dah! ngoja niwahishe kwa fundi, maana nakosa mechi sasa. jamani eeee, ngapi ngapi huko????

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 22 mpaka sasa

  1. Liverpool 2:Chelsea0

    ReplyDelete
  2. michuzi its 2 to liverpool (kuyt and pennant) half time , second half ndo inaanza. chelsea nil

    ReplyDelete
  3. Liverpool 2-0 Chelsea. Kuyt dkk 4, Pennant dkk 18. Kipute bado kinaendelea...

    ReplyDelete
  4. Mzee, mpila umeisha. Bado 2-1. Ugaibuni!!!

    ReplyDelete
  5. Michu,
    Tumewalamba viwili kwa nunge ;-)

    ReplyDelete
  6. LIVERPOOL 2 CHELSEA 0

    ReplyDelete
  7. ahsante sana rafa, liverpool 2 chelsea 0. kesho 9 points gap. ahsante san rafa

    ReplyDelete
  8. we michuzi acha kuiba TV ya watu, wata kuwasha moto---njoo chukuwa kitu LCD 42" huku

    ReplyDelete
  9. Wewe anany hapo juu acha ujinga! Kesho lazima MU mdeki tu.Kakuna cha gepu la 9 wala nini.Lazima tuwashikishe dekio.

    ReplyDelete
  10. michuzi usingeonyesha Tv unayotumia bana, duh!

    ReplyDelete
  11. siku uki upgrade to lcd tupostie, ha ha ha !

    ReplyDelete
  12. Michu kwa kujibust!!

    ReplyDelete
  13. Nakuona mwanangu na TV yako ya mwaka 47, inabidi ukae karibu sana ili kuwaona wachezaji. Next ukienda majuu, update uchukue Panasonic Viera 50 inches (Plasma). Unaweza usitoke ndani kwa mwezi ili ule maraha ya chombo hicho, lakini bei mbaya.

    ReplyDelete
  14. toa tongotongo kwanza kabla hata ya kuwahisha hiyo tv...

    ReplyDelete
  15. warning barca nao wajitayarishe kufunga virago sisi watu wavikobe bwana.

    ReplyDelete
  16. mkojo umesukuma gogo !

    ReplyDelete
  17. Michuzi hapo inaonekana kama ni kwa kinyozi, vioo vingi..Lakini huwa unaonekana Newala,tukuy,ukerewe,qatar,n.k Mbona hurudi bongo na upudaiti ya Luninga???
    Qatar ni bei poa...

    ReplyDelete
  18. watu hawamwelewi michuzi, unajua kama mpiga picha anatumia sanaa kuchochea mjadala.

    si kweli kwamba hiyo ndiyo telly yake pekee.kama vile anavyosema english not reachable, anawazuga tu.

    anajua kuzungumza, kuandika na kusoma kiingereza huyu.na hiyo tv ni kanyanga.kama ana laptop atashindwa kuwa tv ya 28"?

    hongera michuzi kwa kuwachanganya wafuasi wako.

    ReplyDelete
  19. watu hawamwelewi michuzi, unajua kama mpiga picha anatumia sanaa kuchochea mjadala.

    si kweli kwamba hiyo ndiyo telly yake pekee.kama vile anavyosema english not reachable, anawazuga tu.

    anajua kuzungumza, kuandika na kusoma kiingereza huyu.na hiyo tv ni kanyanga.kama ana laptop atashindwa kuwa tv ya 28"?

    hongera michuzi kwa kuwachanganya wafuasi wako.

    ReplyDelete
  20. Kuwa na laptop ni big deal bongo ehe!!! Kwa hiyo laptop na TV vinaenda parallel??

    ReplyDelete
  21. Anon wa Sunday, January 21, 2007 10:40:20 PM, laptop Bongo ni deal lakini iko matawi ya juu kuliko TV. Laptop ya chee kabisa ni USD 450 wakati TV ya chee kabisa ni USD 50. Flat screen kama aliyobeba michuzi hapo ni around USD 120.

    ReplyDelete
  22. aaah!! michuzi wewe ni mzee au sura imekataa kwenye camera?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...