Home
Unlabelled
-e
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
This is good na hiyo color ilivyo bold ndio ikamalizia kabisa... I love it
ReplyDeleteWarekebishe ile herufi E pale juu, mi vitu vidogo vidogo vinanikera, otherwise, good shot!!
ReplyDeleteNyie wote vichwa vizito. P. ACOCK Msizani michuzi katoa tu hivi hivi... P ni Penis na ACOCK pia ni Penis so ujumbe anaowapa watu wa PEACOCK HOTEL ni kuwa warekebishe vinginevyo hayo ni matusi. Safi sana bro michu
ReplyDeleteNyie wote vichwa vizito. P. ACOCK Msizani michuzi katoa tu hivi hivi... P ni Penis na ACOCK pia ni Penis so ujumbe anaowapa watu wa PEACOCK HOTEL ni kuwa warekebishe vinginevyo hayo ni matusi. Safi sana bro michu
ReplyDeletemichu bwana! safi sana pia ni kazi ako kerekebisha makosa kama ulivyoamulia mahandakiiiizzz. thats good bro.
ReplyDeleteanony 9;43 acha dity mind kama wew umefikiri hivyo usilazimishe wengine waelewe hivyo. waachie watu waangalie picha na kila mtu ataelewa chake anachotaka. remember communication class okay.
ReplyDeletewee anonny wa june 20,9;43 ndo bwege lililoenda shule tena huna akili kabisa,pambafuuuuuu!
ReplyDeletemichu katoa hiyo picha akijaribu kuonyesha kwamba kuna herufi moja imekosekana katika hilo jina la hotel,sasa wewe umetoka wapy na hayo majina yako ya penis penis,wee sio mzima eeh!
kama dictionary unayotumia ndo inakupa maana hizo basi kaitupe coz haikusaidii kitu,nyama weee!
masanja mkandamizaji!
Jamani jina liko sawa ila kamera ya Michuzi ndiyo yenye matatizo ni mbovu. Flash yake imeshindwa kuona herufi ya katikati inayosemekana inakosekana.
ReplyDeleteMichuzi acha ubahili kanunue kamera nzuri hako kakamera kabovu achana nako.
Mheshimiwa ISSA..TUNASHUKURU KWA LUGHA YA PICHA..HOTELI SAFI SANA HIYO NA WATALII/WATEJA WANAVUUTIWA SAANA KUPUMZIKA HAPO MALA...USIKUULE NAHISI ULISALIMIKA MZEE..AKSANTE..
ReplyDelete