maafisa wa sauti za busara na wa kampuni ya zantel wakipozi baada ya kutangaza rasmi kwamba tamasha la busara kwa 2008 litafanyika kuanzia alhamisi ya wiki ijayo hadi jumatatu yake katika ukumbi wa ngome kongwe na siku ya mwisho itakuwa ufukwe wa matemwe. toka kushoto ni n mwenyekiti wa sauti za busara simai mohamed said, mratibu kwame mchauru, mkurugenzi dj yusuf mahmoud, bosi wa biashara wa zantel justin coetzee na afisa masoko wa zantel mdau allan. hii ilikuwa leo ambapo zantel wamemwaga mamilioni ya shilingi kama wadhamini wakuu wa sauti za busara mwaka huu
Home
Unlabelled
sauti za busara 2008 yatangazwa rasmi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ustaadh upara unakuja huo na hauzuiliki.
ReplyDeleteTena safari hii makulati ya Forodhani yamehamia ngome kongwe ndani kwa hivyo kula humo kwa humo manake Viwanja vya Forodhani vipo under renovation.
ReplyDelete