Home
Unlabelled
jk apokea ripoti ya madini leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Huyu msukuma (Cheyo) anataka kupiga mtu nini!! mbona inaonekana yupo ngangari!!
ReplyDeleteMheshimiwa zito nae inaonyesha hajafurahi maana amekunja uso wake huyo!!
Jamani msihofu, hapo ni ikulu hivyo kunyweni na mfurahi kwani hamuwezi kubalaliwa. tehee!!! teheee!!!
mzee wa kaya matiz kidogo usijiachie muheshimiwa, 2010 bado unaitajika kuwatokomeza mafisihard bila ya wenyewe kutambua nini kinaendelea
ReplyDeletesiasa ni mchezo mchafu.
ReplyDeleteraila odinga alihamasisha wananchi pale kenya, sasa kawa PM na mpira umekwisha (wakenya kama walitegemea neema basi wasahau)
kuna jamaa wa upinzani kule zimbabwe naye kama atashinda sitegemei jipya
zambia walipurukushana sana na mzee KK, kawaachia nchi, kiko wapi!
M7 kang'ang'ania! na usitaje akina taylor wa liberia nk..
ukija kwetu ni yaleyale ya akina akina charles taylor.. wao walitumia mtutu wa bunduki kuchukua uchumi wa nchi lakini hawa wanatumia ujanja wa "karata tatu' kufanya unyama uleule.
1CHENGE=1MILLION USD(NATANIA)
ReplyDeleteMimi nadhani sasa wakati umefika kwa viongozi wetu wa dini kubadili mahubiri yao yanayosema kwamba mtu ukishatubu basi unasamehewa madhambi yako na mungu ili kuikoa dunia na maovu na maangamizi dhidi ya raia walio wanyonge. Kama tunaruhusu mashoga kuwa viongozi wa dini basi na hili najua linawezekana. nasema hivyo kwa sababu majambazi, mafisadi wanaua na kutesa viumbe na baadae kwenda kutubu ili wasemehewe lakini huku tayari wameshaua au wanatesa watu kwa kuwafanya vilema au kuwakosesha huduma wanazostahili kama binadamu. nadhani sasa tubadili staili ya kuhubiri na watu waambiwe kwa mungu ni JINO KWA JINO ili kupunguza ukatili wanaofanyiwa binadamu. mfano ni ule wa mzee wa vijisenti, wakati yeye anasema 1.0 bil ni vijisenti huku watu wengine wanakosa mlo ili waokoe maisha yao. Lakini utawasikia wahubiri wakisema akitubu ataenda mbinguni, hivi mungu kama ndiyo yuko rahisi kiasi hicho basi atakuwa hawatendei haki wanyonge
ReplyDeletehahahha anon wa 1:13
ReplyDeleteWWW.UFISADI.COM hapo,mwanakwetu .. ivi hawana aibu??????
vitambi vya wizi tu hapo!
ReplyDeleteHELA ZETU ZIKO WAPI???
nawauuliza tena enyi watu hapo kwenye picha HELA ZETU ZIKO WAPI?aha,nilikua sijasikia,kumbe kitambini
MICHUZI, CAN WE HAVE AN EXCERPT OF THE REPORT?
ReplyDeleteHaya sasa na tumuone Mhishimiwa Raisi ripoti hii ataifanya vipi ? Maana ya EPA , Ballali and Co ndio hivyo ten akafa nayo Ballali itaishia hewani. Haya Chenge ndio huyo hana wasiwasi yuko mjini anakula starehe. Lowassa katulia hatoki magazetini anakula kuku polepole anavuta time akakusanye na zile pesa za Richi Monduli kwenye account isiyo na jina libeneke la Ufisadi kama kawa,Ukija kwa baba lao Mhishimiwa Rais mstaafu tunaambiwa tena tusithubutu hata kumtaja taja na kumtupia kashfa wakati ziko wazi !!!! hawa wengine wadogo wadogo woote bado wanaendelea na Ufisadi na hamna mtu anaewagusa.Sasa hii Ripoti ya Madini ilishaleak siku nyingi watu tunayo na kwa kweli ukiiona machozi yanakutoka kama mtoto mdogo yaani hii ndio baba lao , Wadau wenzangu subirini mtajionea !!! kaka Michuzi naomba utoe posti yangu usiibanie kwa kuwa nimewataja wazee wakuu wako!! JAMANI TUTAFIKA ???? AMA KWELI BONGO TAMBARARE
ReplyDelete