leodegar chilla tenga
kamati ya shirikisho la soka nchini imemteua rais wake leodegar chilla tenga kugombea nafasi ya uenyekiti wa shirikisho la soka kwa nchi za afrika mashariki na kati a.k.a cecafa katika uchaguzi mkuu utaofanyika desemba 7 kabla ya kuanza kwa michuano ya nchi hizo jijini dar. shime mabalozi wa nchi hizo mpigieni kampeni tenga ashinde tuendeleze soka la eneo hili la afrika
Tumuungeni mkono leodgar Tenga.jamani mnakumbuka enzi zao?Leornad tenga,Jela Mtagwa na juma pondamali mensah!!!hiyo ndio Yanga ya enzi kubwa.Gooo Tenga tuko nawe.
ReplyDeleteby msufini.