HABARI ZA LEO WADAU,
NATAGEMEA MMEKULA WEEKEND YENU VIZURI
NAOMBA NITUMIE BLOG YAKO KUWEKA OMBI LANGU.
MIMI NI MSICHANA WA MIAKA 28 NIMEZALIWA NA KUKULIA KATIKA JIJI LA KANDORO(DAR) KABILA LANGU NI MCHAGGA , NI MTOTO WA MWISHO KATIKA FAMILIA YETU NINA DADA WAWILI WOTE WANAISHI NA FAMILIA ZAO.

HISTORIA YANGU KWA FUPI:
NILISOMA ELIMU YANGU YA MSINGI NA SECONDARY INTERNATIONAL SCHOOL OF TANGANYIKA, BAADA YA HAPO NILIFANIKIWA KWENDA ELIMU YA JUU OSLO UNIVERSITY COLLEGE (M Eng)SASA HIVI MIMI NI ACHITECT & BUILDER NAISHI DAR ES SALAAM LAKINI SINA STATION MAALUM NA SAFIRI SANA KIKAZI NDANI NA NJE YA NCHI NATEGEMEA KUFANYA PHD MIAKA YA BAADAE.

NIMESHAWAHI KUWA NA RAFIKI MMOJA WA KIUME LAKINI MUNGU AKUPANGA TULIACHANA BAADA YA MIAKA MIWILI (TULIKUWA NA MITAZAMO YA MAISHA TOFAUTI)ILA NI MARAFIKI TU.
NADHANI MPAKA HAPO A SUCCESSFUL CANDIDATE ATAKUWA AMENIELEWE.
SIFA ZA MLENGWA KUAMBATANISHA CV YAKE IKIELEZA,SIFA MUHIMU ZIFUATAVYO
1.MINIMUM QUALIFICATION 1ST DEGREE GRADUATE
2.AWE MUAJIRIWA/KUJIAJIRI
3.AWE MSAFI(ATLEAST ORGANISED),KUPANGILIA MAVAZI
4.SURA INATEGEMEA LAKINI SIO MUHIMU SANA
5.SENSE OF HUMOUR
6.AWEZE KUONGEA KIINGEREZA(BILA IAMMMM NYINGI )HII NI KUTOKA NA WAGENI NINAO WAPATA NYUMBANI KWANGU NISINGEPENDA KUMFANYA AWE LEFT OUT
7.UREFU NI MUHIMU KIMO CHA CHINI KABISA KIWE 5.9FT KWASABABU MIMI MWENYEWE NI 5.9FT
8.AWE ANAVAA KIATU SIO CHINI YA SIZE 9(SIO MUHIMU SANA ILA NINGEPENDA IWE HIVYO)
9.SIO LAZIMA AWE MCHAGGA
10.AWE HAJAWAI KUOA AU KUWA NA MTOTO/WATOTO
11.KUPIMA UKIMWI MUHIMU KABLA YA KUKUTANA (KIMAPENZI)
12.ASIWE MVUTA BANGI/KUTUMIA MADAWA YA KULEVYA YA AINA YOYOTE
13.(ACADEMIC CERTIFICATE)VIAMBATANISHO(VIVULI) VYA VYETI NIMUHIMU ILI NIWEZE KUPIMA IQ YAKO
14.KUWA NA NYUMBA SIO MUHIMU(MIMI NAISHI KWANGU-NYUMBA YA WAZAZI) ILA GARI NI MUHIMU. MWANZO UNAWEZA KUTUMIA LA KWANGU WAKATI TUNATAFUTA JINGINE
15.ASIWE NA UMRI ZAIDI YA MIAKA 35
16.WATU WENYE UZITO WA KHALI YA JUU SANA HAWATA ZINGATIWA ,VITAMBI( BEER BELLY FAT)
17.SITAKI MTU MAARUFU(MACHO YA WENGI)
18.ASIWE ANAVAA HERENI SIKIONI. NO TATTOO. KUSUKA NYWELE, NO GRILLS

NATEGEMEA MAOMBI YANGU YATAELEWEKA NA NITAZINGATIA NO TIME WASTERS.

Asanteni
Manka S Mushi
mankasolomon@yahoo.com

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 228 mpaka sasa

  1. Si bure utakuwa na matatizo fulani. Anyway good luck on your adv.

    ReplyDelete
  2. ni naona ungeenda eharmony.com
    good luck

    ReplyDelete
  3. Pole na umepotea njia. Nafikiri una access ya internet nyumbani. Nenda ukatufute website ya www.dating.com au ukuweka google andika swali la kutafuta mwenza utawapata wengi hata ushindwe mwenyewe

    ReplyDelete
  4. Mamaa hutapata mwanaume wana namna hiyo na hata ukimpta atakuwa anakudanganya! kwani wanaume wako wachache kuliko wanawake duniani! hasa ukiwa tooo peaky! utabaki single milele na milele!

    shuk division 1.

    ReplyDelete
  5. sista pole za kumwaga, this explains why you dont have anybody in your life!! happy lonely life!!.....CV ktk mapenzi? who are you? jennifer lopez? or janet jackson??...your are too westernized!!!

    ReplyDelete
  6. mambo yote ayo? ndo mana uko single!!

    ReplyDelete
  7. Sasa ndio naelewa maana ya msemo wa "BIASHARA MATANGAZO"

    Pia wahenga walisema,
    "KIZURI CHAJIUZA,
    KIBAYA . . . . . .,

    Lakin nisikukatishe tamaa,
    endelea tu, unaweza fanikiwa

    ReplyDelete
  8. Sifa zote hapo juu ninazo isipokuwa sharti namba kumi ndio nina wasi wasi nalo, maana nishatiana sana hapa mjini.

    Anyway, ngoja nikapime kwanza ngoma kisha nije nitume CV yangu, maana hii sasa wala sio kuomba uchumba bali ni kama kuomba kazi.

    Halafu kutaka mwanaume aambatanishe vivuli vya vyeti vyake kuangalia mpaka IQ yake ni matusi. What if he more intelligent than you?

    And what if akapatikana mtu mwenye sifa zote hapo juu kisha mkaonana, ukampenda halafu yeye asikupende? Tatizo lako unajiona mzuri kama malaika.

    Nina imani utapata mtu mwenye sifa zote hizo halafu atakusumbua mpaka uone ndoa chungu.

    Kila la kheri.

    ReplyDelete
  9. Nahisi dada Manka una wazimu,kama huna wazimu basi unaugon jw atunaoita sisi wataalam "pysch-active ambao huwaoata watu waliodumaa kwa akili zao kuwaza sana vitu ambavyo hawana uwezo nao
    Kwa sifa ulizotaja ambazo ndiyo mme wako awe nazo nahisi labda usubiri aje MUNGU ndiye akuoe,au zaa mtoto wako mpe sifa hizo zote then aje akuoa wewe
    Huwezi kuw ana vitu vyote hivyo ndipo akubaliwe,nina uhakika hata wewe sifa nusu tu za hizo huna,kwa mfano kwa haraka haraka hata wewe Kiingereza hakijatulia hasa uliposema"minimum qualification"badala ya kuandika "minimum qualifications"hasa baada ya kuwa unataka sifa nyingi za ziada kwa huyo mme wako mtarajiwa,ungetumia plural badala ya singular
    Naisistiza tena,ni rahisi kwa NGAMIA kupita kwenye tundu la SINDANO kuliko kwa dada Manka kupata mme mwenye sifa 21

    ReplyDelete
  10. Michu huyu si ndie manka wa mbezi kwa msuguli? nasikia kila mwanamme anaemdate kuna mambo yatamtokea? unaweza kufa ghafla ukisalimika kufa unaweza kupata ajari ikakufanya uwe tegemezi maisha yako yote au unaweza kupoteza kazi uliyonayo au kama ni mfanya biashara unafilisika na utambue huji juu tena, kwa ufupi anakutia nuksi ya milele.....wadau Manka Mushi ninaemjua mimi amewarostisha mijibaba mitatu ilikuwa na mihela, wasomi, wafanyabiashara wa kueleweka lkn walipoteza ivyo vyote baada ya kumuoa kila mmoja kwa wakati tofauti na mpaka umauti umewakuta walikuwa hoehaeeeeee

    ReplyDelete
  11. No comment!
    Nimepungukiwa na vigezo viwili tu!
    Umri nipo chini ya 28 na vyeti vy madegre hapo nimechemsha....but i can assure her niko fiti kinoma yaani!

    ReplyDelete
  12. WEWE ULIYEPOST HAPA NINA WASIWASI SIYO MWANAUME. JAMANI HUYU NI BROTHER MEN FULANI ANATAKA KUFANYA UTAFITI AWAONE WAJINGA WANGAPI WALIOSHINDWA KABISA KUPATA WANAWAKE, HASA WASOMI. KUJIELEZA KWENYEWE KASHINDWA. ELIMU GANI YA CHUO KIKUU ANAINGIA MOJA KWA MOJA MASTER'S IN ENGINEERING BAADA YA KUTOKA HIGH SCHOOL TANGANYIKA? WALA HAJASEMA SHAHADA YA KWAZA ALISOMA WAPI. MWONGO UTAMWONA TU.

    KAMA KWELI HUYU NI MWANAMKE, NDIO MAANA SISI TUNAAMUA KUVUTA MADEMU WHITE HUKUHUKU NJE KWA KUACHANA NA NYODO ZA MADEMU WA KIBONGO WA HIVO. KWANZA UMECHELEWA KUOLEWA, UMECHEZEWA SANA, POLE MJANJA YEYOTE HAWAZI KUCHUKUA MZOGA KAMA HUO. POLE. GOOD LUCK IN YOUR SEARCH.

    MDAU MAJUU....

    ReplyDelete
  13. hivi we dada unatania watu au uko serious? we hayo mambo uliyaona wapi ya ki hivyo, kukushauri labda ungeomba msaada wa kufundishwa jinsi ya kutafuta mchumba na sio kusema mambo ya cv, kwa hapa bongo itakuwia vigumu kwa kweli.

    ReplyDelete
  14. Wewe kweli umechanganyikiwa-CV ya nini katika mapenzi? Hutakaa umpate mtu wa aina hiyo. Halafu nimepitia kwenye kumbukumbu za Vyuo Huko Oslo, inaonekana wewe ni Kihiyo (Hakuna cha Architect wala M Eng). Kwanza mtu aliyesoma akaelimika utamjua tu.

    ReplyDelete
  15. upo materialist sana mwanamke mwenzangu!ila una moyo labda utapata ila pole sana sidhani kama utapata mwanaume atakaekuambia ukweli humu!una hatari sana dada!
    keep it up my sister
    Mdau France

    ReplyDelete
  16. Are u serious? you must be kiding! mume hatafutwi hivyo, pengine muda wako wa kuolewa umefika lakini hakili zako hazijafikia ukomavu wa kutosha kuolewa. Unachokieleza wewe kinaitwa idealism not realism.Pole kwani hata atakayekuoa atapata tabu sanaaaa!

    ReplyDelete
  17. Too much expectations, too high standards!!! hata mimi niliweka vigezo kama hivyo nikaishia kuwa single..iam now 53 na ninajuta!! Labda uwe unatudanganya na ni msanii fulani unayetaka kuona reactions za wadau wa blog hii katika suala kama hlo endapo litatokea katika hali halisi

    ReplyDelete
  18. Hizo sifa hutafuti mchumba.WEE UNATAFUTA LESBIAN TU.

    ReplyDelete
  19. michu, sikujua kumbe hii ni dating agency??? manka lol ungekuwa lesbian ningekuchukuwa.

    ReplyDelete
  20. WEWE DADA NI NUNGAYEMBE NJOO TUNISIA RD UTAPATA BWANA. UNADHANIA ELIMU YAKO NDIO KIOO CHA WATU KUKUPAPATIKIA KOMA KABISA. KWANINI USIWE CHANGUDOA

    ReplyDelete
  21. Inaelekea una matatizo makubwa sana akilini maana kama umeweza kusoma mpaka M Eng lakini bado hujajua namna ya kupata mwenza nakuonea huruma mno.
    Ushauri wa bure ni baki single usubiri Mungu akupe huyo mtu unayedesire(90%hawapo)
    Pia inaelekea hujiamini kwa kiasi fulani maana una demand vitu kibao tuanikie picha yako tuione hapa usituletee za awe handsome sijui mrefu sijui nini mbona hatujakuona ukoje.

    ReplyDelete
  22. Ha ha ha CV! kinyau nyau kikia cha pweza..wallah utakufa na utamu wako kama muwa! Utabaki single milele. We unaona kuwa na elimu ya uinjinia ndo ushakuwa "dili" Wenzako warembo, tabia safi, vidato vya maana, maumbo bomba na sura, watoto wa mwambao (tanga) (sio wachaga), tena madaktari bingwa (gynoechologist) (sio hako ka Bachelor kako ka eng)wanatafuta waume bila CV na bado hawajawapata, utakuwa wewe mwanamke wa kichaga (kitandani kama gogo) Na kwa taarifa yako wanaume wasomi huwa hatutafuti wanawake wasomi, coz tunahitaji kuliwazwa tunaporudi home baada ya majukumu, sio discussion.

    Then wewe unaonekana wakujiona sana (yaani mtu wasifa), mwanaume mwenye utambuzi (educated) kama unaemtafuta huwezi mpata, labda na yeye awe anakutega (kukudanganya), coz we mtu wakujibost sana.
    wanawake wa asili yako wanaishia kupiga kelele haki za wanawake mpaka wanakufa sababu wao hawana waume na hawawezi pata waume.

    Kwenye mapenzi, hako ka degree kako na ka gari kako weka pembeni, kwenye mapenzi msomi anakuwa mbumbumbu, mwenye mali anakuwa fukara, mwenye cheo anakuwa karani...!

    ReplyDelete
  23. Hongera mama kwa kuweka sifa za umatakaye wazi. Wasikukatishe tamaa, inshaalah utampata umatakaye. Bora mambo kuyaweka wasi tangu mwanzo manake wanaume wengine wamezidi kudanganya..nakutakia kila la kheri lakini be careful kunawatakaokujia kwa sura za uongo! Bongo hii dada!

    ReplyDelete
  24. Mimi nina vitu vyote hivyo isipokuwa sitaki mwanamke anayetaka vitu hivyo. Nakutabiria utaishi single mpaka uzeeni (ukijaaliwa kuzeeka). Kwanza unaonekana mtu mgumu sana hata huyo mwanamme atashindwa. Pole dada na mifastrasheni yako!!

    ReplyDelete
  25. Hizo sifa na vimbwanga vyote atakavyo Manka ninavyo, lakini mimi sijaridhika naye. Sasa Manka nitumie CV yako yote ili nami nimpelekee mwanasheria wangu na advisor wangu ili waichunguze na kunishauri!! Lakini KIATU namba 9 sina,labda aeleze vizuri kiatu - BOOT gani alikuwa anaifikiria.

    ReplyDelete
  26. Hongera muandishi kama hili Tangazo n la kweli au ni matani ya kinyumbani TZ kufurahisha baraza mimi binafsi nahisi kama ni kufurahisha baraza lakini vile vile inawezekana kuna kitu japo kidogo kinaingiliana na hili Tangazo sio bure kwa upande wangu nigependa kuwakumbusha waliopitia Tangazo hii na kutowa ushauri walisahau kumtaarifu huyo mtafutaji jambo moja ambalo ni hili TUJALIE AMEKUTANA NA HUYO MTU MWENYESIFA ALIZOTITAJA.LAKINI BASI MWENYEKUTAFUTWA AKAWA HAPENDEZEWI NA SIFA ALIZONAZO MUOMBAJI.
    ushauri wangu rudi nyumbani vijijini ukangalie realy life

    ReplyDelete
  27. Mtu anayetafuta mchumba yeye mwnyewe hana sifa ya kuolewa. Nyuma kapigwa pasi na chakula ya mtoto ni kilo mia. halafu nani akuoe wewe wakati mda wote unasafirisafiri. Ukisafiri sasa nani anipikie chakula-housegirl basi umruhusu ili hata kitanda awe ana nitandikia. Wewe sidhani kama utaolewa labda utafute mzee mjane lakini sio kijana mwenye miaka isozidi 35. Halafu unapenda mtu mwenye kuvaa namba kumi. sayansi inasema saizi ya mwaunaume inaendana na saizi ya kiatu kwa hiyo inanitia wasiwasi na ukubwa wako chini ya kitovu.

    ReplyDelete
  28. dada nadhani hujayajua mapenzi bado!utaendelea kuganda ukisubiri....je ukimpata mwenye sifa zoooooooooote unazotaka lkn mapenzi na ww hana?? wa2 huangalia moyo&roho ya upendo si v2
    angalia baadaye ukion aumri umekweenda utachagua chaguo la ajabu sana
    nakutakia kila la heri

    ReplyDelete
  29. We dada nakupa ushauri wa bure kuwa, nenda porini kachonge wako wa hivyo hutampata dunia hii ya leo na kama wapo umechelewa walishagawahiwa siku nyingi wenzio washawaona na kudakwa juu kwa juu, na ukifanya mchezo utampata mpenzi jini bureeee mwanakwetu uwe na kiasi unapotafuta mwenza cha muhimu akupende akujali na kukuheshimu sio mbaya kama atakua amepitia vitabu kidogo ila na no ya mguu hapo sina la kusema, afadhali ungesema asiwe na ukucha uliolika na kuharibika na kuleta shape ya kichwa cha nyoka kidogo ningekuelewa kuwa labda utaona aibu ukiwa nae wakati amevua boot zake,

    ReplyDelete
  30. we mchaga wa wapi? mbona mshamba namna hii. unatungusha wachaga wenzio. watu tunatuma cv kuomba kazi sio kuomba penzi. au unamtafuta mtu wa kumwajiri kukuka..? tangaza na mshahara kabisa. yawezekana yule uliyeachana nae haukumlipa vizuri. umepinda sana dada yangu. pole sana.

    ReplyDelete
  31. awa jini

    ReplyDelete
  32. Nakushauri fanya utaratibu kama wa Bongo Star search yako iwe MANKA HUBBY SEARCH.
    Search iwe wide mpaka vijijini!

    Pole sana, lazima una matatizo!

    ReplyDelete
  33. Madungayembe mengine bana!
    karibu jolly club! watu wakutoe kiranga chako! wanakuja mpaka madokta wanakuja jolly wanaliwa wanaondoka zao! mambo yot ehayo utayapata wapi, labda umtengeneze mwenyewe huyo mwanaume

    ReplyDelete
  34. Swadakta Dada Manka.... Tumekusikia!!! Ama waliposema mapenzi ya siku hizi ni "Compatibility" sikujua walimaanisha nini lakini leo nimeona... Haya interview panel umeshaamua lakini?

    Utani kando nikutakia mafanikia katika kama walivyosema wengine huko kabla "Manka Hubby Search"

    ReplyDelete
  35. That's too much of u Manka..How do u grade urself? Who do u think u are? Ni IST au hiyo M Eng? That tells us kuwa huuziki huko uliko siku zote hizo..

    ReplyDelete
  36. Dada MANKA HONGERA SANA. I WISH dunia ya leo na nchi yetu sana sana ingekuwa na watu wenye COURAGE KAMA WEWE! Yaani nimefurahi sana kuona msichana kama wewe (sikujui) umeamua kuweka mambo kama haya hadharani. You are the best kwa kweli! Mi ningekuwa na vigezo vyote ningeapply..nimepungukiwa kitu kimoja tuu..Viatu navaa namba nane!!

    Kweli dada nimekukubali you are just Phenomenon1 Ni wachahce wenye courage kama yako. Na hii inaonyesha ambavyo una exposure ya nguvu! Achana na waosha vinywa!

    Keep up dada..ila kama unaweza badilisha vigezo...niko willing kutuma CV!

    Hao wanaokutukana..achana nao..they are just dumb! na wengi hawako exposed..haya ni mambo ya kawaida.

    Dada Again I say Maximum respect!

    You have challenged conventional wisdom kwamba wanaume ndo inabidi watafute wanawake....

    HONGERA SANA DADA NA NAKUTAKIA KILA LA KHERI!

    ReplyDelete
  37. Sifa moja uliosahau ni urefu wa thakari kwani ili upate utamu lazima ifike mahali unapotarajia. utueleze baadae kama ulimpata tuje kuwatembelea..madongo kuinama mtakapokuwa....

    ReplyDelete
  38. Hapa ndo inapokuja tofauti ya Michuzi na blog nyengine, huyu bwana yuko creative sana, yaani kaianza wiki na hadithi hii iliwatu waamke! michuzi huu ni usanii wako kama ile picha uloiba pale theutamu, kisha ukaifanya eti anatoa pole za maisha magumu. Ndio kaka hivyo hivyo siku zinakwenda, pia unaeleimisha kuna ambao wakiona haya maoni pengine walikuwa na mtazamo kama wa hii hadithi yako basi wataacha.

    Hongera kwa ubunifu (najuwa hii post hutaiweka)

    ReplyDelete
  39. HUYU MANKA NAMJUA KAMA SIKOSEI TULISOMA NAE IST NILIJUA UMEPUNGUZA MARINGO KUMBE BADO TU ALIKUWA ANAJIFANYA AJICHANGANYI NA WATU ANAJIONA BABU KUBWA SANA.ULL
    REMAIN SINGLE SANA TU.ALIKUWA ANA DRIVE KIPAJERO CHA BABA YAKE ANAJIDAI NACHO WANAUME WAKIMFUATA ANAJIDAI ETI ANA MPANGO NA MTU. SASA UNATAKAA EHEEE.KWA UZURI MZURI SANA ILA PUNGUZA MARINGO YAKO WEWE MDADA.NAKUJIFANYA ETI MAISHA YAKE YOTE YUKO KWENYE DIET ANAKULA VITU ORGANIC UTAPATA MTU MWENYE TABIA KAMA YAKO ILA HIYO NYUMBA ITAKUWA TABU SANA

    ReplyDelete
  40. Hiyo nyumba ya wazazi na kagarikako si vikuoe basi una maringo sana huwezi pata mchumba kwanza mshamba sana nani ana shida na mali zako. Kwanza kuna wanawake wana pesa sana na elimu kukupita weye na wametulia, tatizo letu wabongo tunajikweza sana ona wenzetu wakenya wamesoma sana mpaka wana maphd na walivyotulia huwezi amin we manka umesoma tu kidogo unajiona hakuna kama wewe hapa duniani pole yako dada

    ReplyDelete
  41. DADA WEWE SHIDA YAKO NI 9INCH WENZIO TUNA 7INCH. ENDELEA KUTAFUTA MPAKA UTAZEEKA.

    ReplyDelete
  42. Huyu dada kwanza siyo injinia kwa sababu kama angekuwa injia ingefahamu kwenye uhalisia vitu vingi siyo 'ideal' na ili kuvifnya kuwa ideal inabidi ufanye modfication nyingi sana. Ni hivyo hivyo kwa binadamu paia hakuna ambaye yuko 100% perfect, mfano anaweza kuwa na vigezo vyote lakini mtambo wake inabidi usukumwe kilometa 10 ndiyo uwake kitu ambacho wanawake wengi hawapendi. Nakushauri na nawashauri akinadada waache kuiga mambo ya kizungu kwani hayo mambo hata kwa wenyewe wazungu yana madhara makubwa kwani tafiti zinaonyesha idadi ya ndoa zinapungua na idadi ya wanawake wanaojichua inaongezeka.Wanaume huwa hawapendi shida, wanapenda kuliwazwa na siyo vinginevyo. Jiangalie sana kwani huna sifa za kuwa mke ila una sifa za kuwa ;;;;; na pia utakuwa na maumbile makubwa sana kitu ambacho kinawafukuzisha wanaume wengi. Biashara yako iuze rejareja badala ya jumla kwani wanunuzi hamna na itakudodea, si unajua huko chini kuna atrophy with age.

    ReplyDelete
  43. Ukiona mwanamke wa kiafrika anatafuta mwanaume ujue huyo ni IQ yake iko chini na na ni mnyanyasaji wa wanaume.

    Kama mwanaume hujawahi kuamrishwa kukuna nazi kamuoe.

    Mimi hata akinitaka bure sitaki.

    ReplyDelete
  44. Wewe Manka Mushi wewe, Hiyo Elimu ndio inayokupa kichwa au ni uzuri ulionao? Kwanza bora hata ungekuwa mmarangu ningeweza kukufikiria au Mchaga wa kutokea sehemu nyingine kama hata Rombo, Kibosho Oldmoshi na kwingineko ila MACHAMEE? yaani nimetumia herufi kubwa kwani wanawake wa MACHAME mnajulikana kila kona ya Dunia tabia yenu Na hivyo uko na hiyo elimu huyo mwanaume utamfanya kabachori kwani nyie sifa yenu kukalia wanaume na ikishindikana kuuwa. Wewe kuolewa ni Hadi miaka 35 or arobaini ukutane na Aliyechoka maisha mwenzio mkazaane basi mambo ya cv achana nayo, Kwanza jiulize wazazi wako wote ni wamachame ila wanaishi maisha ghani? Rudi nyumbani ukawachunguze kama isipokuta Mama ndio baba na baba ni Mama kwani Baba hata kwa mtoto hakohoi.

    Asante Mdau kukoka ------- Kaka yako

    ReplyDelete
  45. TEH TEH U MADE MY DAY, HAPA OFSN KWANGU TUNAYE KAMA WEWE, MIAKA INAENDA ANAPATA DATES LKN ANA COMPLICATIONS NYINGI SANA , SO ANAISHIA KUACHWA,SASA UNAYEMTAFUTA HAWEZI KAA NA WEWE SABABU ANA SIFA ZA KUMPATA BEST WOMAN OF HIS, NA UHUSIANO HUANZA NA WATU UNAOKUTANA NAO KILA SIKU KAZIN, SHULEN,KANISAN,PUBS NK SASA WEWE ULISHAKUWA NA WATU ULIOKUTANA NAO LKN HUKU COPE NAO IT MEANS UNA MATATIZO YATAMBUE TAFADHALI UYAREKEBISHE, SANA SANA UTAISHIA 53YRS KAMA ANON WA HAPO JUU ALIVYOSEMA.

    ReplyDelete
  46. INAELEKEA WEWE NI MWEKEZAJI SASA UNAHITAJI KABUZWAGI KAKO MADINI (AKIPOTEZA AJIRA BAADAE) YAKIISHA UNARUDI KWENU, UNAMUACHIA MASHIMO MATUPU.

    ReplyDelete
  47. kurwa masz!,dupa

    ReplyDelete
  48. Safi sana Manka lazima ujue unataka nini katika maisha.lakini wala vumbi wamekuja juu ile mbaya utafikiri wamelazimishwa chochote hapo,kama hamna hizo qualification kaeni kimya,na vyote ulivyosema ni very legit kwa mtu anayetafuta na usipunguze hata kimoja hapo labda Elimu na kiingereza to me sio lazima sana hapo...to me i'm 32 ningeweza kujaribu lakini uko mbali maana naishi nje na sipendi mambo ya long distance na umri wako kwangu naona ni juu kidogo maan napenda at least 25 lakini sio lazima,lakini nakupa 5 na usipunguze hapo na nyie wadau acheni kashfa kama mna sifa jibuni sio matusi tuu,its time sasa kuwa wazi watu kusema wanataka nini,kila la kheri manka hope utapata unachotaka

    ReplyDelete
  49. eh! hii nayo ni kali jamani. Binti Omba Mungu atakupa mume. Mimi Pia ni Manka Mushi ila niliomba Mungu kanipa Mume na sio kwa njia hii.

    ReplyDelete
  50. We Manka hata kama ningekuwa nauza mbege kule machame sikutaki pia,wanawake kama nyie ndio huwa mnadoda miaka kibao,mnajidai mali kitu kumbe uozo mtupu...kwanza una miaka 28 hata wa kukupa jambo hujapata?pole wee..ndio upati tena..mdau Norway

    ReplyDelete
  51. naomba nikupeleke ukaombewe umurudie bwana mchumba hawamtafuti hivyo we huna nia na ndoa bali kama una kejeli

    ReplyDelete
  52. HEY....HEY....HEY...WANAUME...IWENI WAPOLE KAMA NJIWA......mbona mnataka kuharibu sasaaa jamani...forget about the politics behind the CVs na namba za viatu....mwageni contact kwenye blog myaone mashambulizi....hapa tunachosubiri ni contact zenu tuvamie blog.....huyu binti ni kama amewakilisha maelfu kama sio mamilioni ya wanawake tena wenye pesa zao....sasa msitishike na vigezo....TUNAWAPENDA JAMANI SASA TUNACHOHITAJI NI CONTACTS TUU......CONDITIONS APPLY:Lazima uwe rijali na mchuma ushikike....(do not worry about financial matters....will be sorted out)

    ReplyDelete
  53. naomba nikupeleke ukaombewe au umrudie bwana mchumba hatafutwi hivyo alafu una sanifu huna haja na ndoa

    ReplyDelete
  54. MANKA, una matatizo makubwa. Unatafuta houseboy au mume????????? Wewe ni nungayembe hujapata hata wakukutongoza, wenzio tumeolewa na bado wanaume wengine wanatamani tuachike huko tuolewe nao, wewe kwa umri huo umekosa hata wa kukuambia NAKUPENDA. picha yako ni hii, titi kilo mia, tako pasi, miguu kama spoko za baiskeli, sura kama unalia, ndio maana hujiamini unaomba cv katika mapenzi, picha yako mbona hukuweka tukuone.

    Huna maana wewe, unatudhalilisha wanawake, unaelewa maana ya TRUE LOVE, AU MORE THAN LOVE, katafute maana yake kwanza. PENZI HALIJALISHI UNA NINI NA UMESOMA NINI AU WAPI. WEWE WAZAZI WAKO WALIKUWA BUSY SANA WAKASHINDWA KUKUFUNDA WEWE, NA WEWE UNAJITIA BUSY UTALEA WATOTO WENYE AKILI MBOVU KUZIDI ZAKO MARA 10000000000.

    ReplyDelete
  55. du wewe dada lazima una matatizo tokea lini mapenzi yakambatanishwa na CV ya mtu au ni maombi ya kazi maana inawezekana ukawa unanilipa kwa mimi kuolewa na wewe.pole sana maana una matatizo cyo utani.mimi nikija nitahitaji kusign contract maana bila hivyo hatutawezana nionavyo mimi.

    ReplyDelete
  56. Huyu nadhani atakuwa NGOROMIKO, sio mchaga bana asituaibishe sisi!

    ReplyDelete
  57. Yaani wewe Manka umechemsha sana, mimi binafsi ninazo sifa zote hizo tena na zaidi, kama lugha naongea vizuri kabisa pia naandika vizuri kabisa lugha zifuatazo, kingoni, kiswahili, kiingereza, kilatini, kihispania, kijerumani, kifaransa na pia napenda mke wangu ajue lugha zote hizo, sasa wewe na hako kakiingereza kako unajiona mjanja, watu tunajua milugha kibao ya dunia hii. kama ni masters ninayo na nipo on the way kufanya Phd, lakini mwanamke kama wewe sidhani kama angenifaa, nasema sidhani kama ungenifaa kwa vile tayari nimeshapata mwanamke mzuri, simple na mkarimu, tena ni advocate, sasa wewe sijui mjenzi nininini? mimi ni mwanasayansi, na sitaki mke wangu awe kama hivyo. lakini bado unayo nafasi kama unapenda, nikuoe kama mke wa pili (yaani nyumba ndogo) lakini hata hivyo unapaswa kujifunza lugha nyingine zaidi ya kiingereza chako, kwani nami pia napata wageni wengi sana toka Songea ambao hawajui kiswahili, pia wajerumani, na nyumbani kwangu tunasoma biblia iliyoandikwa kilatini na kigiriki, sasa jifunze na lugha hizo pia, kwani biblia iliyoandikwa kiswahili kuna maneno siyapati sawasawa katika maana yake halisi, hivyo unakazi ya kufanya kama unataka kukubaliwa uwe nyumba ndogo yangu!! otherwise dada utakuwa kiwanda cha kuzalisha watoto wa mijamaa bila kujijua kwani sidhani kama utapata mume kweli, maana wanaume wazuri wote wanagombaniwa na wanawake wenye tabia njema!!

    ReplyDelete
  58. Nimesoma hili tangazoooo mh! nikatabasamu kidogo kisha nikavuta fikra, nikakumbuka dada mmoja tulikua nae siku za nyuma kidogo. Huyo dada alijisomea akapata phd yake akapata ajira yake akajikalia kimya. Huyo dada hatujawahi kumuona na boyfriend wala kuonyesha dalili tu ya kuwa na japo haja ya mwanamme kila ajae anamtoa kasoro na kumrudisha na maneno magumu magumu. Tena alikua msafi kupindukia mpaka akitaka kupanda gari lazima atandike kitambaa chake cha mkononi ndio akae kwenye kiti kila wakati anajifutafutaaa asiguswe na kitu. Haya! siku haina jina tukamuona na jamaa mmoja wakawa kama wameelewana kwa muda mrefu wakawa pamoja kwa furaha hadi tuliowazunguka tulifurahia tukiwaona. Hee! mara siku moja akaja na stori Huyu jamaa ni mshenzi kweli, kulikoni ndugu yetu? akajibu eti ananiambia mimi niende kao wazazi wake wakanione, eti wazazi wake wakaniaccess mimi? kwa kunionaje? na hapohapo urafiki uliisha. Ni jambo la kawaida kabisa kukubaliana kwenda kutambulishana sasa sijui yeye alilipokeaje mpaka likamkarahisha hivyo. kwenye mapenzi huwa tunajaribu kuelewana kwanza na kuridhishana sio unatanguliza matakwa yako dada. Linalomkera mwenzio hulifanyi sasa wewe unaanza na ya kwako na huyo bwana mzee akija na kuwa na hivyo vigezo ukamkubali, je? yeye akIkupa vigezo vyake?. mathalani aseme alifikiri kuwa wewe unawowowo au cowbell kubwa na miguu minene utasemaje shost, wakati pengine we vigezo huna? utasemaje wangu, si nawe utachoreka tu? mh! nakubali kuwa ULIPENDALO HUPATI HUPATA UJAALIWALO. NA KUCHAMBA KWINGI KUONDOKA NA MAVI.

    ReplyDelete
  59. are you looking for a husbnd or someone to go out with?
    Kama unatafuta mchumba jiangalie wewe mwenyewe kama una migezo vyote vya kuwa mwanamke bora (usisahau kuangalia mashine yako pia kama haijachakaa)
    I think umechemsha dada yangu, i know you enough money but your money can't do everything u need in ur life. Punguza maringo, jishushe hadhi upata mwanamume bora otherwise utaambulia wanaume wa kuja kukuchungulia na kulala mbele. Get advise from others

    ReplyDelete
  60. Oooh goodness me!! It's not that u r asking for much, but never imagined someone of your calibre (Msc Eng) will stoop so low and start looking for love via application letters, CV and all these shenanigans. I guess u ve been played big time, by the looks of it, and u r just inviting big game players to take you to the cleaners!!! If this is not a wind up then you are a big fat loser!!

    I rest my case

    ReplyDelete
  61. kuna hadithi nilihadithiwa na mamaangu nilipokuwa mdogo alinambia hapo zamani za kale alikuwepo binti mfalme, mrembo sana alipofika wakati wa kuolewa babaake alimfata kumuuliza unataka mume wa aina gani? akajibu amamtaka asiyekwenda haja kubwa, mfalme akapiga mbiu ya mgambo kuwa mwanawe keshakua anataka mume aolewe, ila mwanamme asiekwenda haja kubwa. walijitokeza vijana wengi na kila anaefanyiwa uchunguzi anakutwa na sehemu ya kutulea haja kubwa, baada ya muda mrefu wa kutafuta alitokea mvulana mmoja maridadi sana akaweka coin ya dhahabu ile sehemu ya haja kubwa, na alipofanyiwa uchunguzi akaonekana yuko fiti hana ile habari. Ikapigwa mbiu mume kapatikana sherehe ikawa baada ya fungate mwanamme akaaga anaenda safari ya siku tatu. kumbe yule jamaa ni jini, akaenda mbali sana ikatoa ile coin na kujisaidia burungutu la Kimba kumbe pale kuna dege anamuona alipomaliza haja yake akafukia akajifanyia ukarabati wake akarudi, ile anakaribia kuingia lango la mji anasikia ndege anaimba nyuma yake ALISEMA HANYI HATA TONE MBONA SASA BURUNGUTU BURUNGUTU AAH TWENDE UKWENI BURUNGUTU BURUNGUTU huku wanabiringisha ngoma ile,alijaribu kufukuza ila ndege walikazana ili kumuumbua na ikajulikana kuwa nae huwa anafanya hizo habari na kufukuzwa na kurudi kwao, Sasa Manka kuwa mwangalifu na vigezo vyako kwenye ndoa baadhi ya hayo si lazima dear tafuta mwanamme unaempenda nae anakupenda kwa dhati ili hata ukikuta madhaifu yafunikwe na upendo uyaweze yote kwa upendo ndio maana wanasema mapenzi ni kipofu wangu upo hapo?

    ReplyDelete
  62. Aise Bwashe, huyu sista etu anatuleti down kwakeli.sasa we Manka,unaleta mambo ya sifi mpka kwenye mapensi bana.hiyo haijakaa fisuu..haijaka fisuri kapisa.afu unaonekana mshamba sana aise.unatungusha hata sisi washaka wensio ati.watu tushasoea kupeleka hayo makaratasi kwa wahindi na wasungu ili kuomba kasi na wala sio kuja kuleta kwako ili tuwese kunanilii. hayo ndo matatiso ya washaga wa kule nanihii ambao sisi tunawaita wapelestina ati. Aise brasa Mishusi, hebu mwambie huyo kibiriti ngoma aache ujinga wake bwana, kama amekosa kasi ama ana wasiwasi wa kufukuswa kasi basi mpe contact zangu nitampeleka kule Rombo akakatie mbusi na ng'ombe afu mi nitamlipa ati.
    kiruu!
    ustake niandike hapa mpaka mikono iume ati!

    ReplyDelete
  63. Dear Manka,

    Nina nakila kila kitu hapa ila inabidi kufanya mazoezi kwanza nina beer belly fat! nipe kaweek hivi ili nikamalize au vipi!

    kaka michu hii kali, ulikuwa na masoud kukompose haka kaCV ka manka! machana mwema!

    ReplyDelete
  64. JAMANI MIMI SINA HAJA NA MWANAMKE MSOMI.WA NINI WAKATI MIMI SINA MPANGO WA KUFUNGUA TUITION centre NYUMBANI AMBAKO MWANAMKE MSOMI KILA SIKU ANAKUWA ANAKUFUNDISHA mwanaume!!!

    Wanawake wasomi kwa Tuition nyumbani hawajambo kila kitu anataka akufundishe mwanaume!

    Katafute foreigners mimi sikutaki.

    ReplyDelete
  65. Hehehehe du mwanamke mwenzetu hapa umezidisha!!!! yaani unataka mume awe vile unataka wewe utampata wapi?? sasa hii cv ndo inaniacha hoi mie, cv ya nini kwenye mapenzi?? are you sure unataka mume au business partner?????? coz ninavyojua mimi hakuna cv ya mapenzi,Ngoja nikushauri mwanamke mwenzangu toa hayo mambo ya cv, tafuta mtu mwenye akili timamu msafi na mwenye kuweza kutafuta pesa na labda asiwe on drugs, mi ndo naona vya maana, Otherwise utanichina mama. Gud luck

    ReplyDelete
  66. Ha ha ha ha!! Labda msagaji maana ndiyo fashion siku hizi.Lakini mimi na wasiwasi kwamba hili tangazo limetoka kwa mtu tu na si mwanamke mwenyekutaka kusikia watu wanachonga nini.

    Nikilichambua naona boot no.9 ina maana saizi ya maungo mengine ni si kiatu kama watu wanavyofikiria.

    Ila na wewe michuzi naona unapenda kuona legue za maneno ndiyo unaambatanisha vipeperushi vya ajabu,kwa maana kama ni mtu yuko serios na wa kweli kuna website za dating aende huko, kuna klabu za kushauriana na za kutafuta wachumba, vilevile kuna magazeti na T.V ambapo naye hata mtumaji wa maombi atamwona.

    Hivyo nashauri hivi vibwagizo vya michosho viepukwe jamani

    ReplyDelete
  67. Dada Manka, nadhani umesahau baadhi ya vitu. Nilitegemea pia kuona 1) kabati ya mbeho 2) redio ya picha 3) toyota stout kwa ajili ya majani ya ng'ombe. Miaka 28? Inawezekana hujachelewa...."KAZA BUTI" Mdau, Tokyo, Japan.

    ReplyDelete
  68. anyway toka lini wachaga wakajua mapenzi?wachaga mnahasara na wanawake zenu,vitandani kama magogo,hawatikisiki kama paris hilton(kama ulishamuona akifanya matusi)kwahiyo lazima anayekupata akumwage,nakushauri kabla haujampata nenda tanga kwa kozi fupi,japo mwezi mmoja unatosha,japokuwa miezi mitatu utapata ujuzi mwingi.

    ReplyDelete
  69. Dada Manka tupo wenye sifa hizo ...tuwekee kima cha chini kiasi gani kwa mwezi.....tutume cv...hadi ...utaogopa....siotani....

    ReplyDelete
  70. sifa zote ninazo kasoro kwenye vyeti.maana vyeti vyangu vyote vya kuunga uunga na super glue..sijui kama utavikubali.


    aaa aaaa..aaa masihara hayo manka..nakushauri nenda KISHUMUNDU huko wenye hizo sifa wapo kibaaaao

    ReplyDelete
  71. mdogo wangu manka you are a psychopathy. you need help. Ninakushauri ukaone daktari wa magonjwa ya akili kwani mtu mwenye akili zake timamu hawezi tafuta mwanaume kwa njia unayotumia wewe.

    ReplyDelete
  72. Nakutakia kila la heri katika mtihani wako huo.
    I have one question for you:

    What if there will be no chemistry between you and your ideal person? Nakushauri uwe una muomba Allah kwani atakusaidia.

    ReplyDelete
  73. hey MANKA! i am worried that you do not deserve such a kind of man!for a reasonable person who thinks rationally,having earned his bachelor degree from a reputable university will never waste his time to communicate with a person of your kind!
    anyway hard work u!you will get another lonely fool who you will fool around with, but not a deli gent guy!
    and if you think that you are fine, i would like to assure you that you are not fine!YOU wanna get some people's photocopy of their academic credentials to use them in one way or another!and possibly to forge your so called degree of engineering!! good luck expected celibate!

    ReplyDelete
  74. mimi naona wewe mwenyewe binafsi una matatizo fulani labda ambayo ndiyo yanakufanya ukose mwenza wako, ila tuu labda hutaki kuyaweka hadharani tukakushauri vema, maana kwa sifa ulizonazo japo umeziweka kwa kujisifia sana lkn by now ulitakiwa uwe mrs, someone..anyway mimi nakutakia kila la heri japo sifikiri kama unaweza ukapata mwenza wako hapa.
    Ni mimi mrs masikini with no degree but happy married.

    ReplyDelete
  75. MZEE MISUPU, NAOMBA MANKA AWEKE PICTURE YAKE BASI HAPO AISEE, MI NI MANGI NA NI ENGINEER KAMA MANKA, NINA ALL QUALIFICATIONS SHE WANTS, I AM WORRIED IF SHE WILL PASS MINE.I DONT HAVE THE LIST LIKE MANKA , I JUST TRUST MY HEART AND MY INSTINCTS.ILA TAFADHALI MICHUZI MMMBE, NAOMBA TUONE PICTURE YAKE IF SHE IS NOT A VIRTUAL "MANKA"

    LUSINDE MMBE.....

    ReplyDelete
  76. WEKA PICHA TENA THREE DIMENSIONS TUONE WEWE UNA NINI KWANZA WAKATI WADAU WANAHAKIKI ELIMU YAKO, AU SIO WADAU?

    ReplyDelete
  77. Mwanaume unayemtaka Bidada Manka, miye ninamjua, ni mtaratibu, havuti bangi, hanywi pombe, ana kazi nzuri, ana nyumba, ana gari, ana tubiashara twa kumuongezea kipato, ni mrefu kukuzidi wewe, sura anayo, IQ inakuzidi kwani naye ni Engineer. Yaani sijui hata nikwambieje sababu siwezi kukusaidia kwani huyo bwana, mwanaume mzuri wa shoka na mwenye sifa zote hizo ni mume wangu! Na huwezi kumpata kwa sababu hata mimi nilivyompata alikuwa wa kawaida tu tumeanza pamoja tukiwa vijana wadogo, tukasaidiana kujenga maisha from zero na kuhusu IQ hakuja na cheti ila ninawaona watoto wangu walivyo vipanga darasani kwani vyeti sio kipimo cha IQ, upo hapo.

    Hao wanaume wote waliotoa huo mchango wao hapo juu sifa hizo wanazo ila masharti yako ni kama kuwanyanyasa vile ndio maana wanakwambia hawana sifa hizo. Wao wanataka wanawake watakaowapenda kama walivyo, mambo mengine yote ya materials yanakuja baadae mnapoishi kwa amani na kushirikiana na kusaidiana. Wangekuwa IQ zao ndogo wasingekuwa wanablog humu na wasingekuwa huko waliko wanahangaika na maisha. Get a life huyo mwanaume unayemtaka wa hivyo hutampata labda uibe mume wa mtu na mwenyewe akikujua ndio utakuwa mwisho wako utajuta kuzaliwa!

    ReplyDelete
  78. Endelea kutafuta kwa kuchagua mama. Huku siku na miaka ikizidi kwenda mbele. Na mungu anazidi kuipamba dunia kwa kuongeza mabinti warembo kupindukia, wasiojua kuchagua wala kuwa na maringo yoyote yale. Ingali akizidi kupunguza idadi ya wanaume, vile wanaozaliwa ni wachache kulinganisha wa wanawake. Mpaka sasa hivi ratio imeshazidi wanawake kumi kwa mwanaume mmoja.

    ReplyDelete
  79. kwa style hii kuwa na second or first degree kwa baadhi ya watu ni ujinga usio na kiwango,maaana elimu yako aijakubadilisha na umezidi kuwa jinga, wewe utapata tu wapumbavu wenzako unaofanana nao akili kama wewe na mtakao kuwa na lengo la kupata phd,jinga sana wewe,hii site sio ya dating una ugonjwa wa akili hapa sio milembe na michuzi sio dr wa vichaa.
    Tunataka matukio yanayo husu jamii sasa kuwa mbinafsi kama wewe ndio maana utakuwa single for life,cv ni kazi gani hiyo unaomba??urais??gari muhimu??what??unakaa kwa wazazi??what??F..//.......%^&&%£$£"£$^&**())*^ OFF
    excuse me???????nenda uko kwenu rombo sijui kuna wachumba wengi tu utapata hapa ni watanzania na topic muhimu

    ReplyDelete
  80. Utapata shida sana coz utaolewa kwa CV ya mtu na si mapenzi ya kweli

    ReplyDelete
  81. Hivyo viatu ni hivi hivi tunavyovaaga miguuni,

    Au kuna vingine unavizungumzia,

    Maana wanaume hua tunavaaga vitau saizi za 10 na kuendelea,

    hiyo 9 labda unamaanishe viungo vya uzazi,

    kama ndivyo mi nina mguu saizi ya 12, punda cha mtoto

    ReplyDelete
  82. Host mjanja kweli unafanya market research sio good.

    ReplyDelete
  83. LOL at anon march 10th 08 12:03

    mh jamani dada wa watu alivyoshambuliwa hahaha kazi ipo wabongo hatuna dogo kweli mi nam support dada manka kweli manake siku hizi lazima watu tuangalie cv za mapenzi hahhaha dada manka hope u find a gud hubby bt no one is that perfect hivyo thats one thing i can assure u wewe omba Mungu upate a good guy then what u can do is shape him hivyo vitu vingine vitafuata badaye obviosly shule ni muhimu anyws goodluck with ya search gal na usisikilize maneno ya watu humu wengine roho zao za korosho.lol
    madau uk

    ReplyDelete
  84. kama kweli unataka mtu weka picha yako tukuone na then tukujibu na sio kuuza mbuzi kwenye gunia.Maana sura yako na remmy ongala inakuwa hakuna tofauti sasa nani atakutaka??watoto wa kichaga walivyo warembo sidhani ungekuwa single wewe ni mbaya kufa mtu na ndio maana utaki kuweka picha yako sura mbaya kama una jisa....??/!W"$%$%&*90*))__*&*67 chooni

    ReplyDelete
  85. ah ahh a haa ha hah h aha
    dah mi blog hii huwa nasoma waosha vinywa duh,kiswahili bonge la lugha ha ha ah ah,wadau mmechangia vizuri.

    ReplyDelete
  86. Dada Watu wote wangekuwa kama wewe Asingeolewa mtu.. na ukimpata jiandae kupukutuliwa Kila kitu.. Anon wa Monday, March 10, 2008 10:53:00 AM EAT, Kasema Kweli.. CV kwenye Mapenzi.. Unaajiri au unatafuta Mchumba????
    mmh.. hali hiyo tu unataka Wa kuwa anakutimiza haja zako za kimwili unatoa masharti namna hiyo.. je Ukiwa na kampuni yako unataka waajiriwa>?? Si utataka mwenye CV kama Ya kaka Mashaka aliyetoka siku kadhaa kwenye blog Yetu ya Jamii??
    Mmmmh Pole sana na nakuhurumia kuwa hujaijua dunia mpaka leo na kusoma Kwako INtnl Skul.. Oslo Sijui na Wapi.. Ukweli Ni kwamba hutoolewa kwani kabla hata Ya Kupata huyo mtu tayari Unauliyoweka kichwani??? mama Watu Tumejaa Kibao.. lakini kwa Sort of women like you bora niendelee Kupiga (JHDGY(£"*"&$00) >. we kalaghabaho.. na ubozi wako...

    MMh Hii Kali.. Sasa ALICIA KEYS ASEMEJE ikiwa wewe na kajikazi kako ka kusafiri nje ya nchi na gari la kutembelea plus masters unataka mwanaume wa namna hiyo...
    USAURI WA BURE.. MTAFUTE MCHORAJI MZURI AKUCHOREE PICHA YA HUYO MWANAUME UNAYEMTAKA HALAF BANDIKA KITANGANI AU CHUMBANI KWAKO>> UONE KAMA ATASHUKA KUTOKA KWENYE HIYO PICHA AJE KUKUNANIHII NA UWE NA FURAHA MOYONI....NYOOO DADA HUNA HAYA WEYE>>
    UTAKUWA SINGLE MILELE.. AU UTAISHIA KUWA NUNGAEMBE...

    Ol the bes.. ONE.

    ReplyDelete
  87. He he kumbe katika wanaume wenye vigezo basi nami ni one of them, my wife is a very lucky woman. Maana kati ya hivyo nina karibia vyote. Mke wangu ukiona hii post ujue kuwa una mume wa viwango vya juu sana hata mimi namshukuru Mungu kwa kunijalia mke bora.

    Mtani wa jadi

    ReplyDelete
  88. Haaa ahaa manka binti Mushi sifa moja tu ndio si dada yangu wewe ni mkristooo mwana wa yuda otherwise ningechukua.
    watu wengi waliotoa maoni vitu sivyo wameona sifa hawana wameishia kuuwa .sifa ulizo zitaka wabongo wengi hawana mama na ata kama wanazo wakunakuwa wana wanawake wao watakutia then wanakumbia.So wewe engelea kutombokaa ile ya kikongo ile yenyewe ya kiparis.K yenyewe 28 ....ishakomaa hiyo

    ReplyDelete
  89. wewe Manka una matatizo ya akili. unahitaji msaada wa mtaalamu wa akili. natoa ushauri huu nikimaanisha kuwa hujijui. kamwone mtaalamu atakusaidia. kama haya uliyoyaandika ni kweli na hutaki kwenda kwa mtaalamu utajuta baadaye.

    ReplyDelete
  90. Hihihi Ebana Watu Kandia!!! Du Sasa Mbona Mmechukua e mai Yake Ya nini Sasa? Yaani Hapo Dada Ungewamaliza Ungeweka Na Pic Yako Weeee

    ReplyDelete
  91. Tafadhali nitumie picha at wsnipes69@yahoo.com mimi nina qualifications zote..!! Ila lazima nikuone dada...japokuwa una-complicate sana uchumba ila nitajibana hivyo hivyo..he he he..!!

    ReplyDelete
  92. WATOTO WA MAFISADI BWANA....
    HAYA ALL THE BEST.

    BIg Up ANon Wa Monday, March 10, 2008 11:31:00 AM EAT na Anon wa Monday, March 10, 2008 11:48:00 AM EAT, ndio kanivunja mbavu kabisaaa...

    1.Safari Hazikuishi
    2.Uchaguzi wa mchumba kwa CV
    3.Usomi ulionao (if correct)
    4.Umri wako..nk..
    ANDIKA MAUMIVU.
    HAKUNAMWANAUME MWENYE BUSARA ATAKUOA..
    HAlaf hivi tuwekane sawa jamani.. Kwani Mwenye kutafuta mchumba wa kuoa ni mwanaume au mwanamke.. vipi we unaweka masharti kama we Ndio Mwanaume..
    Sasa ushauri wa Bire tu Dada Manka.. ukija ulaya tena pita kwenye Adult shop nunua DILDO umalize kazi..

    ReplyDelete
  93. We Anon hapo juu. Sasa wewe unapima ubora wa mwanaume kwa kufuata vigezo vya Manka? We kweli unatembelewa!! Halafu inaonyesha hata huyo mkeo watu wanakusaidia. Halafu we Manka unapanguswa nini???!! Haya we subiriiii mpaka ileee Mipaka Njia ijitokeze. Kwa ufupi humpati mtoto yeyeote wa mjini. Sasa nimepata jibu kwa nini Maduu wengi mwishowake huishi kuolewa na Mipaka Njia.. !!!

    ReplyDelete
  94. Hivi wewe Manka , who do you think you are....DAMN..&&&'''$$$4, eti awe hivi au vile , una makuu sana mwanamke wewe, ndio maana hutakaa upate mume , na hutakaa upate furaha katika maisha yako , nenda UNYAGONI UKAFUNDWE KWANZA, Nyoooooo ,Mchaga uliyefirisika wewe Mburahhhhhhhh kichefuchefu

    unafikiri wanaume wanadondoka tu,jifunze kuwa mnyenyekevu dada wewe ,lakini ukiendelea na mtaji huu utaendelea kushangaaaaa kumbuka umri unaenda huo...





    MDAU UK

    ReplyDelete
  95. huyu dada ni chizi wa mawazo,duh wala siamini
    huyu atakuwa anataka kumtoa mtu kafala,hana lolote kweli manka bado kabisa na hutampata mtu n,goo kamwambie mganga wako watu wamesitukia deal,na utazeeka bila kuolewa umri huo mama hahahaha,natafuta mchumba ila wewe ni chizi. kbisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!

    ReplyDelete
  96. Guys let us not be harsh with this girl. I think what she demands out of a man are surreal but again, we live in a dynamic world where women have learn to speak out. This is part of her unalienable rights; life, liberty and persuit of happiness. I do commend her for openness and a sense of direction, though the criteria are so rare to find and the aproach is unorthodox.

    ReplyDelete
  97. alikudanganya kuwa size ya buti ndiyo saizi ya shughuli kakuweza, fanya reserch...

    ReplyDelete
  98. Jamani tuko karne ya 21. Manka amesubiri mchumba kwa njia za kawaida hajafanikiwa kuna ubaya gani wa kutumia technology kutafuta mchumba? Tena sifa alizoziweka wala sio kali sana ni zi kawaida kabisa ambazo wanaume wengi wa Kitanzania wanaweza kabisa kuzifikia. Manka kila la heri, nadhani utafanikiwa kama ukifanikiwa tujulishe kupitia hii blog yetu. Nimeshaona Watanzani wengi nchi za nje ambao bado wanapenda kuoa ama kuolewa na Watanzania wenzao bila kujali dini au kabila wakifanya kama ulivyofanya wewe. Hao wanaokukatisha tamaa wala usiwajali.

    ReplyDelete
  99. Jamani me mpaka nime sweat kabisa! Hivi mapenzi yana mambo ya CV? Basi me nimeachwa nyuma sana.
    I am educated and i am dating my 'non educated' boyfriend for 4 years now! We are happy and we really love each other! Hajui kiingereza kizuri ila anapenda kujifunza! Akibofoa namrekebisha na kumfundisha and teh good thing is he is a quick learner! Na ontop of all that HE IS SOOOOO SWEEEET asikwambie mtu na hayo mavyeti!

    ReplyDelete
  100. you go girl...That is what I am talking about...

    na mimi naput resume yangu soon...mimi nipo USA lakini natafuta mmbongo pia.

    Kaka zangu huku wenye sifa ninazotafuta wengi wamekimbia snow...very hard to find mwanaume single USA ambaye amemaliza at least degree...

    Thanks Michuzi na manka umetufungulia njia...Good luck in your searching

    ReplyDelete
  101. SIFA ZOTE ULIZOTAJA MANKA MIMI NIMEZIPITA.BUT I SMOKE HASHISHI.HALAFU WAMACHAME MNA MATATIZO SANA HASA HAO WAKINA MANKA HUWA HAWACHELEWI KUWAWEKEA WAIME ZAO SUMU.SORRY CALL AGAIN LATER


    WENGER

    ReplyDelete
  102. Kwenda zenu pumbafu wote mnaomkandia huyu ..Wote mnaomkandia hamna hata qualification moja hapo ndio maana roho zinawauma...

    Umefika muda wa wanawake nao kuchagua mtu wa kuishi naye sio wanaume tu kuchagua...Well kama std zenu ni msichana mzuri tu ...halafu mambo mengine ni zero basi mjue Generation ya leo ni nyingine...msiosoma mtaachwa wote mkaoe wale wasio na hili wala lile just goal keepers... Kama hupendi waachie wengine watapata

    Manka unahitaji mtu anayeishi bongo tu....??? Na mtanzania tu???Mimi nina kaka zangu wawili nawatafutia wachumba sitaki kabisa waoe wamarekani

    Kaka yangu yupo USA ila urefu wake hapo pana tatizo kidogo. No children na ana degree na good job...Ila alioa kwa makaratasi na kesha divource....

    wa pili urefu kapass your test, no children, masters degree, kazi nzuri ila ni wa muafrica lakini sio mtanzania.

    email me for more info at CharlloteB@inbox.com

    ReplyDelete
  103. dah dada yangu manka hapo umenena,kwanza kabisa naitwa albert mushi,na vigezo vyote ninavyo sema tu natimiza miaka 36 ijumaa tu,sasa sijui utanifikiriaje kwa hilo!

    ReplyDelete
  104. UNAMATATIZO DADA, NGOJA UPATE MPEMBA AKUZALISHE WATOTO 10, utatulia, MTU HATA AKIJUWA KIENGEREZA JE NDUGU NA JAMAA WAKIJIJINI WATU WAKE WAKIWA HAWAJUI ITAKUWAJE? NDIO NYIE MNAANZA KUKIMBIA WENYEWE BILA KUKIMBIZWA. MRUDIE MUNGU WAKO ELIMU BORA ILA ELIMU YA AKHERA BORA ZAIDI NA MAPENZI YA KWELI. USWAZI OYEEEEEEEE KISWAHILI OYEEEEEE BABA WA TAIFA UNGEKUWEPOOOOOOOOO.

    ReplyDelete
  105. Wasukutua vinywa endeleeni kumuosha akome.

    ReplyDelete
  106. wanaomshambulia huyu dad wote mnaelekea mko bongo ..mbona mambo ya kawaida sana huku tunakoishi....?

    ReplyDelete
  107. Pole (Sister) kwa hayo majibu uliyopata.Good luck

    ReplyDelete
  108. Michuzi au weye ndio umewekasifa zako?inawezkana weye ndio natafta mwaamke wa namna hiyo akulee?,,,,,,,,,,,ongeza spidi utampata tu wapo wengi kinoma maeneo ya b.o.t kila la kheri.

    ReplyDelete
  109. Michu.. au ni wewe ndio untafta msichana wa namna hiyo?....maana hali ya maisha ni ngumu inawezekana waitaji...sema tukusaidie au kama vipi weye jilengeshe maeneo ya B.O.T utang`oa mtu wangu........... na kama huyo ni bint basi asipate tabu kwani kuna jamaa hapo B.O.T yupo fiti kinoma kwa kila kitu na gari pia atakupa tena JEKUNDU kuliko kupata tabu,weye jifanye kama husikii ya mjini jimuvuzishe kwake.

    ReplyDelete
  110. Ha ha ha, wachaga hawa bwana, picha hatoi, Si unajuwa miguu yao ovyo, Mineno flani hivi ndo kawaida, man mwenye sifa hizo ashoboki na wanawake hasa wakichaga.

    ReplyDelete
  111. KUCHAMBA KWINGI..... UTAISHIA KUSHIKA MAVI.

    ReplyDelete
  112. KUCHAMBA KWINGI..... UTAISHIA KUSHIKA MAVI.

    ReplyDelete
  113. hizo ni sifa za nje, sifa za ndani je?... Ucheshi, Ubahili, Nongwa, Gubu, Wivu kupita kupindikia, Uzinifu, zote ni sifa za ndani either nzuri au mbaya... lakini kubwa kuliko yote je Manka mwenyewe u mzuri hivyo? au lijimwili kama kabati, miguu kama unatembelea mikono na sura kama baba yako?!

    ReplyDelete
  114. Hizi si sifa ngumu sana, ni watu wa kawaida hawa wenye umaana, huwa hawakosi vitu kama hivi, sidhani kama amezidisha sana. Tatizo tu ninaloliona hapa ni kuwa lugha iliyotumika inaashirikia kuwa huyu ni mwanaume, kuna saikolojia ya mawasiliano ambayo hutofautisha jinsi mwanamke anavyoona mambo na kuyaeleza, jinsi anavyoingiza hisia zake, nk. tofauti na mwanaume. This is a man, na upo uwezekano kwamba hata elimu yake ni ya kibabaishaji, he is an average person trying to learn something or even wasting our time hoping that he will learn something. Some of them also don't need to be put in that way, kwa mfano saizi ya kiatu siyo hoja, kwa kuwa watu siku hizi wanavaa viatu vikubwa kichizi, ila namba ya kiatu ina uhusiano na kiungo kingine mwilini, labda hilo...! Ehe, kwa heri!

    ReplyDelete
  115. Sheeeeeeeeeeeeeeee! Mishusi we ukiona watu imetulia unashokosa usikie hiyo waosha finywa. haya sasa umesikia watu na maoni sao.

    kama ni hifi Mollel isingeoa mahakama, a sorry hakimu

    ReplyDelete
  116. My dear, bora upate mtu anayekupenda (Mnapendana). Unaweza ukapata kijamaa kina sifa zoote hizo lakini kikaundesha mpaka uchanganyikiwe. Na mbaya zaidi kama ukimzimia. looh, nakuonea huruma kama u-wa kweli.
    Lakini nikiangalia hizo sifa zoote, mhh...mwanaume wa kawaida..labda GAY unaweza kumpata. Sio rahisi kupata mwanaume mwenye sifa zote unazotaka, lazima u-sacrifice sifa nyingine.
    Lakini najua this is a joke, I have never ever come across anything like this. Peace out!!!!!

    ReplyDelete
  117. Mimi baada ya kusoma habari ndefu ya ombi la uchumba nikajua wanaume wa kitanzania walivyo na tamaa kwenye hii blog watatuma majibu haraka sana.Nani lipoona 40 comments nikajua dada
    Manka kaopoa mchumba,kumbe matusi ndio yaliyo poromoshwa.Si kuonei huruma Manka,inaonyesha huna utu unapenda kitu.Chukua mashauri uliyopewa ya kuchora huyo mtarajiwa au kachonge porini.You must be living in another planet(alien),it's time to come down to earth if you are serious about marriage.

    ReplyDelete
  118. Wabongo mna issue. Mimi sioni tatizo la mtu kueleza what she is looking for. Mmekasirika nini, kwa kuwa amewaambia muwe na digrii? Mimi enzi zangu nilikuwa na qualify na sielewi kwanini waswahili mmekasirika kabisa juu ya hili swala mpaka mnamtumia dada wa watu matusi. Manka eeh!! As far as I am concerned, you have the right to require what you want and nothing less.. Tena hakikisha unawapima ngoma mara mbili hawa wazushi...

    Mdau - Boston, US

    ReplyDelete
  119. Manka maadam we ndio unatafuta mchumba, weka picha yako watu waone kwanza kama unalipa ndio wajitokeze; baada ya hapo utaweza chagua anayekufaa. Sio unaanza kutuwekea vigezo lukuki watu tutie timu wakati mlipo hakuna kabisa.

    Kwa "Mdau Majuu (Monday, March 10, 2008 11:16:00 AM EAT), inawezekana kusoma Master's 1 kwa 1, sio lazima usome degree ya 1. Mfano Ujerumani ukisoma Diplom yao kwa miaka mi5 inatambulika kama equivalence ya Master's. Urusi na nchi nyingi zzilizokuwa za kisoshalisti kama Czechslovakia, Hungary, etc. zilikuwa zina mfumo huo pia wa kusoma miaka mi5 then unapata master's (often called magister). Hadi Uingereza kunakotambulika kama kigezo cha kupimia ubora wa elimu nao siku hizi wameanza mtindo wa kusoma miaka mi4 au mi5 unapata master's katika baadhi ya vyuo na some specific fields.

    Vilevile inawezekana kutokea bachelor's ukaunganisha PhD studies (kama vile US, UK, Australia, etc). Hivyo usikariri kuwa kupata M.Eng bila B.Eng/BSc. basi mtu kadanganya

    ReplyDelete
  120. hiyo inaitwa to much mtv......

    ReplyDelete
  121. Dada Manka sifa zote ninazo kasoro namba 12 niliwahi kutumia moshi katika harajati za ujana.... kabla sijatuma cv naomba nione sura yako kama inaendana na unavyovitaka

    ReplyDelete
  122. Manka, have you actually asked yourself - Have I got what it takes to be someones wife? Getting married is not a problem, utapata CV kibao. But it is STAYING MARRIED that is the challenge. Do you really think that a CV will keep you married? Wakeup and smell the coffee girl.....!!!!
    At the rate you are going you will be kissing lots of frogs before you find a prince. Once you do find a frog you won't be able to keep them just like the one you thought mtazamo ulikuwa mbali mbali..... let nature take it corse, maybe marrige is not for you or you need to change something or even expectations.
    Before you know it utajikuta maziwa unachomekea, mashavu yameshuka, umepitia CV kibao na bado uko single......

    ReplyDelete
  123. Dada Manka Solomon Mushi,
    Haya Masharti yatakufanya uwe "Nungayembe" Milele.
    Ninakutakia kila la heri.

    ReplyDelete
  124. naomba tuwasiliane kupitia no hii,mimi nina vigezo vyote.mimi nipo naishi ujerumani.
    +4915223475182.nimekupenda kabla sijakuona.am very luck!

    ReplyDelete
  125. pole sana mdogo wangu Manka. We bado unao ule uchaga wa kuchagua wanaume? Wanaume siku hizi wachache sana. Hata ukiwa naye inabidi umbembeleze asije kutoroka. Hivyo ulivyo tu una masharti namna hiyo hujampata. Je ukimpata utaweza kumbembeleza kweli ili mdumu katika penzi? Raha ya penzi kubembelezana babu! Nenda Tanga ukajifunze thamani ya mwanaume, vinginevyo hata ukimpata atakutoroka kama huyo mwenzake. Pole sana dada. Mapenzi shurti kwa kubembelezana na sio kwa CV. Unawajua wabongo dada au huwajui? Atakudanganya mmoja uone anasifa zote halafu utajashangaa na roho yako. Halafu unatuaibisha wachaga wenzako!!

    ReplyDelete
  126. I do believe on her,but why don't you post your photo so people can I have a look at you.This will makes easy for either side. Hopefully yor will find some.
    Goodluck

    ReplyDelete
  127. Wow... somebody has been watching movies and soap operas too much.

    Nenda Hollywood Marekani utawaona wanaume uliowazoea kwenye movie. Na ukifanikiwa kumnasa japo moja jiandae kwa ndo ya short-term (ikidumu sana miezi sita).

    Au kwa kuwa wewe ni "ACHITECT & BUILDER" unaonaje ukidesign na kujenga huyo mwanaume wa kwenye ndoto zako. Hapo utakuwa umetumia taaluma yako vema

    ReplyDelete
  128. Manka pitia hii ..... huwa inazunguka zunguka sana kwenye e-mail zetu.
    ----------

    Men, we salute you, and thank you

    Words written by an observant woman

    - Good men are indeed all around us. We pass them on the streets, in the malls and the halls at work. Most we can't see because we don't know what a good man really looks like.

    - He usually isn't flashy enough or rich enough to turn our heads. He might not wear a suit or push a BMW. He might not have a "body like Arnold with a Denzel face. "But, as you mature, you realize it's better to find someone who's got your back than someone who turns your head.

    - A good man doesn't agree whole heartedly with everything you say. He doesn't just tell you what you want to hear and do the opposite. He doesn't declare how sensitive, sweet, caring, sincere, yada yada he is (he wont have to because it shows).

    - He has his own opinions and you may clash, but he doesn't have to degrade you to prove he's right. He even admits at times to being wrong, regardless of you are willing to do the same.

    - A good man is not going to meet every item on your checklist. He is human with frailties and faults mixed in with all of his wonderful, strong attributes. He needs your love and respect. He needs to feel that you don't live to "catch" him doing something wrong so you can declare, "Aha! I knew you were a dog!!"

    - A good man doesn't necessarily give you a huge birthday or Valentine's gift. He shows his love in the ways that are comfortable to him. Don't judge him by TV standards(...Bold and the Beautiful,Young and the Restless (wonder why they are restless)...). No one lives that fairy tale for real.

    - You'll miss out on your own fairy tale by buying into the myth that our men are no good. It's just not true. Men, we salute you, and thank you for who you are and all you've done.

    ** Pass this along to the "Good Men" you know and women that need to read it. **

    ReplyDelete
  129. Bahati mbaya sijatimiza vigezo, nina sifa zote kasoro moja. Licha ya kutokuwa na sifa kuna suala la mazoea ya mambo yanavyofanyika katika mazingira ya nchi yetu. Mnakutana dukani, kwa jirani, kwenye sherehe ya rafiki nk, mnazoeana mambo yanaendelea mpaka kufikia yatakapofikia.
    Ningependa kukushauri ujichanganye zaidi katika maeneo mbalimbali ili kupanua wigo wa watu unaokutana nao na kufahamiana nao. Jiandikishe UDSM, IFM au moja ya vyuo vya elimu ya juu bongo kutafuta japo stashahada, fahamiana na marafiki wa marafiki zako, na marafiki zao nk. Kwa mujibu wa kanuni za kitakwimu kwa kupanua wigo wa watu unaofahamiana nao bila shaka utajiongezea yamkini ya kukutana na mwenza wako mtakayependezana. Kadhalika punguza wingi wa vigezo, "nobody is perfect" (and I am Nobody). La mwisho katika suala la mapenzi kumbuka mtu mkipendana mtakuwa mnashindana kupeana na sio kuhesabiana mmepeana nini. Ukimpa zawadi ya redio siku ya birthday yake basi kesho yake ajisikie tu hamu ya kukupa plasma TV-au kanga ya India kama uwezo wake unaishia hapo. Sio kwa vile nilikupa redio jana basi wewe ulitakiwa leo unipe japo redio.
    Kila la heri na jitihada zako. Vitu vizuri havitaki haraka.
    BTW, wasichana wote ambao hawajaolewa wamewahi kuwa na mpenzi mmoja.

    ReplyDelete
  130. AKINA NSHOMIRE WAPO WAMEJAA KICHIZI, PITIA ANGA ZAO. ILA SWALA LA KUPIMA UKIMWI LITAWAANGUSHA, LAKINI KUKAZANA UNAWEZA? HUJAZUNGUMZIA HILI SWALA KWA KINA. MIMI NINA KAKA YANGU ANAITWA BONIFASI, ANA SIFA ZOTE HIZO, LAKINI ANATAKA MWANAMKE ANAYEJUA KUYARUDI MAGOMA YA SITA KWA SITA, NA HAUZIWI MBUZI KWA GUNIA, MAMBO YA KIFO CHA MENDE NI NO NO, MAANA NYIE WACHAGA MNAPENDA SANA KUKAA MKAO WA KUSOMA GAZETI

    ReplyDelete
  131. Njoo kwangu,

    Mimi ni msukuma, nina Ph.D mbili, moja ya Physics niliipata hapo Dar na nyingine ya engineering niliipata MIT. Umri wangu sasa ni miaka 34, na ni professor wa Electrical Engineering katika chuo kimoja cha kifahari hapa Marekani na nina kampuni yangu binafsi ya kihandisi inayoshughulika na IT Systems. Nina pesa kama takataka ila niko bize sana kiasi kuwa huwa sipati nafasi ya kutafuta mademu. Nina nyumba moja ninayotumia hapa Seattle, vile vile nina nyumba hapo Dar maeneo ya tangi bovu, na nyumba nyingine iko huko Mwanza pale kapri-point inatazamana na ziwa.

    Kwa sasa nina magari mawili tu, pickup truck aina ya Toyota Tundra, na SUV ya Nissan Murano; nikitaka ninaweza kubadilisha magari kama nguo ila naona huo utakuwa ulimbukeni tu. Vile vile nina boti moja na snowmobile moja.

    Ukitaka taarifa zaidi, tuwasiliane. Tatizo langu mimi ni kuwa namtaka demu mpole ambaye atatulia nyumbani wakati mimi niko mihangaikoni. Sitaki demu mwenye masharti. Kama na wewe huna masharti lakini unataka kuwa mhangaikaji, basi ni lazima ukubali kuwa na limit ili tuelewane sawasawa. Uwe tayari kuzaa watoto wasiopungua sita ili fedha zangu ziweze kuwa na watumiaji ipasavyo.

    ReplyDelete
  132. Dada pole sana, inaonyesha upo so much desperate. Mi kwa kukusaidia tu naweza kukupatia vidildo vya kila aina na size utakayo. Kwa gia hiyo sikufichi hutapata hata mbwa koko, we kwanza toka lini ukaona mapenzi yanapimwa kwa vigezo vya education au wealth? Nakuombea ubarikiwe katika jina la shetwani. Hujamkamata kidume yeyeto kwa hivyo vigezo vyako mbuzi. Isitoshe, mchagua msosi huyo hana njaa. Pole.

    Papadakis

    ReplyDelete
  133. Nasema wasukutua vinywa muosheni....

    Huyu nungayembe ni fundi bomba pia sasa spana imekatika. Akili mukichwa...

    ReplyDelete
  134. chibiriti anakufaa

    ReplyDelete
  135. wachaga wengine ninaowajua wana wivu wabaya, wachaga punguzeni wivu na majungu.

    ReplyDelete
  136. mfalme solomon aliulizwa anahitaji nini toka kwa mola,akajibu one wish 'busara,mola kampatia busara plus utajiri na vyote vilivyoweza kujaza moyo wake furaha,mafanikio etc..the wise you are the more blessings you get,
    manka, mume au mke mwema hutoka kwa mola
    ..be careful what you wish/ask or i should say LOOK for..rtp au ndoa is not a toy.

    ReplyDelete
  137. dada manka.nafikiri kichwa chako kibovu na kina kichaa, na unahitaji msaada wa doctor,lakini naomba nikupe ushauri huyo doctor atakae kutibu awe na kichaa kama wewe.

    ReplyDelete
  138. wanawake wa kichaga wengine wana roho kama za korosho, na wivu ndio jadi yao wachaga muwe mnaendelea, hamtafika popote na tabia zenu za wivu, na muache umbea wachaga.

    ReplyDelete
  139. Well pamoja na kuwa na vigezo ila siko interested, ungekuwa kama Alicia Keys sawa ila inaelekea hauna conf..na muongo already maana umetoka IST.. ukapata masters how?undergra...vipi?
    Ila nakushauri kwa vile umesema una hela na una trips, kuna jamaa mtaalamu anatengezeza dolls kule West Coast California kwa vigezo vyote unavyotaka sijui size 9, nini kila kitu alafu watu kam sisi tunainstall software ambayo dada unainteract nayo live hicho kiingereza unachotaka ila mi niko London sasa kama kweli uko ser..utapata unachotaka otherwise change topic.
    Mmeform kitu kizuri kufanya research yenu ila mmefanya wajanja tushtuke kwamba hii imetengenezwa na haipo yaani is not real!
    Londoner

    ReplyDelete
  140. ...SHIMBONYI SHAFO ..MANKA..KWELI DADA UNAONYESHA JINSI GANI UNAHITAJI MSAADA....KUMBUKA KWAMBA "..BARABARA MUREFU HAIKOSIKONA.."..NA MWANAMKE MZURI HAKOSI ........"..DAHM$#@%&^

    ReplyDelete
  141. Hili Tangazo litakuwa ni 'usanii' ama linathibitisha huyu dada akili yake haina akili.

    How do u expect a man with all these attributes to be available na anakusubiri wewe.

    Kama atatokea mtu mwenye hizi sifa na hana mtoto wala hajawahi kuoa ni lazima basi atakuwa choko.

    ReplyDelete
  142. Michuzi huyu dada nampa pole alafu amrudie Mungu wake kwani mme mzuri hapatikani kwa njia hii

    ReplyDelete
  143. Sikutusi wala sikukandii bali ni KILA LA KHERI DADA MANKA.

    ReplyDelete
  144. Misupu nimetuma CV zangu vyeti vyangu na picha zinazoonyesha mwili mzima na passport size. Sasa mbona sijibiwi?

    ReplyDelete
  145. Huyu ni kati ya wale ndege wasiolika!

    ReplyDelete
  146. Duh Kweli watu noma. Mbona mnamshambulia Manka jamani? Hii kitu watu walivyoichangamkia sijawahi kuona. Ingekuwa na issue za maana mlikuwa mnatoa koment kama hili nadhani ingesaidia sana.


    Manka mimi ninasifa zote ulizosema tuwekee basi picha yako hapa nasi tukufanyie uchambuzi yakinifu?

    ReplyDelete
  147. Huy demu ni regiment na ni muzuri angalia kwenye website ya globalpublisherstz/2007/09/19/mkandamizaji Manka Mushi Nitafute wote2000 at yahoo- Cheers

    ReplyDelete
  148. Mchaga mchaga tuu unawaza pesa hata kwenye mapenzi utaula wa chuya kwa uvivu wa kuchambua. Kwenye wanaume 2 kuna wanawake 15 sasa wewe subiri mpaka yesu aje. Alafu wewe kama nakujua umebadili jina kutoka Manka Nkya kwenda Manka Solomon.

    ReplyDelete
  149. KAKA MICHUZI NAOMBA UPOST HII COMMENT KWA WALE WALIO FUZU HIZO CV....!
    TENA NIMESAHAU KAKA MICHUZI KATIKA CV NINAZO HITAJI YA MWISHO HUYO KAKA ATAKAYETIMIZA MASHARTI YOTE NI LAZIMA AWE NA MPINI WA UHAKIKA WALAU FUTI SITA NA CIRCUMFALANCE 5'' LAZIMA ASIWE NA NYASI ZA KIPILIPILI NA NGUMU KWENYE KUMI NA NANE ILI MPINI UONEKANE VIZURI FIRST TIME ALL TIME.....

    ReplyDelete
  150. katika hali hii ule wimbo wa ngoni tribe unaapply "Wanawake wazuri wazuri wanaolewa.... yanabaki manung'ayembe yanahangaika"x2

    ReplyDelete
  151. pole manka,wala usikate tamaa wabongo kwa vijembe ndo zao ila nenda kwenye maombezi muombe Mungu utapata vigezo utakavyo,believe me it works.

    ReplyDelete
  152. Duuh Hii kali walahi embu niprint nikasome then nitarudi kuja kuchangia.

    Me ni mwanamke mwenye cfa kama hizo za huyo mwanaume ninakila kitu sasa unakubali nikusageeee weeee then mambo mengine tutaendelea nayo

    Ninawasi wasi na sura yako walahi kwani wewe sura yako ikoje na jee unaumbo kama chupa ya uhai ile ya mia tano?
    Embu mie

    ReplyDelete
  153. Manka, jipime kwanza IQ yako

    ReplyDelete
  154. MANKA UNA NGOMA HAKI YA NANI UNATAFUTA MTU WA KUKUNUNULIA DAWA MASKINI HUYO JAMAA MLIOACHANA TAYARI KANASA NA NYIE WATOTO WA KICHAGA KWA UBUNIFU? HUTAPATA MTU HAPA ANGALIA COMENTI ZOTE ZAIDI YA MIA MOJA ALOBAINI NA TANO ZIMESHITUKA? LAZIMA DADA MANKA UNA NGOMA, SIKUJUI VIZURI LAKINI HATA BILA MASHARTI NINGESHITUKA NA HIYO NGOMA INAYOKUSUMBUA HOMA ZA MARA KWA MARA KUHALISHA NA KUTOKWA NA JASHO WAKATI WA USIKU NA BILA KUSAHAU MAPUNYE/MAUPELE NA KUSHUKA KWA UZITO POLE SANA MANKA LAKINI HAYO YOTE MUACHIE MUNGU TENA AKULAZE PEMA PEPONI AMINA.....!

    ReplyDelete
  155. NAUNGANA NA ANONY WA 2.35 AM:
    CHIBIRITI,NGOMA YAKO KABISA HIYO. CHANGAMKA!!

    ReplyDelete
  156. Mimi nimepass sifa mbili Muhimu tu.
    1) Kiatu (Mpini wa nguvu)
    2) Ni mwembamba


    Nimefeli zote zilizobaki. Nina watoto, Navuta nanihii (kwa nadra), Nilisoma hadi nimesahau nilipoishia. sasa nitume picha yangu nikiwa uchi? Nakubali kupima Ukimwi.

    ReplyDelete
  157. Manka nimekuadd kwenye yahoo messenger yangu naomba tuchat ili tufahamiane

    ReplyDelete
  158. Mimi nina sifa zote anazotaka huyo mdada ila shida yangu ni mteja wa kisamvu cha kopo, je dada manka uko tayari kunipa? au ndio mzoefu , wachaga siku hizi ndio wanaongoza kwa kisamvu hehehehe!

    ReplyDelete
  159. Manka hata kwa bure sikutaki maana naamini huna mapenzi ya dhati sifa zote kidume nazo cha kukushauri njoo london kwenye upungufu wa wanawake na utele wa wanaume unaweza ukabahatisha

    ReplyDelete
  160. Sasa Manka dada yangu,

    tukubaliane kitu kimoja kwanza,

    mi nina kaka mwenye sifa zaidi ya hizo, ananisikiliza sana na kanipa kazi ya kutafutia mchumba,

    lakin tatizo napenda sana kuwasaga wanawake wenzangu,

    Kama uko tayari, nikupe contact zangu, uje nikujaribu kwanza kama unayaweza ndio nimpelekee kaka yangu,

    isije ikawa nampelekea mbuzi kwenye gunia akaja kunilaumu,

    UKO TAYARII??.

    Naomba Kutoa hoja,

    MJ-Pw

    ReplyDelete
  161. Michuzi ,

    Sijacheka siku nyingi tafadhali naomba umtafute bro Chilibati .

    ReplyDelete
  162. :( MICHUZI VIPI LENGO LA BLOG LIMEGEUKA?

    TAFADHALI SANA KUNA WATOTO WANATEMBELEA HUKU!

    ReplyDelete
  163. MADA NZURI SANA HII.WEWE UNAYESEMA WATOTO NADHANI INADIBI ZAIDI WAZINGATIE MASOMO ZAIDI KULIKO KWENYE BLOGS IF IAM NOT WRONG

    ReplyDelete
  164. Broo Michu kwanza nakupa pongezi kwa kazi yako nzuri! Kwakweli hii mada imebidi niache kazi zangu nizisome nicheke!Ni upeo wawatu na kila mtu na mtazamo wake kwakweli ni changamoto! ISIPOKUWA BROO MICHU TAFADHALI naona kazi zimekuwia nyingi kuna watu wanaotumia lugha za matusi kucomment tafadhali haipendezi kuandika neno liko uchi kabisa kwamfano anony Tuesday, MArch 11.54AM EAT ile nilugha ya matusi tena ni mambo ya Ukabila, wachaga wanadeal na biashara hizo nani mwenye ushahidi nazo? Mimi binafisi naona inakushushia heshima na kukuharibia kazi yako naomba ublock zile zisizokuwa na maadili mazuri kwani hii Blog inasomwa na watu mbalimbali warika tofauti wenye heshima zao ndani na nje ya nchi na si vema mtu akasema blog ya wahuni jaribu kulifanyia kazi kwani tunaipenda kazi yako na unatufaidisha na mengi hasa sisi watu tuliombali na nyumbani. Asante ni mimi Mkereketwa

    ReplyDelete
  165. mmmh! mimi nafkiri wanawake wa kichaga they dont look for a Love, they are just looking 4 the package au kwa lugha nzuri MASLAHI! Wanajulikana sio siri.... Huna hela hakuhitaji! sasa huyu Manka katoa mpya! ndio nimemkubali elimu yake sawa je Sura nayo inalipa? shepu je? Maana wamejalia km mabaunsa! kwakweli nafkiri manka anatafuta business partner sio mume! sasa km umesoma una kazi nzuri mume wanini? si unajitosheleza? utaweza kupika kweli wewe? mwanaume mwenye sifa unazotaka wewe nafkiri kumkuta single sio rahisi labda mume wamtu umpore km mlivyozoea wachaga siku hizi mmecharuka san kuiba waume za watu usiku umeingia nyie ndio mnastuka usingizini! dada manka nakupa pole nenda Job search utampata unaemtaka.

    ReplyDelete
  166. Manka, tuna mambo ya kuongelea sio huu upuuzi. Weka picha kwenye internet une kama utapata mtu .....

    ReplyDelete
  167. You go girl... I think all the qualifications are sound. There are plenty of guys who will meet them. And to all haters, if you don't meet them that means she is not for you. In other words you're a loser with L on your face.

    ReplyDelete
  168. Jamaini ee wanamjua huyu Manka Mushi ebu tuelezeni ukweli kama huyu dada ni yeye aliyeandika huu ujumbe au kuna mdau anatuchora!! Mimi naona huyo ni yule mdau "steve mwil.." aliyeandika upuuzi wake mwanzano kuhusu Manka !

    ReplyDelete
  169. Hahahahhahhaha kweli dunia imekwisha sasa wewe unatafuta wanaume online au vipi na kwanza sahau kuhusu hicho kitu alafu nahisi umekosea njia kabisa wewe umesoma kwa nini usitulie tu na elimu wanaume watajileta wenyewe hata kama sio mzuri ni mbaya sasa wewe unasema hivyo nadhani utaishia hivyo hivyo

    ReplyDelete
  170. Manka Pole dada yangu we!! Watu humu hawaelewi. Wao kukutukana ni ujinga wao tu, kwani hawana hizo qualifications ndio maana wana hasira na kukutukana. Lakini wapo ambao watakuandikia hiyo email yako, you might get somebody who is serious, Good Luck!!
    Wasamehe waliokutukana kwani kama wangekujua binafsi yako, wangekusengenya tu ni kwa nini msichana mzuri kama wewe hujaolewa, at the same time wanaume wanakuogopa kwa maendeleo yako, na ukigeuka upande mwingine ukisema ngoja nijaribu kutafuta mwanaume, ndio haya sasa yanakupata! Pole we mdogo wangu, hii ndio mojawapo ya Perks za kuwa mwanamke mweusi, Hakuna utakalofanya lionekane jema kwa jamii. Kila kitu utakachokifanya ni kibaya.

    ReplyDelete
  171. Manka Mushi; Nakusifu kwa ku-challenge mila na desturi za kuwekeza katika maisha ya uchumba na Ubia katika Maisha. Nawasifu wenzangu ambao wameupokea ujumbe huu kama progressive. Ume-provoke undani na uasili wa jamii ambao umekuwa unafuatwa bila kufikiri kwa kina. Umeonyesha ukomavu kwa kuweka hadharani kioo cha rafiki mume mtarajiwa. Nimesoma maoni ya Usongo yaliyojitokeza hapa. Ningeshangaa kama ingekuwa tofauti na yaliyojitokeza. Hiki ni kioo cha mfumo DUME ambao umewapumbaza hata wanawake na ku-influence maoni yao juwa kumfumo dume dume! Mimi ni mama yako kwa umri. ningekuwa na experience niliyo nayo sasa ningetoa CV bomba kuzidi! Na nisingetaka ndoa ya kudumu bali ndoa kwa CONTRACT yenye hadidu rejea (ToR) kali. Kila mwaka tungefanya evaluation ya matunda ya contract yetu na ku-renew kutegemeana na ushindi! Katika wasichana wengi, angalau leo nimegundua kuna mmoja anafahamu anachokitaka katika maisha na huyo ni Manka. Majibu ya kisongo ni majibu ya VIPOFU!

    ReplyDelete
  172. KWANZA HUYO DADA NAONA KAPOTEA NJIA WEWE UTAWEZA KUMPANGIA MWANAUME AWE NA VITU KAMA HIVYO AU NA WEWE HUJAKAMILIKA NDIO MAANA UNASEMA UNATAKA IWE HIVYO MIMI NAHISI WEWE UNAKASORO KABISA AU KWA JINA LINGINE WEWE NI MATAMBARA YALIYOKWISHA WU YALIYUTUMIWA SASA HAYANA KAZI ALAFU PIA KUNA SEHEMU UNASEMA KWAMBA AWE NA GARI GARI LA NINI KWANZA AU KWA NJIA NYINGINE SEMA KWAMBA UNATAFUTA WANAUME WALIOKUWA UGHAIBUNI USITAKE KULETA VIKWAZO VISIVYOKUWA NA MPANGO DADA MANKA KWA HIYO NDIO KAMA HIVYO POLE SANA MIMI HIVYO VIGEZO VYOTE NINAVYO NIPO U.K LIVERPOOL LAKINI SIKUTAKI WALA NINI NAONA WEWE HUNA MPANGO KABISA.MAANA MTU KUFIKIA NA KUWEZA KUANDIKA VITU KAMA HIVYO MBLE YA HADHARA YA WATU HANA AKILI NA PIA NAKUONA WEWE HUJASOMA MAANA HATA KINGEREZA CHAKO KWANZA BADO KIBOVU NA WACHAGA SIWAPENDI BORA NIJE KUOWA TANGA NENDA ZAKO HUKO HUNA MPANGO KABISA.

    ReplyDelete
  173. wanawake wa kichaga namba moja kushabikia waume za watu, yaani mwanamke wa kichanga haridhiki kwa kweli, hivi michuzi wewe ni kabila gani, ukifanya kazi na mchaga ofisi moja, umbeya ndio kazi yao, kwa mwanamke, na wivu pia.

    ReplyDelete
  174. tena ukifanya kazi na mwanamke wa kichaga uwe makini, maana hapo ofisini anaona kama amefika, wanawake wa kichaga amkeni, mmezidi ushamba na wala hauendelei.

    ReplyDelete
  175. Manka, mapenzi sio usomi wala sio uzuri, mapenzi ni ya kutoka rohoni. Mfano mimi, i am educated, beautiful and have charm too ila i am dating jamaa ambaye kaishia form two ila ana akili za maisha because he is a successfull business man sasa hivi na anafanya vizuri, He doesnt speak English but he loves learning! Anabofoa, namsahihisha and life goes on! To add on that he is handsome, mrefu, kiatu size 12, ana mvuto wa haja kwakweli sikujali cheti wala nini, nilikubali bila kufikiria mara mbili & he makes me HAPPY!

    ReplyDelete
  176. Nadhani watu wawe wanafikiria vitu vya kucomment kwani huu ni upuuzi au junk mail.hakuna mtu ambaye ana sifa hizo na ni upuuzi kwa mwanamke kujifanya yeye ndio bora na kuchagua mwanamme mwenye sifa za kipuuzi alizozitaja.

    Huu ni upuuzi na naomba watu wasijisumbue kutuma CV kwani ni upuuzi mtupu.

    ReplyDelete
  177. MANKA, HIYO MBEGE ULIYOKUNYWA NI KALI. MWENZANGU INABIDI TUKUTAFUTIE MGANGA WA JADI, PENGINE WATAKUSAIDIA VIZURI AU KAMA MICHUZI, MUUNGANISHE NA WALE WATU WAKO WA WALL-STREET. ILA BANDIKA SURA, HATA MIMI JIBABA NITACHANGAMKIA, POCHI IPO !!!
    DEHHHHH
    DUHHHH
    PAHHHHH
    TEHHHHH
    KILEO. KIWALANI DAR

    ReplyDelete
  178. Manka eeh!! Are you one of very very few Chagga women who have nice legs? Maana wanawake wa kichagga wengi wazuri lakini maumbo yao kama Wahindi.. No tako, na miguu kaa jogoo.
    Achana na hawa wachawi humu wengi wao hata diploma hawana... Kama wewe una kidato ni vizuri kupata mwenzio mwenye darasa la sivyo mtakosa cha kuongea..
    Good luck na ukipata mtu utusimulie humu humu...
    All the best. Actually, I can think of somebody right now ngoja nimforwadie habari zako...

    Mdau - Boston, US

    ReplyDelete
  179. Dada wasikuvunje moyo hao wababa, unajua ni mfumo dume ndio unaowasumbua. ila punguza vigezo kidogo, kwani vyengine utarekebisha kadiri mtakapo kaa wote hata kwa limbwata
    mdau wa kwa madiba

    ReplyDelete
  180. SASA HUU NDIO WAKATI MUAFAKA KWA BWANA CHIBIRITI KUJITOKEZA. AISEE CHIBIRITI EEEH! WEYE SI UMESOMA HUKO ITALIA NA UNA SIFA ZOTE ANAZOZITAKA HUYU MANKA MUSHI? BASI JITOKEZE UCHUKUE HII DILI.

    FANYA KWELI BWANA CHIBIRITI!

    ReplyDelete
  181. Nyie manamsema manka eti anachagua...mbona na nyie mnataka picha yake? Si mngechukua bila kujali sura yake ikoje...???

    Wengi mnacomplain vitu hivi lakini ukweli vinaenda both side resume ya wanaume na resume za wanawake zinadiffer kwa hiyo sioni kwanini mumuite huyu dada hana akili...Ukweli ni kuwa mwanamke mwenye akili ndio anajua std zake za mwenza wake ni zipi...?
    Hao wanaoolewa tu bila kumeet hata some of her std basi ndio hao wanaaweka kama wanyumbani na wanaume wakisafiri wanakuacha au hawakutoi out often kwa vile hujui kingereza au humeet std yake wwewe ni wakuzaa tu watoto...At least amekua mkweli.....

    sasa nyie mbona picha hamna....kama na nyie hamjali chukueni tu bila kujua yukoje...

    Mkuki kwa ngurue mtamu...

    ReplyDelete
  182. de gal wat wat she put dere so if any guy think hav dat ok but she is stupid coz she not look 4 love but she daznt want to me alone anymone dat y if same1 look 4 love never want de cv even white pplz dont do dat grown up n be a woman who know wat she want in her life but not dat way

    ReplyDelete
  183. Huu ni upuuzi kabisa. Yaani wewe mwanamke mzima, miaka 28, msomi, mchagga...tena architect, unatafuta mchumba hapa? na kwa sifa hizi ulozoweka? Mie nadhani wewe ulifeli hata shule, na hayo majengo unayoyajenga yanaporomoka tu! Hovyo! Wambie dada zako wakutafutie wachumba kwa rafiki, na ndugu za hao waume zao.

    ReplyDelete
  184. Huu ni upuuzi kabisa. Yaani wewe mwanamke mzima, miaka 28, msomi, mchagga...tena architect, unatafuta mchumba hapa? na kwa sifa hizi ulozoweka? Mie nadhani wewe ulifeli hata shule, na hayo majengo unayoyajenga yanaporomoka tu! Hovyo! Wambie dada zako wakutafutie wachumba kwa rafiki, na ndugu za hao waume zao.

    ReplyDelete
  185. JAMAA ALIYEKUACHA HAKUKOSEA, HALAFU NI MWEMA MPAKA ANAAMUA AKUSAIDIE KUTAFUTA MTU WA AINA YAKO. MANKA HUTAFUTI MPENZI BALI MFANYAKAZI WA NGONO. UNAISHI WAPI? MTAANI KWENU HAKUNA VIJANA? KAZINI JE? SAFARI UNAZOKWENDA? SHULE ULIKOSOMA? SHOPPING UNAKOKWENDA?

    JARIBU KUTATUA MATATIZO ULIYONAYO KWANZA KABLA YA KUTOKA KWENDA KUTAFUTA MTU WA KUISHI NAYE, MAANA HATA HUYO HATOKAA AU NDO UTAKUWA KABURI LAKE.

    WEWE NI MTU WA NAMNA GANI, LEO HII USIWE NA MTU ANAYEFAA KUITWA MPENZI?

    USHAURI WANGU. UKITAKA MPENZI ACHA UJINGA KWANZA, HAYO ULOYAWEKA KUWA NI MASHARTI NI UJINGA MKUBWA, UNAONESHASHA KUWA UMEENDA SHULE, NINARUDIA, UMEENDA SHULE LAKINI HUJAELIMIKA KABISA. JIFUNZE KWANZA KUWA BINAADAMU, NDO UTAFUTE MTU WA KUISHI NAYE, MUME APASWA KUWA MPENZIO NAWE MPENZIWE. SI AJIRA WALA SI UMARUFU WALA SI SIFA YA KUOLEWA NA MSOMI AU KUOA MSOMI INAYOKUPA LIWAZO LA MOYO.

    KWA AKILI HII BAADA YA HARUSI UTASEMA, NITALAL NAWE IJUMAA, JUMANNE NA SIKU KABLA YA SIKU KUU. YAANI HUCHELEWI KUANDIKA RATIBA YA KUFANYA MAPENZI NA MUMEO.

    SIKILIZA, HILI NI SOMO LA BURE. TUNAOPENDA KWELI HATUJALI, MCHAGA MZARAMO, MMAKONDE MNDENGEREKO WALA MTUTSI, HATUNA CHA MZUNGU, MWARABU WALA MCHINA. HATUJALI ELIMU, MALI, NDUGU, MAGARI, LUGHA, MAVAZI (MAANA KUPANGILIA MAVAZI NDIYO NINI? JE MASAI HAPENDEZI?). HUO NI ULIMBUKENI. NA LIMBUKENI HUISHIA KWA MSANII. WAPO WENGI KAMA WEWE WAMEKENDA SHULE WAMEPEWA MAVYETI, WANAVAA TAI NZURI, MAGARI SAFI, NYUMBA BOMBA, NA KILA KITU KINGINE, LAKINI HAWAJAELIMIKA KAMA WEWE, HAO UKIKUTANA NAO MTAISHIA KUUWANA.

    SWALI LANGU KWAKO, UNAMPENDA NANI? MTU AU SIFA ALIZONAZO. KAMA NI SIFA ALIZONAZO MTU BASI WEWE HUFAI KUWA MKE. NIAMBIE INAKUWAJE KUISHI NAWE IWAPO NAFAHAMU KUWA HUNIPENDA MIMI NILIVYO BALI KWA NILIVYONAVYO? KAMA UMESHINDWA KUPATA MUME, MTAA UNAOISHI, SHULE ULIKOSOMA, KAZI UNAKOFANYA, SAFARI UNAKOKWENDA, KANISANI UNAKOSALI, KATI YA JAMAA WA RAFIKI ZAKO, NDUGU WA MARAFIKI WA FAMILIA YENU, SHOPPING UNAKOFANYA, NARAFIKI WA WAUME WA DADA ZAKO NA WATU WANAO WAZUNGUKA, NA KADHALIKA NAKADHALIKA. FAHAMU NI SI YO SIRI KUWA WEWE NDIYE TATIZO. HIVYO KAMA KWELI UMESOMA KAMA UNAVYOSEMA, KAA CHINI JICHUNGUZE UONE KASORO, KAMA UTASHINDWA TAFUTA MMOJA YA WATU UNAOWAFAHAMU LAKINI AMBAYE HUJAZOEANA NAYE SANA NA AMBAYE UNADHANI ANAKUFAHAMU KWA NAMNA FULANI LAKINI SI MTU WAKO WA KARIBU NA NI MWANAMUME, MUULIZE AKWAMBIE UKWELI ANAKUONAJE AU ANAPATA PICHA GANI ANAPOKUONA NA MAMBO UNAYOYAFANYA. NASEMA HIVYO KWA KUWA UKIMUULIZA RAFIKI YAKO WA KARIBU HAWEZI KUKWAMBIA UKWELI KWA KUWA HUENDA KAFUNIKWA NA MAZOWEA YAKE KWAKO AU ANAKUFICHA KWA KUCHELEA KUKUUDHI. JARIBU KUJUA MTU WA KAWAIDA ANAKUONAJE AU ANAKUCHUKULIA VIPI WEWE KIMTAZAMO KWA VILE UNAVYO INTERACT NAYE KATIKA MAISHA. ZINGATIA UNAWEZA USIPATE MAJIBU SAHIHI KWA KUMUULIZA MTU MMJA AU WAWILI, WEKA SAMPLE KUBWA. UTAPATA MAJIBU, HALAFU KAA CHINI UTAFAKARI.

    SOMO LIMENIGUSA SANA, MUDA SINA NINAWAHI SCHEDULE; ZAIDI WASILIANA NAMI: BABKUBWA@YAHOO.COM

    BYE FOR NOW

    ReplyDelete
  186. Manka kama sikosei, wewe ni bouncer, kwa maana na hiyo elimu yako, walai kuna jidume bongo angechangamkia

    Kwa maana hiyo, ninauhakika kwamba una misuli mwili mzima, au hata bibi yako ana reception nzuri kukuliko wewe, kwa hiyo nitapita kwa leo, pengine wiki ijal=yo nitachungulia tena

    ReplyDelete
  187. JAMANI MWAHENI DADA WA WATU MBONA NYIE WANAUME HUWA MNACHAGUA WAKE ZENU KWA SIFA FLANI?

    ReplyDelete
  188. DA KWELI MAPENZI KITU CHA AJABU KWANI HIZO SIFA ZA MANKAANAZOTAKA MIMI MUME WANGU ZIKIBADILISHWA NDIO ANAZO ZOTE,YAANI MAARUFU ,HAJASOMA,MFUPI ,ANA KITAMBI,HAYUKO ORGANISED N.K

    ReplyDelete
  189. Look at it this way. Ukiwa na binti yako umejitahidi umesomesha vyuo kamaliza utakubali kweli aolewe na mtu mission town no kisomo, hereni kichwani, bangi, etc?? Requirements za Manka ni very reasonable everybody has man of her dreams and woman of his dreams. Ni kwamba sikuhizi ni vigumu kupata hawa watu na saa nyingine inabidi kwenda extra mile kumtafuta. Na binafsi nakuvulia kofia bibie kwakuwa na moyo wa kijasiri, no dream is out of reach, hata uki-fail is ok but at least you have tried. Kwenye bible kuna hadithi ambapo walitafutwa 50 wazuri wakakosekana, hata 10 wakakosekana na labda 2 wakapatikana. The logic is that those requirements can be lowered. You must set your goals HIGH your parents must have taught you that. Aim 100% uishie na 80% angalau.
    IT's just beautiful when you find a human being who knows what he/she want. You can email me for support xuma70@yahoo.com

    ReplyDelete
  190. Hi Manka, I do support you its time that women have to look what they want,especially if someone they loved just go own way.Perhaps you still love you ex and for that reason I think is better to get someone who fits your dreams, kwani mapenzi ya halali ni yale ya kule secondary school, all those who are married now, if not with their first love,they did only look for material things and not love.But they do pretend because our society is like that, a perfect man should marry with 30 and a woman not more than 25,thats why they just marry to have a status in the society (married) ,no true love. Why so much HIV in our community if those men and women satisfied with their relations? kama hawa waliotoa comments watalifikiria hili then they will get your point, I´m a woman, lived one third of my life in Europe, I do understand you,keep it up, if God wishes you will get a true husband. All the best.

    ReplyDelete
  191. Tunaomba Uonyeshe picha yako dada......


    yours,
    Sikujua

    ReplyDelete
  192. Manka ni mwanamke mwanamapinduzi
    ===================================

    Wanaopinga hii move yako Manka ni wale walioa/kuolewa kutokana na ama mashinikizo kutoka kwa ndugu au kwa vile eti wamefikia umri wakuoa/kuolewa kwa hiyo anybody can fit them

    ===================================

    Watu hatujui kwamba maisha ni kupanga na kupanga ni kuachagua

    ===================================

    Emancipate yourself from mental slavery

    ===================================

    Manka is a brave Lady

    ===================================

    KEEP IT UP MANKA HOPE UTAMPATA

    ReplyDelete
  193. Huyo dada amenikera sana, ametudhalilisha wanaume kwa kuweka vigezo vigumu, nani asiwetupiwa macho au nani ambaye hana uhusiano kabla ya kuoa, ninavyomwona mimi huyu dada ni changu anayejiuza ohio na mshiriki wa kuuza picha za utupu atakayemwoa atachanganyikiwa na kufa siku si zake na yeye kurithi mali ndio maana anasema anataka mtu mwajiriwa au mfanyabiashara,Shat up!

    ReplyDelete
  194. Shkamoo manka,natanguliza hili angalau upate nguvu ya kusoma msg yangu.by da way who r u 2 choose a ma n who do u love.u can love but not 2 b loved sawa?isitoshe ww huna akili coz mwenye akili hawezi kuandika upuuzi kama huu.istoshe nimesikia kua bwana uliekua nae mlikua mnagombana mara kwa mara kutokana na tabia yako mbovu.ww ulikua msagaji mkubwa katika jiji la dar.then unawauza wasichana wenzio kama condoms.unafikiri mwanaume atakukubali wapi.mara ya mwisho umegombana na bwana wako kwakua ulimtafutia demu ambaye ni best wako.wakati yeye alikua amekaribia na kiatu ulichokitaka.yeye anavaa 8.9.so hakuna tofauti na size no.9.
    unalo unalolitaka lkn sio hilo.anyway kwa huruma mm nitakusaidia kukuweka ndani na punda wa jirani yetu.ivi leo asubuhi nimeongea nae amekubali kusaidia hilo.i hope utafurahia hilo.nasubiri majibu soon
    yours
    Masela wa azam
    Mission town

    ReplyDelete
  195. pls! Acheni Kusengenya kikabila, km wewe binafsi una matatizo na mwanamke wa Kichaga nihuyo pekee! Usichukulie wingi kwasababu zako binafsi! Tena ukome kabisa! hapa comment Manka na sio wachaga. Km unauchungu na uliekuwa nae ofsn mpe Live sio kwakuleta ukabila kwenye blog. sasa too much. Michuzi naona huu mjadala ni wa MANKA AU WACHAGA? Msituletee mambo ya Kenya kwenye blog.Wachaga tupo safi hatuna umbea tena ni wazungu yote ni wivu nawasiwasi huyo aliyeandika kusengenya wanawake wa kichaga ndio anawivu, km amefika ofsn wewe unaonaje? mjadili manka sio wachaga.

    ReplyDelete
  196. Manka you Rock lady

    ===================================

    Manka umetoka Kidedea

    ===================================

    Umewafungulia njia wanawake wenzio wengi ambao walikuwa waoga kuchukua hatua kama yako. Sasa hawatoogopa tena

    ===================================

    Hii ni karne mpya wanawake amkeni chagueni wale muwapendao bila hofu kwani hii itadumisha ndoa

    ===================================

    Ndoa nyingi zinavunjika siku hizi sababu watu walifikia uamuzi wa kufunga ndoa bila kuwa na ridhaa thabiti toka ndani ya moyo. Sasa huyu utakayempata nafikiri litakuwa chaguo lako bora na itakuwa ni vigumu ndoa kuvunjika

    ===================================

    KILA LA HERI DADA

    ===================================

    ReplyDelete
  197. Ivi ww manka,ulijiamini nn kutukejeli sisi wanaume wengine.kwani umetujaribu ukaona hatukuwezi au?onja na kwetu sisi uone.kula la leki.yani unatudharau hivi hivi?hivi hivi?sifa zote ulizotaka mm ninazo mpaka no.9.na nina elimu zaidi ya hiyo uliyoitaka ww.then nakujulisha ile hotel ya sea cliff mm ndo owner.njoo kwangu mm nitakupa kile unachotaka.lkn kabla hatujalala na mm nione sura yako kwanza.labda iko kama ngozi ya chui?nina wasi wasi una ngoma ww ndomana unajitangaza.kizuri cha jiuza kibaya ndo kinajitembeza.kama ww umefika hapa kwa michuzi ujue roho ndo unaitosa baharini.kwa heri.
    naitwa alex kumayako.

    ReplyDelete
  198. For what i know abt relationship hapo hakuna uchumba wala nini ni ubabaishaji tu,kumbuka wahenga walisema ya kua`mchagua nazi sana hupata koroma au mchagua jembe si mkulima mwenye kutaka mchumba kwa dhati hawezi kuandika vitu vya ajabu ajabu kama wewe.habari ndio hiyo!!

    ReplyDelete
  199. mwanamke gani usojua kupika?mchagua jembe si mkulima.sisi wanaume ndo tuchague lakini ww ndo uchague wanaume.hee uoni haya.mwanamke huoni vibaya.chunga sana mwanamke.angalia sana uarabuni utanyongwa mwanamke.unachezea vyombo sio vyako ukivunja utalipia nini?za wako uzae nae.na huyo utakaezaanae sijui atakua ni nani.wanaumeeeee mpooooooo.
    TMK

    ReplyDelete
  200. HUU SASA WAJAMEN NI UBAGUZI KWENYE MAPENZI MUNGU KATUUMBA WOTE SAWA TUNA HAKI SAWAYA KUFURAHIA NDOA BILA MASHARTI SASA LEO BIBIE UMETOA KALI, MAPENZI HAYAKO HIVYO DADA ANGU MAPENZI NI KAMA UYOGA UNAVYOOTA PORINI. KWA MTINDO HUO HATA UKIMPATA HAMTODUMU KABISA, NAKUSHAURI WEWE UNATAKIWA UJICHANGANYE TU NA WATU.
    MWISHO KABISA TAFUTA NYIMBO HII ILIOPIGWA NA KUIMBWA NA DK REMY INAITWA ``KIPENDA ROHO"

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...