Dully Sykes kaingia Holland kwa vishindo leo asubuhi tayari kwa show itakayo fanyika Delft ijumaa 30/11/2007 na kaahidi kufanya maajabu huku akitamba na kibao chake kipya BABY CANDY.
Pichani ni wakati Mr. Misifa alipowasili Amsterdam Airport (Schiphol) akiwa na Promoter wake Charles Gadi kushoto pamoja na Pascal na Bachalla.
Haya promota fanya kazi, exposure ni muhimu kwa kijana. Sio kuimba kwenye klabu tuu, vyombo vya habari wanamhitaji pia!
ReplyDeletejamani hicho kibao cha baby candy naweza kukisikiliza wapi?
ReplyDeleteKweli mr misifa ana aibu du tabu tupu
ReplyDeleteE BWANA HII IMETULIA BABAAKE.
ReplyDeleteFAGILIA FAGILIA MISSIFFAZZZ CAMP !!
Oyaah! Dogo acha utozi na baridi la ulaya. Wee acha kifua wazi uone kama shoo utaipiga na winter hili utaishia kukohoa badala ya kuimba.
ReplyDeletekaribu sana holland, ila usilete ziile za wenzako waliopita. zingatia muda na kuwapa watu vitu vya maana. unaweza kubadilisha watu ambao bado wanapinga mtu mmoja mmoja. ambao wanataka makundi. mie nitatia timu ila usinilet down.
ReplyDeletekibao cha baby candy unaweza kukisikiliza kwenye site ya darhotwire, ingia kwenye bongomdundo utaukuta huko....
ReplyDeleteAnon ingia www.swahiliremix.com , unaweza kusikiliza na kuangalia nyimbo ya Baby Candy
ReplyDeleteVideo ya Baby Candy ipo hapa
ReplyDeletehttp://www.bongo5.com/index.php?option=com_seyret&Itemid=183&task=videodirectlink&id=329
na kwa muziki
http://www.bongo5.com/music
wenyeji wa holland mtafutieni kibarua cha mabox huko ikea,dhl nk.Au anaweza kujiunga na waghana kusafisha hotel za amsterdam maana waghana kibao wamejaa kwenye hizo hotel hasa za karibu na schiphol
ReplyDeleteKaribu sana ndugu yetu Dully.
ReplyDeleteKwa mujibu wa utamaduni wa Wadachi na hata Watanzania basi tunakusisitizia kuwa hapa ujali muda, ufanye kweli na usubiri watu ndo wakusifu. Hapa hilo jina la Mr. Misifa lina negative impact kwako na kwa kampuni yako na kwa Promota wako na kwa yeyote anayekufagilia kwa jina hilo lenye utata!
Usikonde, Familia nzima tutatinga ndani siku hiyo ya Ijumaa.
Ili usipate usumbufu wa namna ya kuvaa siku hiyo (ingawa ndani kutakuwa na joto la kutosha) hapa chini nakupa utabiri wa kuaminika wa hali ya hewa wa siku ya IJUMAA katika mji wa DELFT utakapokuwa unaturushia nyuki na asali:
JOTO (Sentigredi): Juu- Nyuzi 11, Chini-nyuzi 8;
UPEPO: 46km SSW;
MVUA: Kutakuwa na manyunyu ya hapa na pale.
Mdau,
Nyakarungu
yaani wewe uliyoweka hiyo link ya huo mziki hapo juu nakushukuru sana
ReplyDeletewengine tulikua hatujawahi kuuona wala kuusikia
wimbo ni mzuri sana lakini kuusikiliza tu.
lakini hiyo video siifagilii wala nini
yaani haya mambo ya kuiga wamarekani yamezidi sana mpaka yanatia kichefuchefu
sisi tulio nje hatutaki kuona hizo, tunaziona nzuri zaidi ya hizo.
halafu mtu kama hauko fit, why are you taking your shirt off? huna six pack bora ujivalie zako shati lako la mikono mirefu
lakini wimbo ni mzuri sana lazima tumpe credit kwa hilo.
BACHALA NINAKUTAFUTA MPENZI!!! NIANDIKIE KWENYE mtamumie@yahoo.co.uk
ReplyDeletePLEEEEEEEEEASE!!!!!!!!!!!!!!!!