Home
Unlabelled
ukumbi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Nasikia heshimiwa Adam Malima amefiwa na Mkewe MICHU picha basi....
ReplyDeleteKweli bwana amefiwa na mkewe kazikwa jana.. michu tupe taarifa
ReplyDeleteebwana Michu wamjua mwenye ukumbi huo??hebu tujulishe basi kama ni yule mzee Isack Kilato wa BOT
ReplyDeletesafi sana aliyewekeza pesa zake kujenga huo ukumbi unaonekana ni msafi na unavutia,huko Kimara hata ukiwa na harusi kulikuwa hakuna kumbki safi ya kufanya shughuli...hongera ila muutunze na muweke standard kubwa ya usafi na uongozi safi hapo la sivyo utakuwa umetupa pesa chooni
ReplyDeleteNdiyo ni mali Isack Kilato wa BOT
ReplyDeletemichuzi acha ushamba, huu ukumbi wa zamani hata mimi naujua, mi nimeingia humu 2004 , harusi ya rafuki yangu gwakisa mwaisumo...we misoup vipi vitu vya long time hivyo
ReplyDeleteJamani kuna ukumbi uko Avocado,huu cha mtoto,unaitwa sijui The Stalllion aisee uko bomba mbaya! Uko mikocheni dah.....michu Tembelea pale ujionee na uje uweke pic hapa watu wajionee! Ndio ukumbi bab kubwa kwa Dar sasa hivi.
ReplyDelete