januari 13, 1968: miss zanzibar wa kwanza hediye khamis mussa (kati) akipozi na wenzie baada ya kutwaa taji. mashindano hayo yaloandaliwa na chama cha hockey, kama ilivyokuwa kwa bara baada ya shindano la kwanza mwaka 1967, yalipigwa marufuku na hadi hii leo hayajafanyika tena huko visiwani

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 12 mpaka sasa

  1. dah, kumbe nyie michuzi wazee wa zamani mlikua mnafaidi eeeh!!! manake nikiangalia hivyo vifaa na ukimwi kipindi hicho ulikua ni wakuusikia tu kwenye majira!!!!

    ReplyDelete
  2. check kiatu cha miss znz ndo catalogue ya sasa......

    ReplyDelete
  3. Watoto wa kizanzibari wa ukweli. Ila jamaa wabishi sana, warudishe mamiss Zanzibar uone Tanzania tutakavyonyanyasa miss World. Ila itabidi mamiss wawe wanavaa mahijabu manake huko zenji wakiona vichupi watu lazma watoane macho! Hehehe

    ReplyDelete
  4. michuzi unatisha kweli hizi picha umezitoa wapi? maana kipindi hicho hata mtaji ulikuwa auna wa kununua kamera na kuanza kupiga nafikiri kipindi hicho ulikuwa unapigwa na umande wa kwenda kula mbungalai za shule ya vidudu hila mimi wana blog pamoja na michuzi unisadie majibu ya maswali haya tu
    1.kwanini mashindano ya umiss yalifungiwa na kwa sababu gani?
    2.mpaka sasa umiss umeisaidia nini tanzania ambacho kitajibu swali la mwalimu kuwa jiulize umeifanyia nini tanzania?
    3.hivi kuna tatizo gani ambalo linatufanya tushindwe kila mwaka na sasa tunazaidi ya miaka kumi
    4.hivi kwanini kamati ya miss tanzania awafanyi uchaguzi ambayo yanaweza kuchangia mabadiliko makubwa ya umiss? jamaini naomba munisaidie majibu haya kupitia hata e-mail yangu ya jozzee2006@yahoo.com au kwenye picha hii
    napenda kutoa na shukrani za dhati

    ReplyDelete
  5. ...naona hakukua na seksheni ya "mavazi ya ufukweni"...looks more that an outfit show

    ReplyDelete
  6. Leo blog yako vipi mbona hivyo, hatuelewi wadau.

    ReplyDelete
  7. Mashaaalla miss zanzibar ila mguu umekataa lakini asili yao..kichekeso mwambie ageuke nyuma hiyo pasi alopigwa si mchezo..ha ha haaaa


    Wadau msoelewa michu anatuletea mamiss leo mchuano wa Richa miss world..Tumuombee ushindi jamani.

    ReplyDelete
  8. duhh mdau hapo juu umeniua.I namaanisha bongo wanawazimia mademu weupe weupe,wakiwaona tu hoi.Kwani tukipeleka weusi katika miss world itakuwa noma jamani?? mbona tunasagana,kuna mademu weusi wazuri kibao,msisage jamani

    ReplyDelete
  9. kaka michu alafu una mipasho wewe.Watu wamesaga richa ukaona uwa pashe kiushaidi na mademu wa kizenji.Daahhh nimekoma mwenyewe kaka.

    ReplyDelete
  10. kaka michu hebu tutafutie mamiss kenya ili tupambane nao hapa hapa ulingoni.Mazei tunasubiri

    ReplyDelete
  11. Duh, aisee, watu wa enzi hizo walikuwa mazoezi kwa sana nini? Maana hao Mamiss wote hapo hiyo Miguu yao ni MGOGORO!!! Inaelekea kulikuwa hamna usafiri wa magari, ilikuwa ni TZ 11 tu!!!

    Na huyo Bi shoGa wa kulia (Miss Punjab in cloloured dress), over and above Mgogoro wa Miguu, hilo umbo lake nalo Mgogoro Mtupu!!! Halijakaa kimiss hata!! BIG PROBLEM !!!

    ReplyDelete
  12. He hee halo!

    Kwa kuwakandia wenzenu hamjambo, leteni picha zenu kwenye bulogu tuone, tena zionyeshe na miguu hata kama ni wanaume si kuna pensi kama hatutaona vifito hapa!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...