yaani hadi inatia raha kuona kidada wengi zaidi wakijihusisha na hizi kazi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. Ni kweli...inapendeza!
    Ni kazi laini, haihitali nguvu nyingi kuifanya kwa hiyo akina dada wanaikimbilia.

    ReplyDelete
  2. kazi inapendeza, lakini mimi nitashukuru sana iwapo watu watathamini sherehe/shughuli za wenzao, wavae nguo za heshima.
    Jeans kwa kweli mimi sipendi kama vazi la heshima.
    Kuna suruale za aina mbalimbali nzuri tu si lazima Jeans jamani,
    Mbona ma MC wanapendeza?
    Kuna tabia mbaya sana Tanzania ya wapiga picha na madj kukurupuka bila kujali usmart wa mavazi yao.
    Naomba wajirekebishe

    ReplyDelete
  3. Hivi mlidhani wadada wa bongo wajinga au maana sielewi,midume bwana kazi kututia ununda tu.Tushawapikia kuleni mkalale.

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 02, 2008

    naomba kuuliza je huyu ni HALIMA MCHUKA? Jamani wamefanana. kama ni yeye poa sana, niliona mwaka juzi rais wetu JK alimtembelea Muhimbili alikuwa anaumwa alipata stroke. Mungu ni Mwema amepona.

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 05, 2008

    MIJITU MINGINE MIJINGA BWANA, ETI INAULUZIA HAIKUJUA WAKINADADA NAO WANAFANYA KAZI HIZI KATIKA MAHARUSI. POLE SANA ULIDHANI NI WANAUME TU WENYE UBAVU WA KUFANYA KAZI HII. KWA TAARIFA YAKO WANAWAKE WAMEENDELEA SANA NA ASILIMIA KUBWA WANA AKILI NA MAARIFA YA KUPATA PESA NA KUZITUNZA KULIKO WANAUME. JE UMESHAMWONA DADA LULU MWANJESA???? NI HODARI WA KILA FANI, HATA U-MASTER CEREMONY KWENYE MAHARUSI NA SHEREHE KUBWA. NYIE MLIE TU.
    Ilala Hoyeeeeeee!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...