balozi wa ukerewe nchini mh. philip parham akiteta na waziri wa nchi ofisi ya makamu wa rais (mazingira) profesa mark james mwandosaya ofisini kwa waziri. mazungumzo yalihusu mkutano wa mabadiliko ya tabia ya nchi utaofanyika huko bali, indonesia, desemba 3, mwaka huu ambapo prof ataongoiza ujumbe wa bongo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. jamani balozi wa ukrane au ukerewe?

    ReplyDelete
  2. Koku karibu ujifunze slang za Michuzi.

    UKerewe = UK (yaani United Kingdom)
    NEWala = NEW york

    na vijimambo vingine vingne utaviona taratibu kadiri tunavyokwenda.

    ReplyDelete
  3. karibu nyumbani koku...ulikua umepotea njia km mwana mpotevu!!! michuzi blog iz everything...

    ReplyDelete
  4. jamani sasa huyu Professor anaongoza ujumbe wa watu wangapi? kwenda Indonesia wote wote hawa kufanya nini, ina maana kichwa na masikio mawili ya professor hayatoshi kwenda huko kutuwakilisha?nani analipia manauli na matumizi ya huu ujumbe? kweli bongo tambarare,,na wewe balozi Parham ongea na mshikaji wako Gordon Brown muachie visa hizo watu waingine Ukerewe, sio mnatuchekea tu, kwenye visa mnaleta ubishi...

    ReplyDelete
  5. Kwakweli wabongo tusiwe tunatafuta mchawi nani! Tuwe na moyo wa support kwa nchi yetu (Ingawa ni ngumu kwakuwa kuna wasanii wengi sikuhizi...). Prof. anakwenda Bali kwa manufaa ya nchi. Kuna mkutano wa UNFCCC au ni mkutano wa 13 wa Conference of Parties (COP 13). For more information ndugu zangu nenda www.unfccc.int/2860.php

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...