repa nyota wa twanga pepeta khalidi chokoraa aliyekuwa mgonjwa kwa wiki kadhaa usiku wa kuamkia leo aliibiuka mango garden akiwa na shuka na mto na kula mzigo huku akisema kwamba katoka kitandani kuja kuburudisha wapenzi wake na kwamba sasa amepona

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Kaka Chokoraa wapi mama Sada!! hahaha hivi ndio vitu vinatufanya kumiss Bongo wallah

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...