Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. Braza Michu... heshima mbele. Lakini kwenye hili nadhani ungesema 'KP na Ujumbe Wake' badala ya neno umbea... maana kwa uelewa wangu nafikiri neno umbea lina ka-taswira ka kiajabu ajabu hivi, na kwenye hiyo cartoon ya KP kuna ujumbe wa maana tu. Asante.

    SteveD.

    ReplyDelete
  2. Michu post picha ya 777 na wale wauza kamali pale ndani na wadau wa kijiwe hapo usoni kwa office Ismail Suma, HD,Mushi hapo rozana,Wambongo. nimemiss sana kijiwe. nakumbuka sana Nissani tbt mpaka hapo fbme. ni mimi mdau wa blog yako

    ReplyDelete
  3. Braza Michu,huo sio umbea ni ukweli kabisa tunataka ukweli uanzie hapo!Nasikia wamekwishaanza kukanyagana na ndo kisa cha wengine kumshinikiza Dr ajiuzulu pale Tanesco,manake tunasikia kupitia kwa Dr na ndugu zetu wa PPRA ndo dodoso zote na chimbuko lake pale kamati ya Bunge inayohusiana na nishati ilipotonywa na Dr kwamba hili deal lilikuwa fake na wala halina manufaa yoyote kwa Taifa bali kajikundi flani ka wateule kama uongo waende PPRA na walipokwenda huko kweli walikuta hadithi ni ileile!KP keep it up Ujmube kwa Waelewa umefika vizuri sana labda kazi ndogo ipo kwa kuwaelimisha wale wachache wasioelewa!Mkataba uchunguzwe na UKWELI uanikwe kama ilivyo Bible kwa Christians au Msahafu kwa muslims.

    ReplyDelete
  4. bro michu!!hii msg ya kipanya ipo bomba sana,lakini nashangaa kusikia eti wanatafutwa waliomreata richmond????kwani hao watu kikwete pamoja na serekari yake aiwatambui!!au labda alikuja mwenyewe tu!!!hiyo yote wanataka kupoteza ukweli tuuuuu!!!mimi nathani mambo yote yapo wazi kabisa!!liwe rile la mkapa,richmond,migodi,nk wabongo inabidi sasa kuamka!!hapa korea michu kuna kiwanda kimoja kinaitwa BBK,kimefilisika mwaka 2006 mwanzoni,juzi mgombea uraisi mmoja amegusia shutuma izo,sasa hivi wameanza kuwakamata wote walio usika,kuna boss mmoja alikuwa amekimbiali marekani lakini nae pia wamemreata hapa na hivi sasa yuko ndani,lakini sisi hapo bongo watu wapo hapo hapo inakuwa longo longo tu,kushikwa awashikwi,noma kweli kweli!!!haya yakwetu macho ila siku tukichoka kuishi uku patakuwa padogo hapa nyumbani!!!! mungu ibariki tz na watu wakeeee

    ReplyDelete
  5. michuzi mambo yako wazi hapo,waache kutechezea akili hao!!!!kale kamiss kahindi vipi!! mbona kimya!!naona atupati maendereo yake,au bado akajamaliza shopping hapo china,,,,,haya kape hi kakirudi home!!!??

    ReplyDelete
  6. The story of V.G Chavda: How the original ’job-seeker’ from India ’made it’ in Tanzania




    THISDAY REPORTER
    Dar es Salaam

    CONTROVERSIAL businessman Vidyadhar Girdharlal (V.G) Chavda, who is now believed to have somehow successfully circumvented an 11-year-old deportation order against him, is an Indian national who first came to Tanzania in 1978 seeking expatriate employment with the government, it has now been established.

    Investigations by THISDAY have verified how although Chavda came from relative obscurity in his home country of India, within a couple of decades in Tanzania he was able to amass a small fortune, only to end up being entangled in one of the biggest financial scandals in Tanzanian history and declared a prohibited immigrant (PI) in 1996.

    Sources familiar with Chavda’s early years in the country say he first applied for expatriate work in the then Ministry of Lands, but on failing this he joined the Dar es Salaam-based private firm B.J Amuli Architects on a Class ’B’ residence permit No. 24608 which the local company had applied and obtained for him.

    It is understood that he worked with B.J. Amuli for about a year before entering into a service contract with another local company, Builders (V.M. Chavda) Limited, where he was employed as ’’an expatriate architect and planner.’’

    At the beginning of his contract with Builders (V.M. Chavda) Limited, V.G. Chavda was given another Class ’B’ residence permit No. 21907 issued on May 31, 1979.

    About 10 years later (1989), V.G. Chavda is reported to have controversially obtained a Class ’A’ residence permit No. 0043562 under dubious circumstances and contrary to a clause in the country’s immigration law that says only ’’serious foreign investors’’ in Tanzania can qualify for such a permit.

    In V.G Chavda’s case, it is understood that he was given the Class ’A’ residence permit despite the fact that he was not an investor of any kind but came to the country simply as a normal job-seeker.

    This obvious contravention of the law by officials in the country’s Immigration Services Department was apparently the start of a series of instances where more national laws plus both court and even presidential orders would be repeatedly breached in favour of Chavda.

    It is now believed that when in the 1990s the government through the Bank of Tanzania (BoT) initiated the debt conversion programme (DCP), Chavda ? by this time recognised as a budding local businessman - was given preferential treatment as holder of a Class ’A’ residence permit.

    Under the DCP aimed at reducing the country’s external debt and boosting economic growth in some selected areas of the economy, such local businessmen were allowed to buy out the debt at a discounted price by paying off the external creditors in foreign currency on behalf of the government, which would then reimburse them (businessmen) in Tanzanian shillings an amount equivalent to the redeemed debt.

    The programme was started because of the acute shortage of forex then being experienced by the government.

    But in the wake of increasing suspicions and allegations of improprieties in the administration of the DCP funds, a parliamentary committee was formed in 1994 to investigate the payments being made by the BoT to several of the businessmen, including V.G Chavda.

    And amongst the discoveries made by the Bunge probe team, chaired by then legislator Edward Oyombe Ayilla, was that in one instance whereas Chavda paid off external debts on behalf of the government in foreign currency worth just 2,523,947/- in Tanzanian currency, the central bank then ’reimbursed’ him with a staggering 915,755,147/-.

    The parliamentary probe team also uncovered that Chavda used three sisal companies owned by himself - namely Tanfarms Limited, Makinyumbi Estates Limited and Centrepoint Investments Limited - in the alleged scam to grab excess funds from the central bank.

    He is also reported to have bought the over 5,000 hectares of sisal estates hitherto owned by the government for just 15m/-, and soon afterwards received a 100m/- ’compensation’ from the state after a portion of the land was used to erect new electrical poles.

    The probe committee further established that he had allegedly ’cooked’ (forged) minutes of deliberations and resolutions from meetings purported to be of the boards of directors of the sisal companies.

    In its recommendations, the Bunge committee advised the government to institute criminal charges against Chavda, declare him a prohibited immigrant (PI), and deport him out of the country. The government duly declared Chavda persona non grata in 1996, and subsequently deported him to his home country of India.

    However, he was never charged with any criminal offences in Tanzania, and there are now growing fears that his PI status may also have been covertly tampered with by the powers-that-be.

    ReplyDelete
    Replies
    1. kWAHIO? Walichokikuta anakifanya nao serikalini wanakifanya wenyewe kimya kimya :)

      Delete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...