baadhi ya watoto huwa hivi...

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. mmh huyo Bibi haoni anamtisha mtoto....

    ReplyDelete
  2. DOOOOOOOOOOOO Eeeee bwana eeeeeee, kuna watu weusi tunatisha jamani huyu bibi colour ime turn from black to blue.
    Mtoto anashangaa nyani kavaa kanga..maajabu haya. Lakini shughuri yangu inatia moyo endelea hivyo hivyo.

    ReplyDelete
  3. MICHUZI,

    HAWA NDUGU ZETU WA HUKO AFRIKA MAGHARIBI WAMEANZA TENA!!!WABONGO KUWENI MACHO!

    From: Kobayashi Eizo(ESQ)
    Kobayashi Eizo & Associates,
    21 Campshill Road
    Se13 6qu Lewisham
    London England.


    Dear Friend,

    I am really very sorry to balge into your privacy in this form.
    However i seek your pardon for that, this is because i have know other
    alternative.
    However, I am Barrister Kobayashi Eizo from Japan ,the Personal
    Attorney to one deceased immigrant from your country, who based in
    London, Also referred to as my client.On the 12th of July 2004, my
    client,
    his wife and their only Child died in the train bomb blast along
    Edgware road Uk.
    Some of his properties, which he put out for sale. which I
    monitored
    the payment as his attorney, has been bought and paid for. Now the
    money paid was deposited into his Local account here in London. I
    have
    contacted you to assist in repatriating the money and property left
    behind by my client before they get confiscated or declared
    unserviceable
    by his bank particularly, this is because all effort i made since
    three years ago to get any of his relation who will stand as a next of
    kin
    was not successful, however in my process of thinking of what to do in
    other to make sure his account worth 10 Million Dollars does not get
    confiscated or declared unserviceable by his bank, i deciced to search
    the
    internet, i then found that their is exact similarity between his LAST
    NAME and your last name, i then concluded to contact you through mail
    to stand as the next of KIN to my late client, though am very sure that
    you are not related to him but for the similarities of names this
    proposal
    can be carried out succesfully with your kind assistance.
    The bank has issued me a notice to provide any of his next of kin or
    have the account confiscated within 14 offical working days. My late
    client has an account valued at 10 Million Dollars,Since I have been
    unsuccessful in locating the relatives for 3years now and the bank has
    giving me deadline, I now seek your consent to present you as the next
    of
    kin to my late client, so that the proceeds of this account valued at
    10
    Million Dollars can be paid to you and then you and I can share the
    money. 50% to me and 40% for you and 10% for miscellaneous expenses
    that
    might arise towards
    this transaction.
    I have all necessary information/ documents that can be used to back up
    the claim.
    All I require is your honest co-operation to enable us seeing this
    deal
    through. I guarantee that this will be executed under a legitimate
    arrangement that will Protect you from any breach of the law. Trust me,
    as his attorney, this is a Risk free business relationship.

    If my humble request is granted, please send the following information:
    {1}. YOUR CONTACT ADDRESS
    {2}. YOUR FULL NAME
    {3}. YOUR AGE AND YOUR OCCUPATION.
    {4}. YOUR IDENTIFICATION
    {5}.YOUR PRIVATE TELEPHONE NUMBER.
    {6} YOUR PRIVATE EMAIL ADDRESS.
    To my private Email address: barristerkobayashi_ezo@yahoo.co.uk
    Once again i would appreciate if you send what ever contribution,
    question or reply to my PRIVATE EMAIL ADDRESS
    :barristerkobayashi_ezo@yahoo.co.uk

    Best Regards.
    Barrister.Kobayashi Eizo.

    ReplyDelete
  4. Huyu bibi anatisha wewe Michuzi..Mie mwenyewe nikikutana naye night..Nitakimbia sio mchezo. Mtoto analia kwa haki kabisaa!

    ReplyDelete
  5. BI KIDUDE SIMBA WA BONGO... MUNGU MJAALIE AFYA NJEMA NA MAISHA MAREFU...

    GIII ILA TUACHE UTANI JAMA BI KIDUDE ANATISHA SURA MBAYAAA...LOL....WACHA MTOTO ALIE TUU ANA KILA SABABU...

    ReplyDelete
  6. hiyo sura ya bi kidude ka mzuka!

    ReplyDelete
  7. hivi jamani nyie mnaosema anasura mbaya nyie mmeubwa na nani??

    watoto wanaliaga hata wewe nadhani uliwahi kushika mtoto akalia.

    Mbona mnaongea bila kufikiri jamani? inamaana mnamkosoa Mungu? aliyewaumba nyie na huyo bi kidude?

    acheni kufuru jamani, nyie semeni sababu za mtoto kulia, siyo kusema eti sura ya bi kidude ni mbaya nyieeeeeeee!! alafu we unafikiri bi Kidude ageambiwa ajiumbe angejiumbaje??

    FIKIRINI JAMANI KABLA YA KUTENDA

    ReplyDelete
  8. Bibi huyu angeangalia hapa kabla hajambeba mtoto wa kidosi

    http://www.komoradio.com/home/video/5001856.html?video=YHI&t=a

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...