Home
Unlabelled
mdau aula
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Huyo Hamadi si ni muislamu? Waislamu siku hizi huwa wanakunywa bia za Kilimanjaro?
ReplyDeleteSasa si wangetafuta Ka-handbag tu watueke huto tujisenti!!! Li-briefcase likuubwa, limepwayaaa.
ReplyDeleteHUYO CONSOLATA NDIE DADA YETU KUTOKA KARAGWE UMENENEPA HASWA
ReplyDeleteYaani siku hizi mambo yanazidi kuwa tight huku kwetu bongo,kilicho baki watu wanatumia nguvu na akili zao kufikiri tu "Bahati nasibu"..badala ya kukomaa na vitu vya uhakika.
ReplyDeletebora nitulie zangu huku Longido nifuge ng'ombe.
tutafika tu
WATU WENGINE BWANA HUWA HAWAKOSI LA KUSEMA OHH MARA TUJISENT,OHHH MARA HAMADI ANAKUNYWA BIA,NINI KUONGEA UJINGA MTUPU!!KAMA HUNA COMMENT KWANI LAZIMA UANDIKE?MDAU MWENYE HASIRA
ReplyDeleteyaani hiyo ni million tano. Hela yetu inazidi kushuka tu.
ReplyDelete