ni ajabu na kweli. kumbe hata watasha nao ni maimuna... hii ameinasa leo mdau wa ukerewe...

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. Wala usishangae Bwana Michuzi. Ni kweli kabisa hata watasha hukosea. Na ukiwasikiliza sana wengi hufanya makosa mbali mbali ya ki-lugha. Na ndio maana kuna mitihani kama vile GMAT kwa ajili ya kuingilia Business School, au mingine ya kuingilia shule za udakitari na nyinginezo ambayo wao pia hufanyishwa na baadhi huwapa taabu au kushindwa. Ni kama lugha nyingine yoyote. Mfano mimi ni mswahili wa asili kabisa. Lakini nikiingia kwenye zile kanuni hasa za lugha kuna uwezekano nikafanya makosa. Hawa watasha tunasoma nao, tunafanya nao kazi. Mara nyingi hata wao huja kutuuliza maswali ya lugha ya kiingereza "Hapa ni sahihi?" Moyoni unabaki unashangaa. Lakini ndivyo ilivyo wangine wasiosomea lugha hasa hufanya makosa kama tufanyavyo sisi tunapoongea au kuandika. Wakatabahu!

    ReplyDelete
  2. hamna kosa hapo

    ReplyDelete
  3. wakulaumiwa ni wabeba mabox...

    ReplyDelete
  4. Hii itakua duka ya mhindi. hayo makorokoro hivyo? Sidhani huyo ni mtasha wenzetu wako makini hawaendekezi makosa lakini mhindi kama mbongo. Kuprint copy ya mashahihisho anaoa uchungu kupoteza ink ya printer yake...

    ReplyDelete
  5. there's nothing wrong in it...

    ReplyDelete
  6. hata wewe unaweza kukose spelling ukiandika kisawahili.
    hii post ni sehemu ya burudani ndani ya blog, disregard it .

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...