Home
Unlabelled
george weah
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
KUSHOTO KWAKO SIYO SHYROSE BHANJI KWELI!
ReplyDeleteBro Michuzi, umeenda kwa mfungwa anayegraduate, maana nasikia maadalizi yako ya nguvu. Usiache kutulete picha zote, maana tunataka kujua kava nguo gani. ALL THE BEST HARUNA, kwakugraduate ukiwa Jela, duhh umekuwa mfungwa wa kwanza Tanzania. nafikiri na wingine watafuata.
ReplyDeleteby Mdau RK
Michuzi! Huyo dada mwenye nguo ya black na dots white ni Shy-Rose Banji wa NMB??
ReplyDeleteAlikuwa akifanya kazi wapi enzi hizo??
duh sikujua huyo dada anayetokea sana kwenye magazeti siku hizi alikuwa bomu madawa yanasaidia washkaji
ReplyDeleteNonda Shaban 'Pappii' enzi hizo anakipiga Yanga,sasa hv yupo Galatasaray ya Uturuki kama sijakosea na wikiend iliyopita alitikisa nyavu mkongomani yule. Hv kwanini wachezaji wa bongo wengi wanapotea haraka sana? Ile first eleven ya akina Nonda pale jangwani na wale wa msimbazi hakuna hata mmoja aliyebaki kilingeni hadi hii leo! Hivi ni kwanini? Au wanadanganya umri kutokana na kuchelewa kutoka?
ReplyDeleteMICHUZI MIMI NAKUONA WEWE SIMUONI G.WEAH
ReplyDeletekaka,huyo wa kwanza kulia sio JUMA PINTO? Kama ndiye, wallahi watu tunatoka mbali jamani!!!!lol.
ReplyDeletesasa kaka michuzi ndiyo nini hivyo
ReplyDeletehuyo George Weah ndiyo yupi hapo?
watu wengine tunakumbuka jina tu.
Michuzi nawe!!! watu weeengi kwenye picha halafu unataka tumtambue mmoja loh !!!
This blog is proudly sponsored by TIGO, the leading mobile company that value and listen to its customers. mh, michuzi!!!
ReplyDeleteHivi sio hivi "This blog is proudly sponsored by TIGO, the leading mobile company that valueS and listenS to its customers.
Michuzi namuona "Jeshi" wa Dallas-Texas pembeni yako daah! kweli watu wametoka mbali.
ReplyDelete