReplyDelete
  65. ama kweli ni kazi manake hata asha rosemigiro naye ni mama mdogo wa akina ridhiwani,kweli uchumi tunao na tumeukalia.hebu nami nijitahidi kutingisha matako yangu

    ReplyDelete
  66. KUNA WANAO DHIHAKI VITA YA MADAWA YA KULEVYA KWA KUJITAFUTIA UMAARUFU AU KWA SABABU WANAZO ZIJUA WENYEWE VITA HII AIWEZI KUFANIKIWA KWA KUFUATA MAEELEZO YA MTU KAMA CHIFUPA YEYE ATAKUA ANAWAJUA WATEJA UCHWALA NA WAUZA VIKETE,WALIO JAA TELE KILA KONA ZA TANZANIA,MINGINE KAZUKA BAGAMOYO HUYU BWANA KESI MBRENYA YE ANYAMAZE AMEJARIBU USEAMAN GREECE,AKENDA CUF SASA CCM YE NIMMOJA ALIOWAHI KUFANYA BISHARA HIYO,MEYA WA ILALA ABUU JUMA NAE ANASTAILI KUCHUNGUZWA MWISHONI MWA MIAKA YA 90 NYUMBANI KWAKE POLISI ILIKAMATA GRAM 700 ZA HEROIN ATUJUI KESI ILE ILIISHAJE,HAO WOTE NI WAFANYA BIASHARA HIYO UHWARA MTANDAO UNAO TAKIWA KUUPIGA VITA NI ULE UNAO SHUSHA TANI ZAMADAWA KWA MELI NA NJIA ZA ANGA,MADAWA YANAYO ISHIA NCHINI NI MACHACHE KULIKO YALE YANAYO PITA TRANSIT,MAFANIKO YATA PATIKANA KWA KUWASHIRIKISHA WALIOFANYA BIASHARA HIYO WAKA STAAFU(VOLUNTIER INFORMER)TENA KIMYAKIMYA SIO HAWA WANAOTUMIA VIBAYA UHURU WA KUSEMA KWA KUPITIA VYOMBO VYA HABARI.

    ReplyDelete
  67. kwani siri hawa wote waliopata vyeo huko juu vya jk ni chupi tu zimepita huko na wala sio vinginevyo.kweli kazi ipo manake watu wanashindana kugawa uroda na inategemea kuwa je kuma yako ina mnato au vipi?wataalamu wa kugawa wapo kibao akina chifupa ,rita mlaki,hadija kusaga nk

    ReplyDelete
  68. naona ndio mana mama lowassa ameamua kubanana na mumewe kila mahali manake watammaliza asipoangalia.kila pm pm pm shughuli.ila batilda burian naye naona anapenda sana kumfwata pm kil wakati sijui amnaliwa uroda manake mhhh

    ReplyDelete
  69. we anoy haqpo juu msalie mtume,uroda ni mambo ya kawaida kwenye serikali.

    ReplyDelete
  70. vijana wa jk ni marijali damu inachemka na ngono ndio kama apetizer wakiwa bungeni.ohhho kalagabaho mama.

    ReplyDelete
  71. wanatombana huko bungeni kama vichaa,si mawaziri wala wabunge,woote.

    ReplyDelete
  72. Manumba nimefurahia kusikia kuwa atamulinda Amina. Pia nimefurahi akisema wauza unga wakubwa labda wazuiliwe nchi za nje nk.

    akiwa kama chief ukianza kusema hivi na kutegemea sana wananchi wakati inaonekana jitihada zako ni ndogo hujue kazi imekushinda. Mbona majambazi mulianza kushika mmoja baada ya mwingine bila hata kuletewa na wananchi?

    Hili mnasema mnavyojua kuna wadogo, chain rule ina maana huijui? Je hao wadogo wameweza kuchunguzwa na kuweza kubaini wanapata wapi? Au wanapata toka mbinguni? Mimi nafikiria tena Amina mwana wa CHigufa anapoteza muda wake.

    Kama hao wakubwa wamenyamaza na wanasema hao wadogo wapo lakini wanatafuta wakubwa Mass sisi wana wa wadau tuwaeleweje? Je hizo ndizo pesa zinazotumika wakati wa kampeni za ubunge, udiwani na uongozi wa pesa za mitaa? Na je ndizo pesa zinazotumiwa na viongozi mbali mbali katika hongo? Je ndizo pesa zinazotoa missaada ambayo hailingani na vipato vya akina yahye? Haya mambo tumuachie mwenyezi mungu tu sisi wanadamu hatuyawezi.

    ReplyDelete
  73. Cynthia Masasi, hajambo?

    ReplyDelete
  74. DU MICHUZI HADI RAHA KUSOMA ISSUE KATIKA HII BLOGU... YAANI OVER NIKO MAGOMENI MAPIPA NA KIKOMBE CHA GAHAWA NA WALE WASWAHILI WALIOBOBEA WASIOFANYA KAZI YA KUJENGA NCHI BALI MAJUNGU.... LAKINI HAYA YANALIPA...AKIYANNANI TENA.

    SASA TUANZE NA AMINA, KWANZA NILIPOSIKIA KUWA KACHAGULIWA KUWA MBUNGE NILITAKA KUZIMIA... KWANI KAMA NCHI TUNATAKA ROLE MODEL HASWA KWA WATOTO WANAOKUWA - HIVYO KWA KUMCHAGUA AMINA NA WATU WOOOOOTE HATA WATOTO WADOGO WANAFAHAMU YEYE NI NANI BASI WANA HAKI KABISA YA KUFIKIRI KWA KUFUATA MKONDO WA AMINA HATA WAO WATAFIKIA UBUNGE NK. PILI KIELIMU NA UPEO NI SIFURI... NA NDIO MAANA HATA ISSUE KAMA HII UA MADAWA KAICHUKULIA PAPARA KANA KWAMBA NI MGENI NA NCHI AU BASI HATA HAANGALII FILAMU KUWA KUNA MAMBO YANATAKIWA KUENDESHWA CHINICHINI KWA SIRI KWANI SIO SIFA KAMA KUTOA MSAADA WA HELA KWA YATIMA... HIVYO KACHEMSHA.

    TATU KAMA SERIKALI INAAMUA KUWAWEKA WATU KAMA HAWA BUNGENI BASI IFIKIRIE PIA KUWAENDELEZA KIELIMU SIO TUU KUENDELEZA MITOMBO -

    NNE MITOMBO.... NI ISSUE KUBWA MANAKE WAKATI WA BUNGE HUKO DODOMA NI ZAIDI YA SODOMA NA GOMORA... HATA WEWE MICHUZI NI SHAHIDI. NI KWELI USHAHIDI WA PICHA ZA X HATUNA LAKINI KUNA MAMBO KIBAO TUMESHUHUDIA KWANI DUNIANI HAKUNA SIRI BWANA... HATA MZEE JK TULIKUWA TUNAONA ANAVYOOPOA TOTOZ PALE MAKAO MAKUU HII KABLA HAJAWA RAIS KWA SASA SIJUI...

    KINACHOFURAHISHA NI KIMOJA TUU SIKU NA SAA IPO KWANI PIA NETIWORK YA GONJA BALAA LA UKIMWI IPO PIA HAPO BUNGENI MAJIBU YAO WATAYAPATA.... IWAJE NDIO TUNAAMBIWAGA AAH KAPATA SHINIKIZO LA DAMU GHAFLA.... AAAH INATOSHA...

    AMINI AM NOT IMPRESSED KABISA TAFUTA NJIA INGINE YA KUPATA UMAARUFU NA KUSAIDIA TAIFA LA KESHO .... ILA HII NI MCHOSHO KABISAAAA.


    MWISHO JAMANI BASI KISWAHILI LUGHA YETU KAMA HUNA UHAKIKA NA UMOMBO WA KUCHANGANYA KATIKA MAONI YAKO INGEPENDEZA ZAIDI KUTUMIA KISWAHILI KULIKO KUBOFOA INASHUSHA HADHI YA BLOGU.... HHAHAAAA

    ReplyDelete
  75. Basically, the girl is stupid. Mheshimiwa my behind. This is why i think she is stupid - anasema anataka kutoa majina ya druh dealers, halafu akishataja ndiyo polisi wampe protection. Atashangaa kama hao drug dealers hawajam shughulikia kabla hata hajaongea. She is an epitome of stupidity

    ReplyDelete
  76. Zemarcopolo,
    Hao ndio Watanzania bwana kama huwajui. Kukaka chini na kutafakari jambo kwao ni mwiko. Amina anataka umaarufu wa kirahisi na watu sasa wanamwona shujaa. Kwa lipi hasa alilolifanya? Kusema atataja kila mtu anaweza kusema hilo. Tatizo la madawa ya kulevya linajulikana kote na polisi na serikali wanawajua wauzaji na waagizaji hawahitaji Amina awaseme. Yuwapi yule aliyekamatwa na Mbei na mtambo wa kuprocess cocaine hadi Sumaye akaenda kushuhudia. Watanzania badilikeni.

    ReplyDelete
  77. AMINA CHIFUPA NI MCHEMSHAJI TUU. HUKO BUNGENI NGOJA NIWAPE MFANO MMOJA. SERIKALI ILIWAPA WABUNGE WAZOEFU HELA ZA MAGARI AMBAZO ZILIKUWA NYINGI KIDOGO KULIKO ZA WABUNGE WAPYA. AMINA AKAANZISHA KAMPENI KUWASHAWISHI WABUNGE WAPYA WAPINGANE NA HILO, AKAANZA KUPITISHA VIMESSAGE BUNGENI VYA KUMPONDA LOWASSA KWA KUFANYA HIVYO, KAMA SI UROHO WA HELA NI NINI????MSHENZI HUYU HAFAI HATA KUWA MWENYEKITI WA TAWI. MALAYA TU KUJITIA TIA, ANATAFUTA KUGOMBEA UBUNGE WA JIMBO HANA LOLOTE.

    ReplyDelete
  78. Anony aliyesema hao ndio watanzania, na huyu mwenzangu wa november 16,2006. Mnanishangaza kitu kimoja kwani siasa za tanzania mmezijua leo? Siasa za tanzania ni jinsi gani unacheza karata zako hata mto ambaye kabisa hajaweza kuchungulia darasa namaanisha darasa la kwanza tanzania akicheza vizuri atakuwa kiongozi tu.

    Hata ukiweza kufanya mambo ambayo ni kinyume na jamii husika hili mradi hujue unafanya nini.

    Ndio maana watu wenye uwezo wa kuwa viongozi hawawezi kuwa kwa sababu ya siasa nzuri, murua zetu.

    Amina amezijua na Amefanyikiwa na kuwa prof. wa siasa za tanzania yuko kwenye anga zake za kujidai. Mtu aliyekwenda shule ana limitaion na anajua ni nini hasa kinatakiwa kufanya kabla hujatoa statement yoyote. Lakini kama Amina nampongeza kwa kufuzu katika siasa za tanzania. ongera AMIna.

    ReplyDelete
  79. Ama kweli ngono inauza, maoni yote haya ni kwa sababu ya picha ya chifupa akiwa.....
    Nashauri bwana Michuzi ueendelea kuweka pica kama hizi ili watu wavutike na kutoa mawazo muafaka.

    ReplyDelete
  80. Mambo mawili, hivi ni lini tutakubali kuwa wanawake wana uwezo wa kuongoza, na kwamba si kila mwanamke mwenye cheo anajiuza? Kwanza hamna uthibitisho wowote. Hili jambo linasikitisha sana, tunasahau utendaji wa wanawake hawa, tunafikiria ngono tu, ndiyo maana hatuendelei. Na pia tunawakatisha tamaa viongozi wengine wanaowajibika kisha wanaishia kuambiwa kuwa wamefanikiwa kwasababu wamelala na fulani, hebu tupanue fikira zetu kidogo.
    Pili, hivi tangu lini mtu akapewa ulinzi kwa kufanya kazi yake? yeye si mbunge wa vijana, basi wacha atatue tatizo la madawa, na kutaja majina, ila sasa isiwe ishu mpaka hatulali.
    Hebu oneni mambo muhimu yanavyosahaulika kama swala la umeme, uwekezaji na mengineyo, na kila mtu sasa ameshikilia Amina, Amina, mnaolalamika Amina mhuni na mjinga, mbona sasa katawala midomo yenu? si na nyie wajinga kama yeye tu?
    Tutafika kweli?

    ReplyDelete
  81. heeeeeeee,amina naye kageukia mabomu,haya.Muulize Lyatonga wa kiraracha,atakwambia hataki tena mabomu,

    ReplyDelete
  82. lol, kweli watanzania tuna majungu, hard to apreciate anything positive, kuponda na kutafuta kasoro ndogo ndogo ni wa kwanza. lets try measure things in positive and negative and not only negatives ones.

    ReplyDelete
  83. KAMA MBUNGE WA TZ AMINA KAFANYA KAZI YAKE YA KUSEMA KULIKO WALE WANAOLALA BUNGENI HATA KAMA NI MAPROFESA. SUALA LA MUNGAI KUPUNGUZA MASOMO YA SEKONDARI ALISEMA LIKATATULIWA.KUKUMBUSHANA NI MUHIMU HATA KAMA SUALA LINAJULIKANA. WABUNGE NDIYO SERIKALI YENYEWE. SO, AKIOGOPA MBUNGE KUSEMA NANI ATAWEZA? SI USHINDI KWA WAOVU DHIDI YA SERIKALI?. PIA IELEWEKE ANAFANYA KAZI YAKE. MAANA YA UBUNGE SIYO KUTOA SHILINGI TU.

    ReplyDelete
  84. jamani nilikuwa pale dodoma kipindi chja bunge kikazi tu,yaani waheshimiwa wanafanya ngono kama vichaa,kwanza kipindi cha bunge dodoma panabadilika hata bei za vitu zinapanda,kunakuwa na wasichana wazuri mji mzima,na wabunge wengi wanakuwa wameshaimport totoz zao mbalimbali na zaidi ya yote kama hujaimport kuna watoto wazuri pale ni wewe tu na urijali wako.

    kwa akina mama wabunge sasa inabidi wabanane na wanaume zao wa pale bungeni manaake wanaweza wakaachwa kwenye mataa bila kujijua.kwa hiyo kuna wale ambao wanajulikana kabisa kuwa ni mtu na bf wake ndani ya bunge.kwa mfano mohamed abdulaziz na lucy mayenga ni couple inayoeleweka kwa kila mtu pale bungeni ingawa sio mtu na mkewe.
    kwa kweli bunge la jk pale dodoma ni sodoma na gomora,jamani kama wanafunzi wa secondari,hili janga la ukimwi sijui itakuwaje.

    ReplyDelete
  85. amina chifupa huyu ndio chakula cha kila mtu mpaka wanamgeuza nyuma kimaumbile kwa kweli ni hatari sana.

    mtoto anapenda umaarufu kwa kugawa uroda na kujitangaza kwenye vyombo vya habari,jamani amina sijui itakuwaje.

    ReplyDelete
  86. jk naye ndio kamanda wao katika swala la ngono,jamani kwani ni siri???
    yuke bibie aliyekuwa naye kwenye campain akimuimbia ambaye nivick kamata sasa amepewa ajira na bank kuu goveners office baada ya mzee kunogewa na mavituz.
    jk ni rijali haswa hata mama salma anajua na anakubali .
    hapitwi na sketi mbele yake .hawa mawaziri wanawake wachanga changa lazima afunue chupi.

    asha rose migiro ndio kama mke mdogo,mzee anajishindia kwa raha zake,jk aminia babake

    ReplyDelete
  87. pm naye ni mtaalamu sana japo anajitahidi kuwa msiri ila naye ni rijali kisawa,ametembea mpaka na mtoto wa pm mwenzake wa zamani JUNI WARIOBA MALAYA ALIYESHINDIKANA.sijui kama wameshaachana au vipi.ala serikali yoote ya jk ni chini kwa kwenda mbele.

    ReplyDelete
  88. kumbe ndio maana wake za wakubwa wote wanafrustrations manake kila kitu wanacho tatizo hawapati vizuri mbooo za waume zao,wanapata mara moja kwa nadra sana,kila siku wako ziara na akirudi home baba amechoka inabidi mama abakie amechanganyikiwa,mke kama wa magufuli ameamua kujiokokea manake anaona kwa nguvu zake mwenyewe hataweza.huyu janet wa makufuli ambaye ameshajua kabisa mumewe ana kimada na ana mtoto wa nje.kweli lazima uokoke bila kupenda.

    hata mke wa bakari mapachu naye kaokoka ,mambo ni hayohayo manake anaona mme sio wake peke yake hapati mbooo kisawa sawa,tena mtu wa tanga yule mapachu kwa chupi ni kiboko. wake wengi wa wakubwa hawana raha kabisa hawapati mboo inavyotakiwa.

    hata wake za wafanyabiashara au vigogo wengine hapa bongo wamechoka kabisa,ukimuangalia mke wa kimei huyu mkurugenzi wacrdb mama ni amekunja uso kila saa.ana hela ila mume wake ni kiwembe kwa kwenda mbele.,hata mke wa zadok naye mpaka alitaka kumtoroka mumewe ila akatisiwa kuuawa akarudi nyumbani.
    ukiangalia mke wa liumba wa bank kuu ndio amelala kitandani anauguza ngoma aliyoletewa na mumewe tangu enzi,huku mume akiendelea kutia wanawake wengine kama vichaa,jamani acheni wake za vigogo wachanganyikiwe manake mbooo za waume zao hawazioni,wanaishia kuwa na majumba makubwa yenye kila kitu na raha ya ndani yanyumba haipo.
    ngoma itatumaliza watanzania.

    ReplyDelete
  89. amina chifupa kweli ni stupid na washauri wake ni wabovu sana.

    ReplyDelete
  90. pm inaelekea ndio mwanae amemfuatisha kwa kupenda ngono.manake huyu pamella lowassa nasikia anapenda sana ngono na kugawa uroda sana,tena anatongoza wanaume.

    ReplyDelete
  91. michuzi kama wewe ni rafiki wa amina chifupa mwambie aache kuropokwa ovyo mambo hayaendi hivyo,na umaarufu hauendi hivo,anatakiwa ajifunze techniques za kupresent mambo ya kuisaidia jamii.

    ReplyDelete
  92. mpakanjia ni mwili mkubwa tu ila mboo yake ni ndogo sana,muacheni amina atafute mboo za maana,manake kuma yake bado ni changa inahitaji mitarimbo ya nguvu.

    ReplyDelete
  93. alafu mtoto amina ana sauti nzuri sana sijui akiingia chumbani sauti inakuwaje,anapolalamika kitandani wakati mboo ikiingia kumani nafikiri unaweza upate kiwewe,inaeklekea anajua kulalamika sana kitandani ,amina lazima nami unipe mgongo.

    ReplyDelete
  94. wewe annoy hapo juu na wewe inaeleke ni mtu wangono sana ushindwe na amina ni mke wa mtu.koma

    ReplyDelete
  95. Kikwete aombwa kuzima vitisho

    2006-11-17 08:39:47
    Na Frank Mbunda


    Rais Jakaya Kikwete, ameombwa kuchukua hatua kuzima vitisho ambavyo vimeanza kutolewa dhidi ya wanaojitoa mhanga kufichua vinara wa dawa za kulevya nchini.

    Ombi hilo lililotolewa na wazee, linafuatia vitisho dhidi ya Mbunge wa Viti Maalum(CCM) ,Bi. Amina Chifupa toka kwa watu wasiojulikana wanaodhihirisha kuwa ni kundi hatari la biasharaya dawa za kulevya.

    Wazee wameahidi kutoa ushirikiano na kuhakikisha usalama wa Mbunge huyo unaimarika na kwamba watafanya maandamano ya kumuunga mkono.

    Ombi hilo walilitoa jana kwenye mkutano ulioandaliwa na Shirika lisilo la Kiserikali linalojihusisha na mapambano dhidi ya dawa hizo na mazingira mkoani Mbeya (MRECA).

    Akizungumza baada ya kumalizika mkutano huo, Mkurugenzi wa MRECA, Bw. William Mwamalanga alisema washiriki walikuwa wazee wa kimila pamoja na waasisi wa TANU na CCM ambao kwa pamoja walijadili vitisho vinavyowakabili watu waliojitolea mhanga kufichua biashara hiyo haramu.

    Bw. Mwamalanga alisema wazee hao wanaamini ukimya wa serikali katika kushughulikia suala hilo na kuwakamata vinara hao imesababisha jeuri.

    ”Vinara hawa, wamepata jeuri baada ya kuona ukimya kutoka kwa Rais Kikwete, kiasi cha kuamini kwamba serikali inawaogopa na wasingekamatwa mpaka wachunguzwe,” alisema Bw. Mwamalanga.

    Alisema jamii kwa sasa inafahamu watu hao na kuwa kilichofanywa bungeni na Mbunge Chifupa ni kuiweka sawa serikali isijidanganye kwamba wananchi hawajui kinachofanywa na vinara hao.

    ”Wazee wameapa kufanya maandamano ya amani ya kumuunga mkono Mheshimiwa Amina Chifupa, pamoja na kumhakikishia kuwa watu wa mkoa wa Mbeya wapo tayari kufa kumtetea yeye,” alisema Bw. Mwamalanga.

    Kwa mujibu wa Mkurugenzi huyo wa MRECA, jamii imemuomba Rais, kuwakamata vinara hao ili uchunguzi huru uweze kufanyika na baadaye wachukuliwe hatua.

    ”Wazee wanapendekeza uchunguzi dhidi ya waliotajwa kwenye ripoti za siri ufanyike mara baada ya wahusika hao kuwa wamekamatwa,” alisema Bw. Mwamalanga.

    Alisema jamii imeanza kupoteza imani kutokana na ukimya na hatua ya kushirikisha maofisa wa polisi katika zoezi hilo, kwani baadhi yao ndio wanaohusika kuwalinda vinara hao.

    Aliongeza kwamba, vinara wa biashara hiyo haramu ya dawa za kulevya hivi sasa wamejipanga kutaka kuihujumu serikali kwa kuwaweka sawa baadhi ya Mawaziri.

    ”Tunamuomba Rais Kikwete kuwa makini na jambo hili, watu hawa ni hatari kwa maslahi ya Taifa, na ukimya wa aina hii utabadili maadili na misingi ya utawala wa nchi, kwani kutajengeka matabaka ya watu wanaoogopwa,” alisema Bw. Mwamalanga.

    SOURCE: Nipashe

    ReplyDelete
  96. sasa amina chifupa amekalia makaa ya mawe manake adeal mafia na kama angekuwa italy tayari tungekuwa hatunaye,manake kule ndio kiboko ya mafioso,kuanzia serikali mpaka wananchi,wanaogopwa sana sana.

    ReplyDelete
  97. LAST BUT NOT LEAST: THIS IS A SERIOUS ISSUES AND IT IS FOR THE BENEFIT OF THE ENTIRE COUNTRY.MOREOVER, THE BEST WAY FORWARD IS SIMPLY TO ALLOW THE INCHARGE OF THE OPERATION WHOEVER IS; PROVIDE A TELEPHONE NUMBER THROUGH THE MEDIA, BE IT NEWS PAPERS OR TELEVISION TO CALL THE PROVIDED NUMBER AND SAY/GIVE THE NAME OF THE SUSPECT WHO IS INTO COCAINE/HEROINE, ETC BUSINESS!!!!!
    LET THE OPERATION BEGIN IN THE NEW YEAR 2007, FOR NOW IT IS HOLIDAY SEASON, ALMOST CHRISTMAS AND THUS IT MAY DISRUPT THE WHOLE OPERATION.
    DEAL
    LET BE PEACE ON EARTH !

    ReplyDelete
  98. Angalia Amina ni star no. mbili Tanzania baada ya rais Kikwete. Ukikwaruzana naye umekwisha, hiyo ni tanzania nzima. Kwa hiyo ninachojua hakuna mwenye ubavu tanzania wa kumutingisha hata hao wafanya madawa pamoja na pesa atawakoromea na watafiata mikia. Hata wabunge wenzake ukitaka usirudi bungeni tena kwaruzana naye utaachwa kule mbali.

    Next time nafikiri atakuwa waziri wa wizara kubwa. Na kweli uwezo anao na maendeleo anaweza kuyaleta. Siyo lazima huwe na degree kubwa ili uletee wananchi maendeleo. Rais wa Brazil hana hata first degree lakini anaongoza linchi likubwa kama brazil.

    ReplyDelete
  99. ninachojua kuma ya amina chifupa inafanya kazi zaidi kuliko mdomo wake.yaani kugawa uroda ili kuweka mambo yake sawa na baada ya hapo mdomo hufunguka na kuanza kuongea lolote nalojisikia kuongea.

    ReplyDelete
  100. mtoto ana kismati cha hali ya juu na nyota yake ni kali kama kikwete upende usipende,hebu fikiria amefunika vyombo vya habari vyote na wananchi wake takribani kwa wiki nzima kila mtu mjini anaongelea amina chifupa.kweli mtoto ameaga kwao na mganga wake ni kiboko ,namuaminia,

    ReplyDelete
  101. alafu mnasema oh kusoma ndio utaongoza vizuri,maprofesa wangapi wanaongoza wizara zao kama mataahira kabisa eti amesoma.huyo peter msolla amewaboa watu hamna hata anayetaka kumuona eti ni professor wa mavi yake.amina na division zero yake big up,endeleza mapambano achana na hao wenye phd za chooni.kumamazao.

    ReplyDelete
  102. unajua kama jk alishamuonja amina hana njanja lazima akae kimya manake mamaa anafanya mambo.big up amina.

    ReplyDelete
  103. Nani kakwambia Amina mtoto mdogo????? Nakumbuka aliliwa sana na Deo Mshigeni alipokuwa anavunga eti anamfundisha utangazaji, Deo wakati huo anasoma UDSM. Isitoshe Kipanya naye kala sana (Kipanya unabisha???)Huyu mtoto anatafuta wanaume wanaojidhania wanaa mipingo babu kubwa kama yuko anayejiamini atume CV yake kwa Amina ila akishindwa ku-shine itakuwa sooo kabisa. Anyway ni Mtu wa kuropoka tu ili apate support toka kwa watu waliochoka kama Mrema.

    ReplyDelete
  104. Hongera sana Amina kwa kufichua Mabaya.Usikate Tamaa wafichuwe wote.
    Tummuunge mkono kabisa Dada huyu kwa mikakati yake yote

    Pamoja na pongezi zote lakini tusisaha ya kwamba hizini nali za Tibaigana,hata Rahamaninoh si mtoto wa Mudi,baba yake anajulikana fika.Ukitaka mengi utajua mengi,Duniani kuna mambo.

    ReplyDelete
  105. Cont..Huyu ni mama wa NGONO,sasa kaenda kugawa uroda bungeni baada ya kugawa Bongo.

    Kazi kumpakazia baba wa watu.Huyo mtoto mpeleke kwa baba yake,anajulikana sana fika.

    Kabinti haka sasa ni mama shughuli ,uroda kila sehemu.Lo mwanga wewe.

    ReplyDelete
  106. Michuzi nahisi ni blog yako haita dumu muda mrefu kwani lugha ya matusi ni kubwa hata hamu ya kupitia blog hii inakwisha. nadhani nia sio kujadili nani bigwa wa uroda ila kikubwa ni kuona jinsi gani mawazo ya waliowengi yanaweza kutumika kufikisha ujumbe unaojenga ila matusi mmmmh , we need to be very careful. Michuzi watch out as this might damage your repetion, maana tuliowengi tunaochangia majina yetu hayaonekani lakini wewe ndio chambo. angalia sana.

    Nakubaliana na kutumia lugha ya mtaani ila utajaji wa majina yanayohusishwa na matusi sijui hatma ya hii blog.

    sipati picha Lowassa au JK anapitia hii blog itakuwa vipi kwa michuzi.

    Nakubali kuwa twaweza kuchangia na kuonyesha ujinga au upumbavu wa mtu pamoja na uovu ila tunatakiwa kutumia tafsida kwani nilidhani blog hii ingetumika kujenga ila matokeo yake inajadili mambo ambayo hayafai.

    Nasema tena Bwana Michuzii, familia yako bado ya kuhitaji na pia tunapenda kukuona ukiwa ziarani pamoja na waheshimiwa wako sasa inabidi uangalie mwenendo wa hii blog yako.

    Michuzi its from a caring friend.

    ReplyDelete
  107. Jamani huyu dada kajichanganya sana! Elimu nayo inasaidia, angekuwa na elimu wala asingebweteka hivi!! Duh! Pole Amina!

    ReplyDelete
  108. MICHUZI SIO VIZURI NA NARUDIA TENA SIO VIZURI KAMA INGEKUWA PICHA YA JK, DITO NA SERIKALI YA CCM NA FAMILIA ZA WAKUBWA UNGEWEKA COMMENT MODERATION. KWA KWELI NINGEKUWA AMINA CHIFUPA NINGEKUPELEKA MAHAKAMANI KWA KUNICHAFILIA JINA NA KURUHUSU BLOG YAKO ITUMIKE KWA KUNITUKANA MIMI, MUME WANGU NA FAMILIA YANGU.

    MICHUZI NAJUA UNAONA RAHA YA HAYA MATUSI NA MANENO MACHAFU DHIDI YA AMINA CHIFUPA NA NDIO MAANA UMEWEKA HII PICHA NA NINA UHAKIKA UNAYAONA HAYO MAONI MACHAFU ILA HAUTAKI YAONDOLEWE. ILIKUWA PICHA YA MTOTO WA LOWASA NA UKAOMBA RADHI LAKINI AMINA NA WENGINE UNAONA RAHA WAKITUKANWA NA KUPEWA MAJINA MACHAFU MENGI.

    MUNGU AKUHUKUMU MICHUZI KWA HAYO YOTE UNAYO TENDA

    ReplyDelete
  109. Pole Mpakanjia.Tulikuonya usioe Star wakati wewe ni wa kijijini ukabisha.Ukasema oh! Mimi nina pesa.Hujui hata machinga wanazo.Ona sasa unapakwa mavi njia nzima umekuwa mpakwa njia kweli.Watu wana hamu ya kukupaka hata wasiokujua.U-bishow utakumaliza Mpakanjia .Kwa nini usioe chamazi akina mama nitilie ambao ni saizi yako? Mpaka utafute kuoa mtoto wa mjini kama Chifupa? ambaye anafanya watu waingie hadi chumbani kujua pesa ya shuka uliyolalia umetoa wapi?

    ReplyDelete
  110. Thinking critically is allowed and encouraged, though other people are ruffian, if not yobbo Freedom of speech doesn’t account for abuse of expression. Lamentably, that is Bongo’s way of delivering message. “Message sent…..”Generally, I doubt on the average standard of developing constructive idea to Tanzanian new Generation. In most cases, people like to mistreat other people with their entire family in a cruelty way.

    However, I think the lady was prime source of separation between Mpakanjia and former wife; she has to bear the sin, no jury at all. Come what may!!

    ReplyDelete
  111. Amina Chifupa ajiita Rais mtarajiwa

    2005-05-11 09:45:21
    Na Mwandishi Wetu


    Mtangazaji wa Redio Clouds, Amina Chifupa ambaye amepata umaarufu mkubwa kutokana na kuripotiwa na maskendo magazetini kila kukicha, majuzi alitoa mpya kwa kujiita ‘Rais Mtarajiwa’ mbele ya wageni waliohudhuria hafla ya utoaji wa tuzo za watangazaji wa redio.

    Hafla hiyo ilifanyika katika ukumbi wa mikutano uliopo jengo la PPF Tower, ambapo baadhi ya vituo havikushiriki kutokana na ubabaishaji katika kuwapata washindi wa tuzo hizo.

    Mtangazaji huyo ambaye alipewa tuzo ya mtangazaji bora wa kike WA MWAKA 2005, aliropoka maneno hayo muda mfupi baada ya kupewa na tuzo na kutakiwa kupozi kwa ajili ya mapaparazi kupata picha akiwa katika mikao tofauti.

    Ndipo, alipojiseti vizuri katika kijukwaa kimojawapo kilichokuwepo na kutamba kuwa: “Katika utangazaji sina mpinzani na hivi sasa mimi ni rais mtarajiwa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,”.

    Waliosikia kauli hiyo wakiwemo waandishi hao wa habari, walisikika wakilaani uchemfu wa mwanadada huyo na tabia yake ya KUONGEA SANA bila kujali anazungumza nini na kwanini, jambo ambalo siku moja linaweza kumfikisha pabaya.

    “Muone anavyojisheua, kwanza tuzo zenyewe za kupeana halafu anajiona bab’ kubwa... kuchonga kwake huyu kutamponza siku moja kuna mambo ambayo si ya kuyafanyia utani,” akasema mtangazaji mmoja wa Radio Uhuru aliyekataa kutaja jina lake.


    SOURCE: Kasheshe

    ReplyDelete
  112. Kyuriasi!

    Mbona wamekaa hivyo? Wanafanya nini? Wananyegenyana (mutual tickling)?

    ReplyDelete
  113. God forbid!!! Amina Chifupa, Rais?

    ReplyDelete
  114. Walio na uchungu na nchi masikini kama tanzania ni wachache sana inawezekana wasizidi asilimia 5% ya viongozi na asilimia 50% ya wananchi(hawa ni kwa sababu hawana jinsi).

    Generally kila mtu anapigania ni jinsi gani tumbo lake litaweza kushiba. Ndio maana hata vitu kama madawa vinakaa vinazungumzwa watu wanasema ni sensitive issues subiri tunafanya utafiti.

    Halafu Amina anasema naweza kuwaonyesha wanasema ebu subiri utuko bungeni. Hivi ni mtu gani anauza madawa ya kulevya akae na gunia akimsubiri amina atoke bungeni amukamate?

    Haya yote ni madili tu yanachongwa wanasubiri watu wasogeze mbali vifurushi hili waendelee kugawana na percent zao. na kama mtu alikuwa anachukua 20% sasa anasema si umemsikia Amina nitajaribu kusogeza mbele siku ya kutaja sasa risk percent yangu ni 40%.

    naona mweshimiwa rais wetu ripoti zitamuangusha hata njiani: Wewe majina ya wala rushwa yote anayo, ya wavuta bangi yote anayo, ya wauza madawa yote anayo, ya wezi yote anayo,ya wawekezaji hewa yote anayo na mengine mengi aise ana kazi.

    ReplyDelete
  115. Raisi mtarajiwa bi Chifupa...

    Unaona hayo sasa hivi ndivyo binti huyu anavyozidi kuonyesha ni jinsi gani akili zake haziko timamu... kwanza nashangaa huko bungeni anatoaga mchango gani kwani nadhani bado ana akili za kitoto na za kibishooo...!!! Kwanini hajifunzi walao kutoka kwa wanawake wengine wa shoka huko bungeni nini cha kuongea na wakati gani wa kuongea na kuropoka....
    well kuhusu kuponzeka na kuchonga kwake si rahisi kwani anajua ni vipi amewaweka hao wakubwa wa nchi kidoleni... haya tunamtakia heri na baraka - ila akiwa rahisi mi nadhani bongo sitarudi tena kwani itakuwa balaaaa.... tutabanana huku huku ughaibuni....

    MICHUZI NAADHANI ITAKUWA BUSARA SASA KUMTOA HUYU BIBI HAPA BLOGUNI KWANI KILA KUKICHA NI KICHEFU CHEFU JUU YA KICHEFU CHEFU..... INATOSHA KWA SASA.....

    ReplyDelete
  116. Chifupa anaswa Dar Carnival

    2006-11-18 19:08:07
    Na Muhidin Sufiani, Kinondoni


    Siku chache tu baada ya Mbunge wa Viti Maalum Mheshimiwa Amina Chifupa kulipua bomu zito kuhusu biashara ya madawa ya kulevya akiwa kwenye semina kule Dodoma, mbunge huyo wa vijana ameamua kuweka kando vitisho na mikwara anayopewa na ’mizungu ya unga’.

    Kwa kudhihirisha hilo, Mbunge huyo alinaswa na kamera ya Alasiri jana usiku akijirusha kwenye viwanja vya Dar Carnival pale Kijitonyama Jijini Dar na kushangiliwa na umati mkubwa wa watu.

    Chifupa ambaye aliambatana na mumewe, katika Tamasha la Usiku wa Utamaduni wa Afrika Mashariki uliofanyika kwenye ukumbi huo, ’alifunika’ vya kutosha.

    Aliingia ukumbini akiwa beneti na mumewe Mohamed Mpakanjia huku wakiwa wamevalia vivazi vya mwambao wa Pwani.

    Akashangiliwa sana, wengine wakisema: ’’Daada...daada!’’

    Baada ya kuketi, wengine wakataka kucheza naye. Msanii mwanadada Nyota Ndogo toka Kenya ndiye aliyekuwa wa kwanza kuselebuka naye.

    Baadaye, katika wimbo ’Nibebe’wa msanii huyo wa Kenya, mashabiki wengine wakamfuata Chifupa na kucheza na mbunge wao huyo huku wakijawa na tabasamu na vicheko vya furaha.

    ’’Tunataka wabunge wenye ujasiri kama wewe, hongera sana mheshimiwa,’’ akasikika mama mmoja akimwambia Chifupa.

    Katika Bunge lililoahirishwa Jumatano, Chifupa alikuwa ’nyota’ baada ya kuibua hoja nzito ya namna ya kukomesha biashara haramu ya dawa za kulevya.

    Alivutia zaidi pale alipolitaka Jeshi la Polisi limuone ili alipatie majina ya watu anaowajua kuwa ni wauzaji wa dawa za kulevya na mahala wanakouzia Jijini Dar.

    Pia akatoa kali zaidi kwa kuwataka wasisite kumkamata yeye, mumewe Mpakanjia, wabunge wengine, mawaziri au mtu yeyote yule atakayethibitika kuwa ni ’muuzaji wa unga’.

    xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx

    HAYA TENA MAMBO JUU YA MAMBO..........

    ReplyDelete
  117. Mh. Amina usiwe na wasiwasi bila ya kujali umri na jinsia yako ninaamini uwezo unao kama binadamu mwingine yeyote usife moyo. Ni nani kweli leo hii anataka mtoto wake akumbwe na balaa la matumizi ya madawa ya kulevya...kama yupo ajitokeze.
    Ukisikia mtu anatajataja ngono wakati wote basi ujue huyo anaipenda sana na wale wanaomtajataja sana Mh. Amina wakati wote maanake wanampenda sana haya madongo wanatupa kwa sababu ya wivu tu wa mafanikio yako. Baadhi yao wasioona mbali walifikiri Mh Amina atachemka bungeni, kumbe siyo kwa hiyo wameshikwa na vijiba vya roho yaani lakufanya hawana wamebaki kurusha maneno ya husda na chuki. Sio kila mtu atakanyaga bungeni kama mbunge. Wapo waliojaribu kwa njia mbalimbali wameshindwa na wapo wanaotamani lakini kwa sababu moja ama nyingine hawawezi. Mara nyingi nabii hakubaliki nyumbani lakini ungekuwa unafanya haya mambo ughaibuni hapa wabongo wasingeisha kukusifia...mmmesikia yule mama wa washoka bwana anawatoa kamasi vigogo wa madawa ya kulevya... Kaza buti Mheshimiwa, hata mitume yote iliyopita ilikutana na mambo kama haya walijaribiwa sana. - Isaac, Dar es Salaam

    ReplyDelete
  118. watu wana hasira comment zote hzi

    ReplyDelete
  119. Isaac umesema kweli. Watasemaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!! Watapotezaenergy zao kuandikaaaaaaaaaaaaa! weeeeeeeeeeeeeeeeee na kutukana mwenzao ndo mbunge hivyo tena katika umri mdogo. By the time mnatukana mwenzenu anazidi kusonga mbele!!!!!!! Poleni sna na majungu yenu na matuzi. Wivu haujengi.

    ReplyDelete
  120. Nyie mnaosema kuwa Mh. Amina kahonga ngono ndio akapata Ubunge mna hakika na msemayo? Hebu na nyie nendeni mkahonge hizo nyeti zenu tuone kama mtapata Ubunge. Naamini kila mtu anayo nyeti yake hapa, hebu zipelekeni huko kwa wakubwa basi na nyie mpewe Uheshimiwa tusikie "pointi" zenu. Mnashangaza, hivi hamuoni vijana jinsi wanavyoharibika, tena wadongo? na wengine wanajichoma vibaya hizo cndano wanakufa, Nyie mnaleta masihara!!! Mheshimiwa ng'ang'ania hapo hapo mie pia nina uchungu na hili la madawa ya kulevya sana. Sijui niseme kwa machozi au kwa kulia yeleuwiiiiii.........Nagira.

    ReplyDelete
  121. ama hakika imetosha!! Michuzi, kwa maslahi ya blog yako ONDOA HIO PICHA na usiiweke tena hadi itakapobidi kwa jambo la maana zaidi!! Mh. Amina Chifupa kama mbunge na kiongozi ndani ya bunge la jamhuri ya muungano anastahili kupewa heshima yake... anajitahidi kutuwakilisha vema vijana na apewe support sio kumvunja moyo namna hii... Please, kwa hisani yako ONDOA HIO PICHA!!

    ReplyDelete
  122. ni bahati mbaya tu hatuandiki majina yetu lakini nina uhakika wengi wanaomponda amina ni wanawake, sijui wakoje!! mnaboa. hamtoendelea, tutaendelea kuwakandamiza kwa sababu wanawake hampendani.

    ReplyDelete
  123. mwacheni amina ndugu zangu. kila mtu si ana maisha yake, kama kweli anakosea itakuja kudhihirika mbele.
    ndo mana wanasema time tells.

    ReplyDelete
  124. AnonymousMay 14, 2007

    hivi sasa mhe sana amina ameachana na medi lakini nina uhakika watarudiana hivi punde kwa vile uhusiano wa medi na amina ni kama wa firaun na amana!halafu kuna vyombo vya habari bila ya 'mastaa' hawa haviwezi kuuuza! jamaa mmoja alimaka pale steak inn kuwa haya maagzeti yanatufanya sisi wapumbavu asubuhi amina jioni amina nini hawaa hawana cha maana cha kuandika..ushari kwa mwanangu amina tumia muda huu ukasome upate angalau digrii ya kuombea maji..!itafika wakti utaajiangusha hatokuwepo hata wa kuitamani kuitia kidole sembuse kuinunuaa..!ujana ni kama moshi ukienda haurudi!! inafaahamika medi anakuhitaji sana lakini wewwe kwa sasa unamuona yupo yupo..kuna wakati medi atapotea na hao wanaokuzuzua watakuuwa wamekuchoka pema hapo..!chonde chonde kaasomeee msichana !

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...