kesho oktoba 22 itakuwa ni miaka mitatu kamili toka freddy supreme ndala kasheba atutoke duniani baada ya kutuburudisha kwa miaka mingi na gitaa lake la nyuzi dazani. kasheba atakumbukwa kuwa mmoja wa wanamuziki waliolitia chachandu kwenye muziki wa bongo kiasi ni vigumu kumsahau. bofya hapa upate linki tuliyowahi ibandika huko siku za nyuma. je, mdau, unamkumbuka kasheba kwa lipi?
Home
Unlabelled
ndala kasheba
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
namkumbuka kwa kulibamiza gitaa lake la nyuzi dozen kwa midadi kisha kuletewa jingine toka italia
ReplyDelete