wadau wa tampere huko ufini majuzi walisherehekea mwanza dei kwa libeneke hadi lyamba. watembelee kwenye globu ya mdau mjema http://kilimanjaro-wim.blogspot.com/pamoja na ya wadau wa tampere http://watanzaniatampere.blogspot.com/

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 9 mpaka sasa

  1. Du hii bendi ya familia...si mchezo.

    ReplyDelete
  2. Baaab kubwa..ilikuwa hapatoshi..maana hapo tulipata vionjo vya kiasili vikiwa vimekolezwa na technology ya kisasa...


    Kwa msaada tu kwenye tuta..hapo Kati ndio mtaalam wa sanaa za maonyesho aliyepikwa chuo cha sanaa bagamoyo MENARD MPONDA kushoto kwake namuona Catherine Mponda NA Deo Mponda...ama hakika hizi ndio familia za Talents..

    Endelezeni libeneke tupo pamoja....


    Chwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaap

    ReplyDelete
  3. jamani wadau, Kagera Day walifanya ili kuchangia mfuko wa maendeleo ya elimu mkoa wa Kagera, what about this Mwanza day in Finland, pesa inaenda wapi? just curious

    ReplyDelete
  4. woow, jamani Band yenu nzuri, amekosekana Viivi tu, band itimie...next time don't isolate her in the singing PLEASE.

    ReplyDelete
  5. Sema Mponda, naona mambo si mabaya ukoo mzima wa wamakonde unahamia Tampere,safi sana ndo kupiga hatua, hongera sana nasikia wife ameshamaliza kusoma Masters kule University of Nothing,na sasa ni meneja mkubwa, hongera , tusinyimane hizo project anazofanya bwana, tupeane wote tule jamani..kila la kheri.

    ReplyDelete
  6. Mwanza day? in Finland? whats the connection btn Mwanza and Finland, if any???Hongera nasikia umeoa kwa watani wa jadi, big up..

    ReplyDelete
  7. ooh, Deo Mponda, nakuona, always sexy...kila la kheri, na salaam nyingi toka huku uswahilini...wenzenu tupo, mkipata time njooni tukwangue vizuri hizo ndonya ili mkienda na huko ulaya,mlitangaze vizuri kabila letu la wamakonde.

    ReplyDelete
  8. Anonymous sa...

    jamani wadau, Kagera Day walifanya ili kuchangia mfuko wa maendeleo ya elimu mkoa wa Kagera, what about this Mwanza day in Finland, pesa inaenda wapi? just curious

    Tuesday, November 27, 2007 2:17:00 PM EAT

    Ndugu hapo juu,

    Dhumuni haswa la Mwanza Day mjini Tampere siyo kuchangisha pesa bali ni kuadhimisha siku ya urafiki kati ya jiji la Tampere na Mwanza. Miji hii miwili ina mikataba ya urafiki na ushirikiano katika mambo mbali mbali. Unaweza kuwatafuta wahusika wakupe taarifa zaidi juu ya ushirikiano wa miji hii miwili. Natumaini nimejibu your curiosity.

    ReplyDelete
  9. oh, yes,asante kwa kunijibu, nimeelewa sana, tena basi nilikuja nikaona photos zingine mahali nikaona wageni toka Mwanza ndo nikaelewa zaidi, haya good work wadau,,,,

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...