habari za uhakika zinasema dege aina ya airbus A320 (kama hilo piochani) la ATC linatarajiwa kutua uwanja wa juius nyerere dar kesho saa nane mchana tayari kuendeleza libeneke la usafiri wa ndani na nje ya bongo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Sio walete ndege tu,wanatakiwa kuboresha huduma za uwanja wa ndege.Pia tanzania inahitajika kujenga,kupanuwa uwanja wa ndege wa Dar uwe na viwango vya kimataifa.

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 01, 2008

    Hiyo ndege ni mpya au "Mtumba" uliotumiwa na British Airways wakachoka ndo wanatuletea makopo? Unajua tangu madeal ya Richimondi na ma gasoline kule kusini nimekuwa mwoga sana na hii mi-deal tunayoletewa....!!!!

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 01, 2008

    Mambo ya kibongo yalivyo... si muda mrefu utasikia kua ununuzi wa hili dege umehusisha mafisadi fulani na walishakula 10% yao.

    Check hii http://www.scribd.com/doc/2059941/Ufisadi-Air-Tanzania-Corp

    Ignorant,
    Jeremani

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 01, 2008

    Hivi ile ya Precisionair kutoka China ilishaingia?

    Halafu huo uwanja wa Julius Kambarage (sijuwi ndiyo lile jina gumu kutamka?) Nyerere kwa kweli unatakiwa ubaki kwa ajili ya Local flights. Hauna hadhi ya kuitwa International Airport. Ni bora uitwe tu National Airport. Kule ndani kuna vuja, hakuna Viyoyozi ...yaani karaha.

    Uwanja unatia aibu........

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...