Home
Unlabelled
wafanyakazi wa wizara ya utalii na mazingira
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Pigeni picha lakini Kaeni pembeni, angalieni msijekanyaga na kuchafua zuria la sivyo vueni viatu!!!
ReplyDeleteMimi nisingekubali kuvaa sare kama wanafunzi wa primary.
ReplyDeleteMICHUZI MIMI NIMOJAWA WATU WASIO KUBALI KUWA BALLALI KAFARIKI,NIMESOMA KWENYE GAZETI MASHARTI YA KUHUONA MWILI NI MENGI .KAMAKWELI NNADHANI WANAOGOPA TUSIJE TUKAMCHOMOLEA MALEEMU
ReplyDeleteSalamu nyingi toka Bulgaria kwa huyo dada wa mwanzo
ReplyDeleteKILI
MICHUZI IVI JK KASHATUMA NDEGE SOUTH KUWACHUKUA NDUGU ZETU WALIOJARIBU KUHUKIMBIA UFISADI BONGO.
ReplyDeleteMbona ni wanawake watupu?
ReplyDeletewanapendeza sana michuzi.Hongereeni.Wewe unayesema mbona ni wanawake watupu angalia sana,hukusoma photograph kwenye Geography ya Form IV.Kama hukusoma mwombe Muhidin akupige brashi.Mwanaume yupo kabana sehemu fulani kwa taarifa yako.Nadhani ni mmoja.
ReplyDeletewanaume 2 in the middle
ReplyDeletewewe ANONYMOUS WA 3 mbona unatoka off topic,sasa balali ndio utalii na maliasili..we vipi wewe...soma kichwa cha habari!
ReplyDeleteJamani kuweni makini, hata kuangalia nako mpaka mpate semina elekezi ..?! Wanaume wako wawili katika hiyo picha wajihi wao unajieleza wazi !!
ReplyDelete