taifa stars imetumguliwa bao moja na malawa dakika 9 baada ya kipindi cha pili kuanza, goli lililofungwa na na mchezaji wa kulipwa anayecheza urusi, essau kayenga, kwa uzembe wa mabeki wa stars.
malawi wanashambulia sana na hadi sasa ni nusu uwanja, ambapo wamalawi wako kwenye 18 ya stars muda mwingi.
dakika ya 18 wamalawi wanakosa bao baada ya mpira kugonga besela, kipa ivo mapunda akiwa kapelekwa sokoni.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...