ukisikia mdau kahamia a-taun kimoja usishangae...

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 14 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 22, 2008

    Michu ukienda kuji sullivan usiache kupiga picha ya kwa NiKI utuwekee angalau nijione nakula wale samaki. Misamaki ya huku kwenye maboksi sio mitamu kama yenye manjano na mdalasini. SIku nitafika siku nitafika nitakula wali na sombe mah! jamani tunateseka wenzenu! asikuambie mtu

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 22, 2008

    Hongera kwa kazi yako njema ila nakupa tahadhari, kuna project mbili jamaa fulan wanatoka nazo, najua zitapigwa vita ila naona km zitafanya blog nyingine, haswa hii isitembelewe kabisa. Na ujue kipigwacho vita ndo hufuatwa na wengi. Point mojawapo kwanin wameanzisha hiyo wanadai ni kutokana na 'kubaniwa' posts zao. Mtu anatuma post ya maana inafinywa badala yake unaweka vitu km hivi, kupiga picha sufuria/jiko la nyama na kuweka post yenye kujenga nchi cjui kipi bora.
    mi sikuzote nasisitiza blog bure kuanzisha haina haja kumlaumu michuzi km vp mtu anzisha yako uweke posts zako, ila wakadai "Ukianzisha hospitali ikakua levo ya kitaifa km KCMC unaweza amua leo bethdei yangu sitaki kufungua kwaio hakuna huduma". Jibu ni hapana, huwezi. Japo ni yako, wananchi watakushtaki. Michuzi jamaa wana pwenti. Kwanini usiweke onyo kuwa posts zitaeditiwa kabla ya kupostiwa? Kwanini km unapewa nyingi mno usiwe na michuzi today, michuzi people na michuzi own. Hizo za people unazimwaga humo KUMAanisha si wewe bali wao. Kwan delenyuzi hamkagui makala za wasomaji?

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 22, 2008

    michu!kwa stahili hii sidhani kama hiyo nyama ina iva!

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 22, 2008

    Kaka michu wadau wafahamu hayo ndo mambo ya A -Tomn ni kung'ata kwa kwenda mbele na kama utakwenda A-Town na usipate nyama choma basi unakuwa ujakamilisha mambo.Habari ndo hiyo.
    Rangi

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 22, 2008

    dah dada mwenye nguo ya orenji alikua na njaa sana naona!

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 22, 2008

    Mhu hiyo imenikumbusha A taun, nilikuwa nakula nyama choma kama sina akili nzuri na jinsi wanvyouza kwa kilo, na sio vijimishikaki, tujinofu tudogo tumewekwa tutatu kwenye vijiti basi kama wanavyouza DSM, nilkuwa najikuta kwa siku nimekula kuanzia nusu kilo mbaka kilo na nusu ya nyama ya mbuzi au ya ng'ombe. Hatari kweli kweli ukikaa karibu na hilo tanuri la nyama chuma, unakula tu hata hujui umekula kiasi gani mradi umeshiba.

    Mdau unayesema watu wanafungua blogu na hawatakuja huku kuangalia matanuri ya nyama choma, wafungue tu hiyo haina noma wala nini. Wafungue blogu zao zinazoendana na interests zao na hiyo haitatufanya sie wengine kutokuja kuperuzi kwenye blogu ya Michuzi. Nina uhakika na wao pia watakuwa wanakuja kuperuzi na kupost vitu vyao kwenye blogu hii. Kwa hiyo haina haja kumtishia NYAU mtu mzima.

    ReplyDelete
  7. AnonymousMay 22, 2008

    MIMI NIKO NA MDAU ALOTAIPU PARAGRAPH MOJA KWA BOLD.
    KUWA: TABIA YA MICHUZI KUAMUA KUTO-POST BAADHI YA MAONI NI CHOO. NA MWANDISHI WA KUSIFIKA KAMA YEYE HII SIO KAZI YA KI-PROFESSIONAL.
    KAMA BLOG ZA NCHI ZA WENZETU. KUNA FREEDOM OF SPECH TENA HATA LUGHA CHAFU HUWA ZINAPOSTIWA ENDAPO MDAU ANA POINT ILA TU KAMA AMETAIPU LUGHA CHAFU KUPITA KIASI, BASI OWNER WA BLOG ANAZI-EDDIT TU.
    SASA SIJUI KWANINI MICHUZI HAREKEBISHI HILI SWALA? NDIO MAANA WADAU WENGINE WAKAZOZA KUWA MAYBE ANAKATIWA POCHI NA BAADHI YA WATU ASITOE MAONI YANAYOWAHUSU.

    ReplyDelete
  8. AnonymousMay 22, 2008

    Michuzi mbona watu wanasifia sana A-Taun kuna nini mji Dar bwana ndio maana ofisi zote muhimu ziko hapo. Kuna beach, Twin tower, International Airport na hata wewe Michuzi makao yako makuu na global yako ni Dar. Acheni zengwe A-Town mara zote. Michuzi usiiminye.
    Mzaramo.

    ReplyDelete
  9. AnonymousMay 22, 2008

    Mdau wa kwanza kabisa siku hizi NIKI imechoka ila hapo nyuma yake kuna The Arusha Carnival ni mbaya mno.Jumapili bonanza ya balaa.Ze mdau habari ya kuteseka Ugaibuni ni wewe watu wengi tu tunakula maisha kama kawa na hizi hizi dili za boxi

    ReplyDelete
  10. AnonymousMay 22, 2008

    ndo maana leo nimefungua to blog kukawa na harufu ya moshi kumbe ni hapo uwanja wa fisi!

    ReplyDelete
  11. AnonymousMay 22, 2008

    We Michuzi wenyewe mnachekeleeea hapo!
    Kumbe hamjui kuwa mnakula MINYOO na TEGU tu hapo.

    Nyama haziivishwi vizuri hizo.
    Khaa!

    ReplyDelete
  12. AnonymousMay 23, 2008

    Sasa Michuzi unasifia nini hapo, huo moshi na nyama mbichi? Wote hapo mnanuka moshi na mnasmoke. Yaani mnaonekana kama LOST TRIBE nafikiri umenielewa.
    Mdau

    ReplyDelete
  13. AnonymousMay 23, 2008

    = BAD KOLESTRO...UZITO MKUBWA...GAUTS...UGONJWA WA MOYO..

    SHUKRANI

    ReplyDelete
  14. AnonymousMay 23, 2008

    hao wanaojifanya tegu sijuii miyoo waongo wamekulia kwenye mategu na minyoo shenzi taipu

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...