wadau wenye data tunaomba jina na mambo mengine ya msikiti huu wa unguja

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. Msikiti huu unaenda kwa jina lake na upo karibu na Bwawani Hotel.

    ReplyDelete
  2. Msikiti mabuluu (blue Mosque)... pale pembezoni ya Hoteli ya Bwawani, ulijengwa enzi hizo za Sheikh Amaan Abeid Karume, Rais wa Kwanza wa Zanzibar, au sio?!. ~MchongomaMwiba~.

    ReplyDelete
  3. Michuzi umenirudisha home kabisa huo unaitwa msikiti Mabluu.

    ReplyDelete
  4. KAKA MICHUZI WIKI HII UMEBOA KWELI AAAGHH!

    ReplyDelete
  5. Huu ni Msikiti wa Buluu wa kisasa uliojengwa na Rais Mstaafu wa Zanzibar Dr Salmin Amour mwaka 1996 katika jitihada zake za kurejesha na kuenzi historia ya Zanzibar. Hapo kale katika karne za nyuma kulikuwa na Msikiti Mabuluu wenyewe wa asili uliokuwa ukitumiwa sana na wenye merikebu za pepo za siku hizo za kusi na kaskazi. Wakiingia hapo na merikebu zao na kutia nanga na kusali kila wakifika na kuondoka. Msikiti Mabuluu wa asili ulipotea kabisa na umri na kuzeeka pamoja na shughuli za ujenzi wa Hoteli ya Bwawani Zanzibar za miaka ya 1960 na 1970. Dr. Salmin aliamua kukusanya kumbukumbu za msikiti huo na hatimaye kuurejesha upya kwa asilimia kubwa.

    ReplyDelete
  6. Michuzi kuwa makini sana na masuala ya imani za kidini, utazua vita humu na wewe ukakufuru pia, utaachiaje maoni negative?

    ReplyDelete
  7. mdau hapo juu asante kwa ujumbe. ila nashindwa kuelewa ulichosema. labda unifafanulie ni maoni yapi negativu niliyoachia?

    ReplyDelete
  8. Msikiti wa Mabluu, nimefenay baadhi ya swala hapa. Huu msikiti una mvuto mkubwa sana. Unaleta hisia chanya kwa vile ni wa kipekee kujengwa katika madhari kama hii, ya kuelea baharini. Mimi sioni utata kuweka picha kama hii na kuomba maoni ya wasomaji. Sijui kwa nini kila jambo liwe la tahadhari kubwa? Nadhani mhusika angefafanua zaidi...

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...