Waziri Mkuu Mh. Edward Lowassa akizungumza na balozi wa Tanzania katika Muungano Nchi za Falme za Kiarabu (UAE), Juma Maharage baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Dubai akiwa njiani kuelekea Vienna Austria kuhudhuria mkutano wa Shirik la Umoja wa Mataifa la Maendeleo ya Viwanda (UNIDO) jana.
Home
Unlabelled
maharage
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Du! Michu huyo Maharage ubalozi ivyo, akipewa ujk si atakuwa wa duaraa...kudadek wabongoo
ReplyDeletedah! muheshimiwa maharage anahitaji mazoezi haya ndio matatizo ya kula kulala unavimba bila mpangilio!
ReplyDeleteHehehe majina mengine bwana.Eti maharage.haya bwana mie mwanangu ntamuita njegere sasa au kunde kabisa
ReplyDeleteJaman michuzi hizo picha za harusi jaman tunaomba maana mimi kweli nina hamu nazo nikaone kabinti ka 85 na jibaba jaman hata kama wansemaga age is nothing ila yapasa kuangalia yaan kwa sababu ndo sio mchezo jaman oooh. haya
ReplyDeleteHuyu jamaa kupewa jina la chakula basi akaamua kula kula! Kuna jamaa anaitwa Matoke Manyama, sijui yuko wapi siku hizi, nadhani yeye ni mara mbili ya hili balozi.
ReplyDeletetehe, tehee kadadadek, hii kulala made my day!mambo ya kuita watoto majina ya michakula
ReplyDeleteahah ahah!!
Daahh jamaa kashiba!!!!
ReplyDeleteKudadeki chibarozi chinene mweeeee.
ReplyDeleteHii ndio inaetwa Obecity siyu? Eti wanaglobu hebu nisaidieni
duh mzee michu,huko Dubai gym hakuna.hilro rijamaaa rinakura tuuu,serikali ianze kuangalia watu kama hao ni gharama wakifia nje ya nchi maana ndege zinawalipisha marambili.
ReplyDeleteHiri ri barozi niririonaga zamani huko Mwanza bado rikisomaga shure ya msingi ya miduro skuri chini ya kilima cha nyumba ya Arasii wa Mwanza. Lilikuwa ri kijana rikubwa tangu utotoni.
ReplyDeleteSi ni ri dogo lake barozi Kassim Mawado (jina ra zamani: Kassim Maharage)! Rakini lilipotaka kuingia Wizara ya Nje, basi kaka yake akabadiri jina na kuitwa Kassim Mawado!
Rakini rinatumia pesa ngapi kira mwaka za kufanyiwa "mediko chekapu" huko majuu?
Duuh! jamai Pepe kale kafufuka? oooh siyo mtu mwingine..duuh mzee fanya ka diet kidogo hatari kwa afya ..huoni aibu kwa mwenzio mzee lowasa hapo anakutizama kwa jicho la huruma anajua afya yako mbovu.
ReplyDelete