Home
Unlabelled
kwa wasio na njaa tu....
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
bila shaka hii itakuwa kwenye sherehe,ila chapati zenyewe zinaonekana zimepoa zimekuwa kavu ukila kipande kimoja hutamani kingine maana meno yatauma.
ReplyDeletemachapansiiiiiii!
ReplyDeleteMbona vichapati vyewenyewe vyembamba kama kaukau?
ReplyDeleteHata hamu ya chapati imeniisha.
Hizi chapati zinaonekana kua ngumu sana. Pia mtengenezaji kaziunguza.
ReplyDeleteInanikumbusha chapati za Mama Frank pale UCLAS (kwa sasa Ardhi university).
Mdau,
Jeremani
HEHEHE MICHUZI KAKA YANGU NILIMISS CHAI YA ASUBUHI JANA BAADA YA KUONA HIZI CHAPATI ILIBIDI NITOKE NIKATAFUTE CHAI NA NACHAPA HUWEZI AMINI ILA HABARI NDIO HIYO.
ReplyDelete